-
Mahasimu wa Libya kuzungumzia uchaguzi katika kikao cha Italia
Nov 11, 2018 10:43Makundi hasimu ya kisiasa ya Libya yanatazamiwa kukutana kesho Jumatatu katika mkutano wa kujadili masuala ya uchaguzi, utakaofanyika katika mji wa Palermo nchini Italia.
-
UN yaiwekea Libya vikwazo kwa ukatili wa kingono
Nov 06, 2018 10:06Umoja wa Mataifa umezidisha vikwazo dhidi ya nchi ya Libya kutokana na kesi nyingi za ubakaji na ukatili wa kingono zilizoripotiwa nchini humo.
-
Ongezeko la vitendo vya kigaidi nchini Libya lautia wasiwasi Umoja wa Mataifa
Oct 31, 2018 12:14Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya amesema kuwa kuongezeka vitendo vya kigaidi katika baadhi ya maeneo ya nchi hiyo ukiwemo mji mkuu Tripoli, linatia wasiwasi mkubwa.
-
Ukosoaji wa Bunge la Afrika kwa muamala wa kindumakuwili wa Umoja wa Mataifa kuhusiana na wahajiri haramu
Oct 29, 2018 06:20Bunge la Afrika (PAP) limekosoa undumakuwili wa Umoja wa Mataifa katika kuamiliana na nchi za Kiafrika na za Ulaya kwenye kadhia nzima ya kukabiliana na tatizo la wahajiri haramu.
-
Naibu Spika wa Bunge la Afrika: Libya na Algeria ni wahanga wa uhajiri haramu
Oct 29, 2018 04:44Naibu Spika wa Bunge la Afrika (PAP) amesema Libya na Algeria ni wahanga wa uhajiri haramu barani humo.
-
Misri yajiandaa kutuma jeshi nchini Libya
Oct 22, 2018 11:19Duru za habari zimetangaza kuwa, serikali ya Misri imechukua uamuzi wa kutuma jeshi katika nchi jirani ya Libya kwa ajili ya kulisaidia jeshi la Khalifa Haftar linalojulikana kama Jeshi la Taifa.
-
Libya yalalamikia kufanyika kikao cha waungaji mkono wa Jenerali Haftar nchini Misri
Oct 21, 2018 21:05Maafisa usalama wa serikali ya mwafaka wa kitaifa ya Libya wamelalamikia kufanyika kikao cha waungaji mkono wa Jenerali Khalifa Haftar, kamanda wa vikosi viitwavyo Jeshi la Taifa la Libya katika mji mkuu wa Misri, Cairo.
-
Waarabu wataka utatuzi wa kudumu wa mgogoro wa Libya
Oct 15, 2018 04:15Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Arab League amesisitizia haja ya kutafutwa utatuzi wa kimsingi na wa kudumu wa mgogoro wa Libya.
-
Kaburi la umati lagunduliwa Sirte, Libya, lina zaidi ya maiti 100
Oct 14, 2018 08:56Vyombo vya usalama nchini Libya vimetangaza kuwa, vimegundua kaburi la umati lenye maiti za makumu ya watu lililoko umbali wa kilomita 15 magharibi mwa mji wa Sitre huko kakazini mwa nchi hiyo.
-
Sadiq al Kabir: Kumepatikana hasara ya dola bilioni 48 kutokana na vita vya ndani Libya
Oct 12, 2018 13:14Gavana wa Benki Kuu ya Libya amesema kuwa vita na mapigano ya ndani nchini humo husababisha hasara ya dola bilioni 48.6 kwa uchumi wa nchi hiyo kila mwaka.