Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Wanane wauawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu mjini Derna, Libya

    Wanane wauawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu mjini Derna, Libya

    May 28, 2018 10:02

    Watu wanane wameuawa na kujeruhiwa kwenye mripuko wa bomu uliotokea katika mji wa Derna wa mashariki mwa Libya.

  • Pande hasimu katika mgogoro wa Libya kukutana Paris ili kuondoa mkwamo wa kisiasa

    Pande hasimu katika mgogoro wa Libya kukutana Paris ili kuondoa mkwamo wa kisiasa

    May 27, 2018 03:11

    Pande hasimu nchini Libya zitakutana siku ya Jumanne mjini Paris, Ufaransa kwa madhumuni ya kufikia makubaliano juu ya ramani ya njia ya kisiasa inayolenga kutatua masuala yanayozozaniwa na pande hizo ili kuandaa mazingira ya kufanyika uchaguzi baadaye mwaka huu.

  • Wahajiri zaidi ya 100 watoroka kambi za wafanyamagendo ya binadamu nchini Libya

    Wahajiri zaidi ya 100 watoroka kambi za wafanyamagendo ya binadamu nchini Libya

    May 26, 2018 22:04

    Duru za Libya zimetangaza kuwa wahajiri zaidi ya 100 wametoroka kwenye kambi kadhaa zinazodhibitiwa na wafanyamagendo ya binadamu katika mji wa Bani Walid magharibi mwa nchi hiyo.

  • Wahajiri 1,500 waokolewa katika bahari ya Mediterranean

    Wahajiri 1,500 waokolewa katika bahari ya Mediterranean

    May 26, 2018 03:23

    Takriban wahajiri 1,500 wamenusuriwa wakiwa katika safari hatarishi katika bahari ya Mediterranean, kwenye operesheni zilizofanyika siku ya Alkhamisi na jana Ijumaa.

  • Shambulio la bomu Benghazi, Libya laua watu saba

    Shambulio la bomu Benghazi, Libya laua watu saba

    May 25, 2018 02:25

    Kwa akali watu saba wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya gari lililokuwa limesheheni mabomu kuripuka katika barabara yenye shughuli nyingi mjini Benghazi, mashariki mwa Libya.

  • Jenerali Khalifa Haftar ahimiza kuendelea mapambano dhidi ya magaidi Libya

    Jenerali Khalifa Haftar ahimiza kuendelea mapambano dhidi ya magaidi Libya

    May 23, 2018 09:26

    Mkuu wa vikosi vinavyoitwa Jeshi la Taifa la Libya amesema kuwa jeshi hilo litaendelea na operesheni zake za kupambana na magaidi katika mji wa Derna wa mashariki mwa nchi hiyo.

  • Watu wanne wauawa, kujeruhiwa katika shambulizi la kigaidi nchini Libya

    Watu wanne wauawa, kujeruhiwa katika shambulizi la kigaidi nchini Libya

    May 22, 2018 23:12

    Kwa akali watu wawili wameuawa na wengine wawili kujeruhiwa kufuatia shambulizi la bomu lililotekelezwa na kundi moja la kigaidi katika mji wa Ajdabia, mashariki mwa Libya.

  • Jeshi la Libya latangaza kulitia mbaroni kundi linalomuunga mkono Kanali Muammar Gaddafi

    Jeshi la Libya latangaza kulitia mbaroni kundi linalomuunga mkono Kanali Muammar Gaddafi

    May 21, 2018 09:30

    Kundi lenye mafungamano na Baraza la Kuu la Serikali ya Maridhiano ya Kitaifa nchini Libya, limetangaza kuwatia mbaroni wanachama wanaouunga mkono utawala wa Kanali Muammar Gaddafi, kiongozi wa zamani wa nchi hiyo.

  • Mashambulizi dhidi ya maeneo ya magaidi yanaendelea nchini Libya

    Mashambulizi dhidi ya maeneo ya magaidi yanaendelea nchini Libya

    May 20, 2018 22:03

    Jeshi la taifa la Libya limetangaza kuwa, limeshambulia maficho kadhaa ya magaidi katika mji wa Derna wa mashariki mwa nchi hiyo.

  • Makumi ya maelfu wahajiri haramu wa Ghana wakwama nchini Libya

    Makumi ya maelfu wahajiri haramu wa Ghana wakwama nchini Libya

    May 20, 2018 10:09

    Mkuu wa ofisi ya Umoja wa Mataifa inayoshughulikia masuala ya wakimbizi nchini Libya amesema kuwa, kuna makumi ya maelfu ya wahajiri haramu wa Ghana waliokwama nchini Libya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS