Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Watu 9 wauawa katika mapigano mapya mashariki mwa Libya

    Watu 9 wauawa katika mapigano mapya mashariki mwa Libya

    May 16, 2018 09:19

    Watu 9 wameuawa kwenye mapigano baina ya jeshi la Libya na magenge ya kigaidi katika mji wa Derna wa mashariki mwa nchi hiyo.

  • Mamia ya wahajiri haramu waokolewa katika pwani za magharibi mwa Libya

    Mamia ya wahajiri haramu waokolewa katika pwani za magharibi mwa Libya

    May 13, 2018 11:16

    Wahajiri haramu wapatao 340 raia wa nchi tofauti za Afrika wameokolewa katika pwani za magharibi mwa Libya.

  • Watu kadhaa wauawa na kujeruhiwa katika mapigano mapya kusini mwa Libya

    Watu kadhaa wauawa na kujeruhiwa katika mapigano mapya kusini mwa Libya

    May 12, 2018 09:39

    Watu kadhaa wameuawa na kujeruhiwa katika mapigano mapya yaliyotokea katika mji wa Sabha, kusini magharibi mwa Libya.

  • ICC yataka msaada wa Baraza la Usalama kumkamata Seiful Islam Gaddafi

    ICC yataka msaada wa Baraza la Usalama kumkamata Seiful Islam Gaddafi

    May 10, 2018 09:57

    Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC imeliomba Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuisaidia katika kuwakamata watu watatu wanaosakwa nchini Libya akiwemo Seiful Islam, mwana wa kiume wa aliyekuwa kiongozi wa wa nchi hiyo, Kanali Muammar Gaddafi.

  • Watu wawili wauawa katika shambulizi ya kujiripua mashariki mwa Libya

    Watu wawili wauawa katika shambulizi ya kujiripua mashariki mwa Libya

    May 09, 2018 03:22

    Afisa mmoja wa ngazi za juu wa usalama wa Libya amesema kuwa, watu wawili wameuawa mashariki mwa nchi hiyo baada ya gaidi mmoja kujiripua katika kituo cha upekuzi cha "Jeshi la Taifa la Libya" linaloongozwa na Jenerali Khalifa Haftar.

  • Operesheni ya kuukomboa mji wa Derna yaanza nchini Libya

    Operesheni ya kuukomboa mji wa Derna yaanza nchini Libya

    May 07, 2018 20:56

    Kamanda wa timu ya operesheni ya jeshi la Libya katika mji wa Derna wa kaskazini mashariki mwa nchi hiyo amesema kuwa, operesheni ya kuukomboa mji huo kutoka mikononi mwa genge moja la kigaidi ilianza rasmi jana (Jumatatu).

  • Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya yatoa wito wa kuondolewa vikwazo vya silaha

    Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya yatoa wito wa kuondolewa vikwazo vya silaha

    May 05, 2018 10:22

    Waziri wa Mambo ya Nje wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya ameiomba jamii ya kimataifa iunge mkono takwa la serikali hiyo la kuondolewa vikwazo vya silaha na zana za kijeshi inazozihitaji.

  • Uungaji mkono wa Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa ya Libya kwa takwa la kamati ya pande nne

    Uungaji mkono wa Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa ya Libya kwa takwa la kamati ya pande nne

    May 03, 2018 02:30

    Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa ya Libya imetangaza uungaji mkono wake kwa takwa la kamati ya pande nne la kuyakubali matokeo ya uchaguzi ujao katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Umoja wa Mataifa walaani shambulizi la leo la kigaidi la nchini Libya + Video

    Umoja wa Mataifa walaani shambulizi la leo la kigaidi la nchini Libya + Video

    May 02, 2018 11:10

    Kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa nchini Libya UNSMIL kimelaani shambulizi la kigaidi lililotokea leo katika ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi mjini Tripoli na kupelekea watu 14 kuuawa.

  • Shambulizi dhidi ya makao makuu ya Tume ya Uchaguzi Libya laua 14 + Video

    Shambulizi dhidi ya makao makuu ya Tume ya Uchaguzi Libya laua 14 + Video

    May 02, 2018 10:28

    Kwa akali watu 14 wameuawa baada ya kundi la kigaidi kushambulia kwa mabomu na risasi makao makuu ya Tume ya Uchaguzi nchini Libya leo Jumatano.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS