Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Miripuko ya mabomu yaua watu 33 na kujeruhi 50 mjini Benghazi nchini Libya

    Miripuko ya mabomu yaua watu 33 na kujeruhi 50 mjini Benghazi nchini Libya

    Jan 24, 2018 04:26

    Watu wasiopungua 33 wameuawa na wengine wapatao 50 wamejeruhiwa baada ya magari mawili yaliyotegwa mabomu kuripuka katika mji wa Benghazi ulioko mashariki mwa Libya.

  • AU kuchunguza mateso ya wahajiri wa Kisudan Libya

    AU kuchunguza mateso ya wahajiri wa Kisudan Libya

    Jan 23, 2018 11:35

    Mwenyekiti wa Kamati ya Masuala ya Kijamii ya Umoja wa Afrika amesema kuwa, umoja huo utaanzisha uchunguzi kuhusu mateso waliyofanyiwa wahajiri wa Kisudani nchini Libya.

  • Uchunguzi: Maelfu ya wanawake wanachama wa Daesh wako Libya

    Uchunguzi: Maelfu ya wanawake wanachama wa Daesh wako Libya

    Jan 23, 2018 11:31

    Kituo kimoja cha utafiti cha Marekani kimeripoti kuwa, maelfu ya wanawake wanachama wa kundi la kigaidi la Daesh wako nchini Libya na kwamba 300 kati yao ni raia wa Tunisia.

  • Kuendelea operesheni za kijeshi nchini Libya dhidi ya makundi yenye silaha

    Kuendelea operesheni za kijeshi nchini Libya dhidi ya makundi yenye silaha

    Jan 22, 2018 02:52

    Mashambulizi ya jeshi la Libya dhidi ya makundi yenye silaha katika maeneo ya kusini mwa nchi hiyo yanaendelea kwa nguvu kubwa chini ya mwavuli wa operesheni ya "Ghadhabu ya Jangwani"

  • Uwanja wa ndege Libya wafunguliwa tena baada ya kujiri mapigano

    Uwanja wa ndege Libya wafunguliwa tena baada ya kujiri mapigano

    Jan 20, 2018 23:40

    Uwanja wa ndege pekee uliokuwa ukifanya kazi huko Tripoli mji mkuu wa Libya ulifunguliwa tena jana Jumamosi baada ya kufungwa kwa siku tano kufuatia mapigano makali yaliyosababisha kuharibiwa ndege za abiria.

  • Khaled al-Khuwailidi: NATO imetenda jina za kivita dhidi ya raia nchini Libya

    Khaled al-Khuwailidi: NATO imetenda jina za kivita dhidi ya raia nchini Libya

    Jan 20, 2018 12:20

    Wakili mmoja mashuhuri nchini Libya amefichua kwamba, Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO) umetenda jinai dhidi ya raia katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Russia: Habari kwamba tunataka kufungua kambi za kijeshi Libya na Misri ni uongo

    Russia: Habari kwamba tunataka kufungua kambi za kijeshi Libya na Misri ni uongo

    Jan 13, 2018 10:32

    Mkuu wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Baraza la Shirikisho la Russia amesema kuwa, serikali ya Moscow, haina nia yoyote ya kuanzisha kambi za kijeshi katika nchi za Misri na Libya.

  • Libya yawatia mbaroni wahajiri 81 kutoka Somalia, Ethiopia na Eritrea

    Libya yawatia mbaroni wahajiri 81 kutoka Somalia, Ethiopia na Eritrea

    Jan 12, 2018 10:15

    Vyombo vya usalama mashariki mwa Libya vimewakamata makumi ya wahajiri raia wa Somalia, Eritrea na Ethiopia, ambao walikwepa mtego wa magendo ya binadamu.

  • Umoja wa Mataifa wataka kufanyika uchaguzi Libya mwaka huu

    Umoja wa Mataifa wataka kufanyika uchaguzi Libya mwaka huu

    Jan 11, 2018 00:29

    Umoja wa Mataifa umesema uko tayari kuisaidia Libya katika maandalizi ya uchaguzi mkuu kufikia mwishoni mwa mwaka huu 2018.

  • Wahajiri 100 wahofiwa kufa maji katika Bahari ya Mediterranean

    Wahajiri 100 wahofiwa kufa maji katika Bahari ya Mediterranean

    Jan 10, 2018 12:26

    Jeshi la Majini la Libya limetangaza kuwa yumkini wahajiri 100 waliotoweka katika ajali ya boti katika Bahari ya Mediterranean wakiwa safarini kulekea Ulaya, wamekufa maji.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS