-
Miripuko ya mabomu yaua watu 33 na kujeruhi 50 mjini Benghazi nchini Libya
Jan 24, 2018 04:26Watu wasiopungua 33 wameuawa na wengine wapatao 50 wamejeruhiwa baada ya magari mawili yaliyotegwa mabomu kuripuka katika mji wa Benghazi ulioko mashariki mwa Libya.
-
AU kuchunguza mateso ya wahajiri wa Kisudan Libya
Jan 23, 2018 11:35Mwenyekiti wa Kamati ya Masuala ya Kijamii ya Umoja wa Afrika amesema kuwa, umoja huo utaanzisha uchunguzi kuhusu mateso waliyofanyiwa wahajiri wa Kisudani nchini Libya.
-
Uchunguzi: Maelfu ya wanawake wanachama wa Daesh wako Libya
Jan 23, 2018 11:31Kituo kimoja cha utafiti cha Marekani kimeripoti kuwa, maelfu ya wanawake wanachama wa kundi la kigaidi la Daesh wako nchini Libya na kwamba 300 kati yao ni raia wa Tunisia.
-
Kuendelea operesheni za kijeshi nchini Libya dhidi ya makundi yenye silaha
Jan 22, 2018 02:52Mashambulizi ya jeshi la Libya dhidi ya makundi yenye silaha katika maeneo ya kusini mwa nchi hiyo yanaendelea kwa nguvu kubwa chini ya mwavuli wa operesheni ya "Ghadhabu ya Jangwani"
-
Uwanja wa ndege Libya wafunguliwa tena baada ya kujiri mapigano
Jan 20, 2018 23:40Uwanja wa ndege pekee uliokuwa ukifanya kazi huko Tripoli mji mkuu wa Libya ulifunguliwa tena jana Jumamosi baada ya kufungwa kwa siku tano kufuatia mapigano makali yaliyosababisha kuharibiwa ndege za abiria.
-
Khaled al-Khuwailidi: NATO imetenda jina za kivita dhidi ya raia nchini Libya
Jan 20, 2018 12:20Wakili mmoja mashuhuri nchini Libya amefichua kwamba, Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO) umetenda jinai dhidi ya raia katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
-
Russia: Habari kwamba tunataka kufungua kambi za kijeshi Libya na Misri ni uongo
Jan 13, 2018 10:32Mkuu wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Baraza la Shirikisho la Russia amesema kuwa, serikali ya Moscow, haina nia yoyote ya kuanzisha kambi za kijeshi katika nchi za Misri na Libya.
-
Libya yawatia mbaroni wahajiri 81 kutoka Somalia, Ethiopia na Eritrea
Jan 12, 2018 10:15Vyombo vya usalama mashariki mwa Libya vimewakamata makumi ya wahajiri raia wa Somalia, Eritrea na Ethiopia, ambao walikwepa mtego wa magendo ya binadamu.
-
Umoja wa Mataifa wataka kufanyika uchaguzi Libya mwaka huu
Jan 11, 2018 00:29Umoja wa Mataifa umesema uko tayari kuisaidia Libya katika maandalizi ya uchaguzi mkuu kufikia mwishoni mwa mwaka huu 2018.
-
Wahajiri 100 wahofiwa kufa maji katika Bahari ya Mediterranean
Jan 10, 2018 12:26Jeshi la Majini la Libya limetangaza kuwa yumkini wahajiri 100 waliotoweka katika ajali ya boti katika Bahari ya Mediterranean wakiwa safarini kulekea Ulaya, wamekufa maji.