-
Kwa akali wahajiri 64 wa Kiafrika wafa maji katika pwani ya Libya
Jan 09, 2018 04:11Kwa akali wahajiri 64 wameripotiwa kufariki dunia baada ya kuzama maji katika bahari ya Mediterranean wakati wakielekea nchini Italia.
-
Operesheni ya kijeshi ya jeshi la Libya yamalizika katika mpaka wa Tunisia
Jan 09, 2018 01:15Baraza la uongozi la serikali ya umoja wa kitaifa nchini Libya limetangaza habari ya kumalizika operesheni za kijeshi za nchi hiyo katika eneo la Abu Kammash karibu na kivuko cha Ras Jdir kwenye mpaka wa Libya na Tunisia.
-
Operesheni za kijeshi dhidi ya magaidi mjini Benghazi, Libya zafikia tamati
Jan 02, 2018 04:06Jeshi la Libya lililo mashariki mwa Libya limetangaza kwamba limehitimisha operesheni zake dhidi ya makundi ya kigaidi mjini Benghazi.
-
Libya yawarejesha nyumbani wahajiri haramu 142 wa Guinea
Dec 28, 2017 04:23Libya imewarejesha nchini kwao wahajiri haramu wapatao 142 raia wa Guinea, ikiwa ni katika jitihada za kupunguza msongamano wa wahamiaji haramu wanaozuiliwa katika vituo mbali mbali nchini humo.
-
Gadi ya Pwani nchini Italia yaokoa mamia ya wahajiri katika bahari ya Mediterranea
Dec 27, 2017 03:53Askari wa Gadi ya Pwani ya Italia wametangaza habari ya kuwaokoa wahajiri 250 katika bahari ya Mediterranea.
-
UNHCR: Kundi la kwanza la wahajiri waliokuwa Libya wahamishiwa Italia
Dec 23, 2017 04:14Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limetangaza kuwa, kundi la kwanza la wahajiri waliokuwa katika jela moja nchini Libya wamehamishiwa nchini Italia.
-
Wasiwasi na mashauriano ya majirani wa Libya kuhusiana na kuendelea mgogoro wa nchi hiyo
Dec 19, 2017 23:05Juhudi za kieneo na kimataifa zenye lengo la kuutafutia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa wa Libya zinaendelea kushuhudiwa huku hatari ya kuenea ugaidi na ukosefu wa usalama ikizitishia pakubwa nchi za eneo la kaskazini mwa Afrika.
-
Unicef na Shirika la Kimataifa la Wahajiri: Watoto wahajiri elfu 36 wanahitaji msaada huko Libya
Dec 19, 2017 04:19Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (Unicef) na Shirika la Kimataifa la Wahajiri (IOM) jana yalieleza kuwa watoto wahajiri karibu elfu 36 wanahitaji msaada huko Libya na kwamba elfu 14 kati yao hawana wazazi.
-
Fayez al Sarraj aitolea wito Algeria kushiriki katika mazungumzo ya kitaifa ya Libya
Dec 18, 2017 11:00Waziri Mkuu wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya ameitaka Algeria ishiriki pakubwa katika kusogeza mbele mazungumzo ya kusaka amani ya nchi yake.
-
Russia yakadhibisha kumuunga mkono kamanda wa jeshi la Libya
Dec 16, 2017 00:16Balozi wa Russia nchini Libya amekadhibisha madai kwamba nchi yake inamuunga mkono kamanda wa jeshi la taifa la Libya na kuyataja madai hayo kuwa ya uongo.