-
Meya wa London: Trump inabidi aombe radhi rasmi
Apr 30, 2018 04:06Meya wa jiji la London Sadiq Khan amemtaka Rais Donald Trump wa Marekani atoe tamko rasmi la kuomba radhi.
-
Wananchi wa Uingereza: Tutaandamana dhidi ya Trump
Apr 27, 2018 08:04Makumi ya maelfu ya wananchi wa Uingereza wametangaza kuwa wapo tayari kushiriki katika maandamano dhidi ya ziara ya Rais Donald Trump wa Mareani mjini London.
-
Waingereza waandamana kuonyesha mshikamano wao na Wapalestina
Apr 01, 2018 17:21Wananchi na makundi ya kiraia katika mji wa London nchini Uingereza wamefanya maandamano wakitangaza uungaji mkono wao kwa wananchi wa Palestina na kulaani jinai wanazofanyiwa na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Sambamba na kuanza mwaka mpya, watu wanne wauawa kwa silaha baridi katika viunga vya London
Jan 02, 2018 04:14Polisi ya London imetangaza kuwa sambamba na kuanza mwaka mpya wa 2018 kumesajiliwa mashambulizi kadhaa ya silaha baridi katika mji huo mkuu wa Uingereza.
-
Waziri Mkuu wa Uingereza ataka misikiti ilindwe baada ya gaidi kushambulia Waislamu, London
Jun 20, 2017 02:33Waziri Mkuu wa Uingereza ametoa wito wa kuzidishwa ulinzi wa misikiti ya Waislamu baada ya gaidi kushambulia Waislamu waliokuwa wamekamilisha ibada ya Swala mjini London.
-
Shambulio la kigaidi lawalenga Waislamu wa Uingereza waliokuwa wanatoka msikitini; mmoja auawa na 10 wajeruhiwa
Jun 19, 2017 08:03Kwa akali mtu mmoja ameuawa na wengine 10 wamejeruhiwa katika shambulio la kigaidi lililowalenga Waislamu waliokuwa wanatoka msikitini usiku wa kuamkia leo katika eneo la Bustani ya Finsbury kaskazini mwa mji mkuu wa Uingereza, London.
-
Waingereza waitaka serikali kutoa sababu ya kuteketea jengo kongwe, Waislamu wasifiwa
Jun 17, 2017 04:34Kufuatia tukio la kuteketea moto jengo kongwe mjini London, wakazi wa mji huo wameitaka serikali ya Uingereza kutaja chanzo cha moto huo ambao umesababisha hasara kubwa ya mali na roho.
-
Watu tisa wauawa katika shambulio la kigaidi la London
Jun 04, 2017 04:07Watu wasiopungua saba wameuawa na wengine kadhaa kujruhiwa kufuatia shambulio la kigaidi lililotokea katika mji mkuu wa Uingereza London.
-
Rais wa Somalia aomba msaada wa kimataifa
May 12, 2017 03:42Rais Mohamed Abdullahi Mohamed wa Somalia ameiuomba jamii ya kimataifa iisaidie nchi yake katika kupambana na ugaidi, ufisadi na umaskini wa kuchupa mipaka; mambo ambayo amesema ndiye adui mkuu wa nchi hiyo.
-
Waislamu na wanaharakati waandamana London, Uingereza dhidi ya Israel
May 07, 2017 13:22Mamia ya Waislamu nchini Uingereza wamefanya maandamano katika mji mkuu London kulaani ukaliaji wa mabavu na upanuzi wa vitongoji vya walowezi za Kiyahudi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.