Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

London

  • Meya wa London: Trump inabidi aombe radhi rasmi

    Meya wa London: Trump inabidi aombe radhi rasmi

    Apr 30, 2018 04:06

    Meya wa jiji la London Sadiq Khan amemtaka Rais Donald Trump wa Marekani atoe tamko rasmi la kuomba radhi.

  • Wananchi wa Uingereza: Tutaandamana dhidi ya Trump

    Wananchi wa Uingereza: Tutaandamana dhidi ya Trump

    Apr 27, 2018 08:04

    Makumi ya maelfu ya wananchi wa Uingereza wametangaza kuwa wapo tayari kushiriki katika maandamano dhidi ya ziara ya Rais Donald Trump wa Mareani mjini London.

  • Waingereza waandamana kuonyesha mshikamano wao na Wapalestina

    Waingereza waandamana kuonyesha mshikamano wao na Wapalestina

    Apr 01, 2018 17:21

    Wananchi na makundi ya kiraia katika mji wa London nchini Uingereza wamefanya maandamano wakitangaza uungaji mkono wao kwa wananchi wa Palestina na kulaani jinai wanazofanyiwa na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Sambamba na kuanza mwaka mpya, watu wanne wauawa kwa silaha baridi katika viunga vya London

    Sambamba na kuanza mwaka mpya, watu wanne wauawa kwa silaha baridi katika viunga vya London

    Jan 02, 2018 04:14

    Polisi ya London imetangaza kuwa sambamba na kuanza mwaka mpya wa 2018 kumesajiliwa mashambulizi kadhaa ya silaha baridi katika mji huo mkuu wa Uingereza.

  • Waziri Mkuu wa Uingereza ataka misikiti ilindwe baada ya gaidi kushambulia Waislamu, London

    Waziri Mkuu wa Uingereza ataka misikiti ilindwe baada ya gaidi kushambulia Waislamu, London

    Jun 20, 2017 02:33

    Waziri Mkuu wa Uingereza ametoa wito wa kuzidishwa ulinzi wa misikiti ya Waislamu baada ya gaidi kushambulia Waislamu waliokuwa wamekamilisha ibada ya Swala mjini London.

  • Shambulio la kigaidi lawalenga Waislamu wa Uingereza waliokuwa wanatoka msikitini; mmoja auawa na 10 wajeruhiwa

    Shambulio la kigaidi lawalenga Waislamu wa Uingereza waliokuwa wanatoka msikitini; mmoja auawa na 10 wajeruhiwa

    Jun 19, 2017 08:03

    Kwa akali mtu mmoja ameuawa na wengine 10 wamejeruhiwa katika shambulio la kigaidi lililowalenga Waislamu waliokuwa wanatoka msikitini usiku wa kuamkia leo katika eneo la Bustani ya Finsbury kaskazini mwa mji mkuu wa Uingereza, London.

  • Waingereza waitaka serikali kutoa sababu ya kuteketea jengo kongwe, Waislamu wasifiwa

    Waingereza waitaka serikali kutoa sababu ya kuteketea jengo kongwe, Waislamu wasifiwa

    Jun 17, 2017 04:34

    Kufuatia tukio la kuteketea moto jengo kongwe mjini London, wakazi wa mji huo wameitaka serikali ya Uingereza kutaja chanzo cha moto huo ambao umesababisha hasara kubwa ya mali na roho.

  • Watu tisa wauawa katika shambulio la kigaidi la London

    Watu tisa wauawa katika shambulio la kigaidi la London

    Jun 04, 2017 04:07

    Watu wasiopungua saba wameuawa na wengine kadhaa kujruhiwa kufuatia shambulio la kigaidi lililotokea katika mji mkuu wa Uingereza London.

  • Rais wa Somalia aomba msaada wa kimataifa

    Rais wa Somalia aomba msaada wa kimataifa

    May 12, 2017 03:42

    Rais Mohamed Abdullahi Mohamed wa Somalia ameiuomba jamii ya kimataifa iisaidie nchi yake katika kupambana na ugaidi, ufisadi na umaskini wa kuchupa mipaka; mambo ambayo amesema ndiye adui mkuu wa nchi hiyo.

  • Waislamu na wanaharakati waandamana London, Uingereza dhidi ya Israel

    Waislamu na wanaharakati waandamana London, Uingereza dhidi ya Israel

    May 07, 2017 13:22

    Mamia ya Waislamu nchini Uingereza wamefanya maandamano katika mji mkuu London kulaani ukaliaji wa mabavu na upanuzi wa vitongoji vya walowezi za Kiyahudi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS