Dec 12, 2016 11:24
Mji mkuu wa Uingereza, London siku ya Jumamosi ulikuwa mwenyeji wa mkutano uliofanyika chini ya anuani ya "Mazingira ya Chuki na Utawala wa Kipolisi", mkutano ambao ulihudhuriwa na shakhsia mbalimbali wa kiakademia, vyuo vikuu na wa vyombo vya habari wa Uingereza, nchi zingine za Ulaya pamoja na Marekani.