-
Waislamu na wanaharakati waandamana London, Uingereza dhidi ya Israel
May 07, 2017 08:52Mamia ya Waislamu nchini Uingereza wamefanya maandamano katika mji mkuu London kulaani ukaliaji wa mabavu na upanuzi wa vitongoji vya walowezi za Kiyahudi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.
-
Kamanda wa jeshi la Saudia apigwa mayai Uingereza
Mar 31, 2017 02:55Ahmed al-Asiri, mshauri wa Wizara ya Ulinzi ya Saudia na msemaji wa muungano vamizi wa Saudia dhidi ya Yemen, ameshambuliwa na waandamanaji wanaopinga hujuma za utawala wa Aal-Saud nchini Yemen na kupigwa mayai mabovu.
-
Mhusika wa shambulio la London atajwa; majeruhi mwengine afariki dunia
Mar 24, 2017 00:02Polisi ya Uingereza imetangaza kuwa mtu aliyehusika na shambulio la Jumatano kwenye kitovu cha mji mkuu wa nchi hiyo, London ni Khalid Masood mwenye umri wa miaka 52 ambaye ni mzaliwa wa Uingereza.
-
Daesh yatangaza kuhusika na shambulizi la kigaidi Uingereza, Iran yalaani hujuma hiyo
Mar 23, 2017 11:31Kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) limetangaza kuhusika katika hujuma ya kigaidi nchini Uingereza ambayo limepelekea kwa akali watu watano kuuawa na wengine 40 kujeruhiwa.
-
Watano wauawa London katika hujuma ya kigaidi, makumi wajeruhiwa
Mar 22, 2017 22:37Watu watano wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa baada ya mtu mmoja kushambulia watu waliokuwa wakitembea kwa miguu kwa kuwagonga kwa gari nje kidogo ya jengo la Bunge la Uingireza mjini London.
-
Maelfu waandamana London, Uingereza kulaani chuki dhidi ya Uislamu
Mar 19, 2017 04:16Maelfu ya watu wamejitokeza mabarabarani katika mji mkuu wa Uingereza, London kushiriki maandamano ya kulaani chuki na uenezaji hofu dhidi ya Uislamu (Islamophobia) na ubaguzi wa rangi.
-
Mkutano wa London wa kujadili sababu za kuongezeka chuki dhidi ya Uislamu Ulaya
Dec 12, 2016 07:54Mji mkuu wa Uingereza, London siku ya Jumamosi ulikuwa mwenyeji wa mkutano uliofanyika chini ya anuani ya "Mazingira ya Chuki na Utawala wa Kipolisi", mkutano ambao ulihudhuriwa na shakhsia mbalimbali wa kiakademia, vyuo vikuu na wa vyombo vya habari wa Uingereza, nchi zingine za Ulaya pamoja na Marekani.
-
Mamia waandamana London dhidi ya gazeti la Saudia la Sharq Ausat
Nov 24, 2016 01:55Mamia waandamana London dhidi ya gazeti la Saudia la Sharq Ausat Mamia ya watu walifanya maandamano jana mjini London huko Uingereza mbele ya jengo la ofisi za gazeti linalofadhiliwa na Saudi Arabia la al Sharq al Ausat kutokana na kuwavunjia heshima wananchi wa Iraq.
-
Mahudhurio ya Iran katika Klabu ya Kimataifa ya Nyuklia
Sep 17, 2016 04:46Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (IAEO) Ali Akbar Salehi amehutubia kongamano la kila mwaka la Klabu ya Kimataifa ya Nyuklia mjini London, Uingereza akisisitzia udharura wa kuwepo ushirikiano katika masuala ya teknolojia ya nyuklia.
-
Magaidi wa Daesh watishia kuishambulia Uingereza
Jul 27, 2016 09:37Kundi la kigaidi la Daesh limetishia kuwa London itakuwa mlengwa wa mashambulizi ya kundi hilo baada ya magaidi hao kutekeleza shambulio jingine katika kanisa moja huko Normandy kaskazini mwa Ufaransa.