-
Watu wengine 5 wauawa katika maandamano ya Sudan
Apr 08, 2019 07:57Kwa akali watu watano wameuawa na maafisa usalama ndani ya masaa 48 yaliyopita, huku maandamano ya kumtaka Rais Omar al Bashir ajiuzulu yakichachamaa nchini Sudan.
-
Watu 60 wameuawa katika ghasia na maandamano nchini Sudan
Apr 07, 2019 07:12Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Physicians for Human Rights limesema kuwa, watu wasiopungua 60 wameuliwa na maafisa usalama nchini Sudan katika kipindi cha miezi mitatu ya ghasia na maandamano dhidi ya serikali.
-
Kiongozi wa upinzani Sudan amtaka Rais Bashir ajiuzulu
Apr 06, 2019 07:50Kiongozi wa kambi ya upinzani nchini Sudan amemtaka Rais Omar Hassan al-Bashir wa nchi hiyo ajiuzulu.
-
Maandamano yaendelea Sudan, polisi wapambana na waandamanaji
Apr 04, 2019 14:54Polisi ya Sudan imekabiliana na waandamanaji waliokuwa wakiandamana dhidi ya serikali katika mji mkuu wa nchi hiyo Khartoum na maeneo ya kando kando na mji mkuu huo.
-
Rais wa Sudan: Matakwa ya wananchi wanaoandamana ni halali
Apr 02, 2019 00:54Rais Omar al Bashir wa Sudan amekiri kuwa matakwa yanayoshinikizwa na wananchi wa nchi hiyo ambao wamekuwa wakishiriki maandamano dhidi ya serikali kwa miezi kadhaa sasa ni halali.
-
Msemaji wa Netanyahu ashambuliwa vikali kwa kuwaita waandamanaji wa Kipalestina 'wake za ISIS'
Mar 31, 2019 07:49Msemaji wa Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel, Benjamin Netanyahu amejiwa juu na watumiaji wa mtandao wa kijamii wa Twitter kwa kuwaita wanawake wa Kipalestina walioshiriki maandamano ya 'Haki ya Kurejea' huku wakiwa wamevalia vazi la stara la niqabu kuwa eti ni wake za wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la ISIS (Daesh).
-
Wamarekani waandamana kupinga kushambuliwa kijeshi Venezuela
Mar 31, 2019 07:41Mamia ya wananchi wa Marekani wamefanya maandamano mjini Washington DC kupinga uingiliaji wa aina yoyote wa kijeshi wa nchi hiyo dhidi ya Venezuela.
-
Mamia waandamana London, Uingereza dhidi ya utawala haramu wa Israel
Mar 31, 2019 03:12Mamia ya watu wamejitokeza katika barabara za London, mji mkuu wa Uingereza kushiriki maandamano dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Iran: Amani ya kudumu itapatikana kwa kutamatishwa ukaliaji wa mabavu wa adhi za Palestina
Mar 30, 2019 07:57Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa taarifa kwa mnasaba wa maadhimisho ya mwaka mmoja ya Maandamano ya Wapalestina ya "Haki ya Kurejea" yaliyoanza rasmi tarehe 30 Machi mwaka jana 2018.
-
Wakazi wa Haifa, Israel waandamana kuwaunga mkono wakazi wa Gaza na wafungwa wa Kipalestina
Mar 29, 2019 08:15Wakazi wa mji wa Haifa katika ardhi za palestina zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) wamefanya maandamano kuwaunga mkono wakazi wa Ukanda wa Gaza na wafungwa wa Kipalestina wanaoteseke katika jela za kutisha za utawala huo katili.