Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Watu wengine 5 wauawa katika maandamano ya Sudan

    Watu wengine 5 wauawa katika maandamano ya Sudan

    Apr 08, 2019 07:57

    Kwa akali watu watano wameuawa na maafisa usalama ndani ya masaa 48 yaliyopita, huku maandamano ya kumtaka Rais Omar al Bashir ajiuzulu yakichachamaa nchini Sudan.

  • Watu 60 wameuawa katika ghasia na maandamano nchini Sudan

    Watu 60 wameuawa katika ghasia na maandamano nchini Sudan

    Apr 07, 2019 07:12

    Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Physicians for Human Rights limesema kuwa, watu wasiopungua 60 wameuliwa na maafisa usalama nchini Sudan katika kipindi cha miezi mitatu ya ghasia na maandamano dhidi ya serikali.

  • Kiongozi wa upinzani Sudan amtaka Rais Bashir ajiuzulu

    Kiongozi wa upinzani Sudan amtaka Rais Bashir ajiuzulu

    Apr 06, 2019 07:50

    Kiongozi wa kambi ya upinzani nchini Sudan amemtaka Rais Omar Hassan al-Bashir wa nchi hiyo ajiuzulu.

  • Maandamano yaendelea Sudan, polisi wapambana na waandamanaji

    Maandamano yaendelea Sudan, polisi wapambana na waandamanaji

    Apr 04, 2019 14:54

    Polisi ya Sudan imekabiliana na waandamanaji waliokuwa wakiandamana dhidi ya serikali katika mji mkuu wa nchi hiyo Khartoum na maeneo ya kando kando na mji mkuu huo.

  • Rais wa Sudan: Matakwa ya wananchi wanaoandamana ni halali

    Rais wa Sudan: Matakwa ya wananchi wanaoandamana ni halali

    Apr 02, 2019 00:54

    Rais Omar al Bashir wa Sudan amekiri kuwa matakwa yanayoshinikizwa na wananchi wa nchi hiyo ambao wamekuwa wakishiriki maandamano dhidi ya serikali kwa miezi kadhaa sasa ni halali.

  • Msemaji wa Netanyahu ashambuliwa vikali kwa kuwaita waandamanaji wa Kipalestina 'wake za ISIS'

    Msemaji wa Netanyahu ashambuliwa vikali kwa kuwaita waandamanaji wa Kipalestina 'wake za ISIS'

    Mar 31, 2019 07:49

    Msemaji wa Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel, Benjamin Netanyahu amejiwa juu na watumiaji wa mtandao wa kijamii wa Twitter kwa kuwaita wanawake wa Kipalestina walioshiriki maandamano ya 'Haki ya Kurejea' huku wakiwa wamevalia vazi la stara la niqabu kuwa eti ni wake za wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la ISIS (Daesh).

  • Wamarekani waandamana kupinga kushambuliwa kijeshi Venezuela

    Wamarekani waandamana kupinga kushambuliwa kijeshi Venezuela

    Mar 31, 2019 07:41

    Mamia ya wananchi wa Marekani wamefanya maandamano mjini Washington DC kupinga uingiliaji wa aina yoyote wa kijeshi wa nchi hiyo dhidi ya Venezuela.

  • Mamia waandamana London, Uingereza dhidi ya utawala haramu wa Israel

    Mamia waandamana London, Uingereza dhidi ya utawala haramu wa Israel

    Mar 31, 2019 03:12

    Mamia ya watu wamejitokeza katika barabara za London, mji mkuu wa Uingereza kushiriki maandamano dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Iran: Amani ya kudumu itapatikana kwa kutamatishwa ukaliaji wa mabavu wa adhi za Palestina

    Iran: Amani ya kudumu itapatikana kwa kutamatishwa ukaliaji wa mabavu wa adhi za Palestina

    Mar 30, 2019 07:57

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa taarifa kwa mnasaba wa maadhimisho ya mwaka mmoja ya Maandamano ya Wapalestina ya "Haki ya Kurejea" yaliyoanza rasmi tarehe 30 Machi mwaka jana 2018.

  • Wakazi wa Haifa, Israel waandamana kuwaunga mkono wakazi wa Gaza na wafungwa wa Kipalestina

    Wakazi wa Haifa, Israel waandamana kuwaunga mkono wakazi wa Gaza na wafungwa wa Kipalestina

    Mar 29, 2019 08:15

    Wakazi wa mji wa Haifa katika ardhi za palestina zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) wamefanya maandamano kuwaunga mkono wakazi wa Ukanda wa Gaza na wafungwa wa Kipalestina wanaoteseke katika jela za kutisha za utawala huo katili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS