Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Mamia waandamana London, Uingereza dhidi ya utawala haramu wa Israel

    Mamia waandamana London, Uingereza dhidi ya utawala haramu wa Israel

    Mar 30, 2019 22:42

    Mamia ya watu wamejitokeza katika barabara za London, mji mkuu wa Uingereza kushiriki maandamano dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Iran: Amani ya kudumu itapatikana kwa kutamatishwa ukaliaji wa mabavu wa adhi za Palestina

    Iran: Amani ya kudumu itapatikana kwa kutamatishwa ukaliaji wa mabavu wa adhi za Palestina

    Mar 30, 2019 03:27

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa taarifa kwa mnasaba wa maadhimisho ya mwaka mmoja ya Maandamano ya Wapalestina ya "Haki ya Kurejea" yaliyoanza rasmi tarehe 30 Machi mwaka jana 2018.

  • Wakazi wa Haifa, Israel waandamana kuwaunga mkono wakazi wa Gaza na wafungwa wa Kipalestina

    Wakazi wa Haifa, Israel waandamana kuwaunga mkono wakazi wa Gaza na wafungwa wa Kipalestina

    Mar 29, 2019 03:45

    Wakazi wa mji wa Haifa katika ardhi za palestina zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) wamefanya maandamano kuwaunga mkono wakazi wa Ukanda wa Gaza na wafungwa wa Kipalestina wanaoteseke katika jela za kutisha za utawala huo katili.

  • Wanawake waandamana Comoro kupinga ushindi wa Rais Azali

    Wanawake waandamana Comoro kupinga ushindi wa Rais Azali

    Mar 28, 2019 10:37

    Makumi ya wanawake katika visiwa vya Comoro wamefanya maandamano hii leo kupinga ushindi wa Rais Azali Assoumani katika uchaguzi wa rais wa hivi karibuni.

  • Waziri: Hakuna mgogoro wa kisiasa Sudan, yaliyoko ni matatizo ya kiuchumi

    Waziri: Hakuna mgogoro wa kisiasa Sudan, yaliyoko ni matatizo ya kiuchumi

    Mar 26, 2019 03:05

    Waziri wa Habari wa Sudan amesema hakuna mgogoro wa kisiasa katika nchi hiyo, bali kinachoshuhudiwa ni changamoto za kiuchumi.

  • Waingereza waandamana London kutaka kufanyika kura mpya ya maoni kuhusu Brexit

    Waingereza waandamana London kutaka kufanyika kura mpya ya maoni kuhusu Brexit

    Mar 24, 2019 03:01

    Mamia ya maelfu ya wananchi wa Uingereza wamefanya maandamano katika mji mkuu London, kushinikiza kufanyika kura mpya ya maoni kuhusu suala la kujitoa nchi hiyo katika Umoja wa Ulaya (Brexit).

  • Waislamu wa Nigeria waandamana tena kushinikiza Sheikh Zakzaky aachiliwe huru

    Waislamu wa Nigeria waandamana tena kushinikiza Sheikh Zakzaky aachiliwe huru

    Mar 21, 2019 11:30

    Kwa mara nyingine tena, wananchi Waislamu wa Nigeria wamefanya maandamano ya kutaka kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo Sheikh Ibrahim Zakzaky aachiliwe huru.

  • Waniger waandamana kupinga uwepo wa askari wa kigeni nchini kwao

    Waniger waandamana kupinga uwepo wa askari wa kigeni nchini kwao

    Mar 17, 2019 03:33

    Mamia ya raia wa Niger jana Jumamosi walifanya maandamano makubwa katika mji mkuu wa nchi hiyo Niamey wakipinga uwepo wa askari wa kigeni katika nchi yao.

  • Maandamano makubwa yafanyika London kupinga ubaguzi

    Maandamano makubwa yafanyika London kupinga ubaguzi

    Mar 17, 2019 00:56

    Makumi ya maelfu ya watu walikusanyika kati kati ya mji mkuu wa Uingereza, London jana Jumamosi kulaani na kupinga chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) na ubaguzi wa rangi.

  • Maafisa wa chama tawala Algeria wajitenga na Rais Bouteflika

    Maafisa wa chama tawala Algeria wajitenga na Rais Bouteflika

    Mar 16, 2019 01:12

    Maafisa waandamizi wa chama tawala nchini Algeria cha FNL wamemtaka Rais Abdelaziz Bouteflika wa nchi hiyo kuchukua hatua ya 'kihistoria', hatua nyingine ambayo inaashiria kuwa chama hicho kimeendelea kujiweka mbali na Bouteflika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS