-
Wanawake waandamana Comoro kupinga ushindi wa Rais Azali
Mar 28, 2019 10:37Makumi ya wanawake katika visiwa vya Comoro wamefanya maandamano hii leo kupinga ushindi wa Rais Azali Assoumani katika uchaguzi wa rais wa hivi karibuni.
-
Waziri: Hakuna mgogoro wa kisiasa Sudan, yaliyoko ni matatizo ya kiuchumi
Mar 26, 2019 03:05Waziri wa Habari wa Sudan amesema hakuna mgogoro wa kisiasa katika nchi hiyo, bali kinachoshuhudiwa ni changamoto za kiuchumi.
-
Waingereza waandamana London kutaka kufanyika kura mpya ya maoni kuhusu Brexit
Mar 24, 2019 03:01Mamia ya maelfu ya wananchi wa Uingereza wamefanya maandamano katika mji mkuu London, kushinikiza kufanyika kura mpya ya maoni kuhusu suala la kujitoa nchi hiyo katika Umoja wa Ulaya (Brexit).
-
Waislamu wa Nigeria waandamana tena kushinikiza Sheikh Zakzaky aachiliwe huru
Mar 21, 2019 11:30Kwa mara nyingine tena, wananchi Waislamu wa Nigeria wamefanya maandamano ya kutaka kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo Sheikh Ibrahim Zakzaky aachiliwe huru.
-
Waniger waandamana kupinga uwepo wa askari wa kigeni nchini kwao
Mar 17, 2019 03:33Mamia ya raia wa Niger jana Jumamosi walifanya maandamano makubwa katika mji mkuu wa nchi hiyo Niamey wakipinga uwepo wa askari wa kigeni katika nchi yao.
-
Maandamano makubwa yafanyika London kupinga ubaguzi
Mar 17, 2019 00:56Makumi ya maelfu ya watu walikusanyika kati kati ya mji mkuu wa Uingereza, London jana Jumamosi kulaani na kupinga chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) na ubaguzi wa rangi.
-
Maafisa wa chama tawala Algeria wajitenga na Rais Bouteflika
Mar 16, 2019 01:12Maafisa waandamizi wa chama tawala nchini Algeria cha FNL wamemtaka Rais Abdelaziz Bouteflika wa nchi hiyo kuchukua hatua ya 'kihistoria', hatua nyingine ambayo inaashiria kuwa chama hicho kimeendelea kujiweka mbali na Bouteflika.
-
Rais Bouteflika kurejea nchini Algeria leo, maandamano yachachamaa
Mar 10, 2019 10:51Rais Abdelaziz Bouteflika wa Algeria anatazamiwa kurejea katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika leo Jumapili, baada ya kuwa nje ya nchi kwa muda wa wiki mbili kwa ajili ya matibabu.
-
Maandamano ya Vizibao vya Njano yafanyika kwa wiki ya 17 dhidi ya Macron, Ufaransa
Mar 09, 2019 11:39Maandamano ya wananchi wa Ufaransa ya kupinga siasa za serikali ya nchi hiyo mashuhuri kama maandamano ya harakatri ya Visibao vya Njano yamefanyika leo kwa wiki ya 17.
-
Waalgeria waandamana hadi hospitali alikolazwa Bouteflika nchini Uswisi
Mar 09, 2019 00:52Waalgeria wanaoishi nchini Uswisi wamefanya maandamano ya kupinga msimamo wa Rais Abdelaziz Bouteflika wa kugombea tena urais kwa muhula wa tano.