Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Rais Bouteflika kurejea nchini Algeria leo, maandamano yachachamaa

    Rais Bouteflika kurejea nchini Algeria leo, maandamano yachachamaa

    Mar 10, 2019 10:51

    Rais Abdelaziz Bouteflika wa Algeria anatazamiwa kurejea katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika leo Jumapili, baada ya kuwa nje ya nchi kwa muda wa wiki mbili kwa ajili ya matibabu.

  • Maandamano ya Vizibao vya Njano yafanyika kwa wiki ya 17 dhidi ya Macron, Ufaransa

    Maandamano ya Vizibao vya Njano yafanyika kwa wiki ya 17 dhidi ya Macron, Ufaransa

    Mar 09, 2019 11:39

    Maandamano ya wananchi wa Ufaransa ya kupinga siasa za serikali ya nchi hiyo mashuhuri kama maandamano ya harakatri ya Visibao vya Njano yamefanyika leo kwa wiki ya 17.

  • Waalgeria waandamana hadi hospitali alikolazwa Bouteflika nchini Uswisi

    Waalgeria waandamana hadi hospitali alikolazwa Bouteflika nchini Uswisi

    Mar 09, 2019 00:52

    Waalgeria wanaoishi nchini Uswisi wamefanya maandamano ya kupinga msimamo wa Rais Abdelaziz Bouteflika wa kugombea tena urais kwa muhula wa tano.

  • Nchi za Magharibi zavunja kimya, zaitaka Algeria iheshimu haki za raia

    Nchi za Magharibi zavunja kimya, zaitaka Algeria iheshimu haki za raia

    Mar 06, 2019 04:46

    Nchi za Magharibi zimevunja kimya chao cha muda sasa mbele ya ukandamizaji mkubwa unaofanywa na vyombo vya dola nchini Algeria dhidi ya raia wanaopinga uamuzi wa rais mgonjwa wa nchi hiyo wa kutaka kugombea tena kiti hicho na kuitaka serikali ya Algiers iheshimu haki za raia ikiwemo haki ya kufanya maandamano ya amani.

  • Makumi wakamatwa Marekani kwa kulalamikia mauaji ya kijana mweusi

    Makumi wakamatwa Marekani kwa kulalamikia mauaji ya kijana mweusi

    Mar 05, 2019 11:01

    Makumi ya watu wametiwa mbaroni na polisi ya Marekani kwa kushiriki maandamano ya kupinga hatua ya Ofisi ya Mwendesha Mashitaka Mkuu wa Serikali katika wilaya ya Sacramento jimboni California nchini humo, kuwaondolea mashitaka maafisa wa polisi waliommiminia risasi na kumuua kijana mweusi ambaye hakuwa amejizatiti kwa silaha yoyote mwaka jana.

  • Mamia ya wanachuo waandamana nchini Algeria dhidi ya Bouteflika

    Mamia ya wanachuo waandamana nchini Algeria dhidi ya Bouteflika

    Feb 27, 2019 04:28

    Mamia ya wanafunzi wa vyuo vikuu wa Algeria wamefanya maandamano katika barabara za mji mkuu wa nchi hiyo Algiers, kupinga mpango wa rais wa nchi hiyo Abdulaziz Bouteflika, kugombea tena urais kwa muhula wa tano.

  • Rais wa Sudan avunja serikali na kutangaza hali ya hatari 'kuzima' maandamano dhidi yake

    Rais wa Sudan avunja serikali na kutangaza hali ya hatari 'kuzima' maandamano dhidi yake

    Feb 23, 2019 03:09

    Rais Omar Hassan al-Bashir wa Sudan ametangaza hali ya hatari nchi nzima, huku akiipiga kalamu nyekundu serikali ya kifederali ya nchi hiyo.

  • Maandamano yaendelea Sudan, wananchi wamtaka al Bashir ang'atuke

    Maandamano yaendelea Sudan, wananchi wamtaka al Bashir ang'atuke

    Feb 22, 2019 12:39

    Askari wa usalama wa Sudan wametumia gesi ya kutoa machozi kukabiliana na mamia ya watu walifanya maandamano leo dhidi ya serikali ya nchi hiyo baada ya Swala ya Ijumaa.

  • Serikali ya Sudan yawakamata viongozi wa upinzani

    Serikali ya Sudan yawakamata viongozi wa upinzani

    Feb 21, 2019 12:03

    Maafisa wa polisi nchini Sudan wamewatia mbaroni viongozi waandamizi wa vyama vya upinzani, muda mfupi kabla ya kuanza wimbi jipya la maandamano dhidi ya serikali.

  • Waalgeria wapinga Bouteflika kugombea tena kiti cha rais

    Waalgeria wapinga Bouteflika kugombea tena kiti cha rais

    Feb 17, 2019 08:51

    Makundi mbalimbali ya wananchi wa Algeria wamefanya maandamano leo wakipinga uamuzi wa Rais wa sasa wa nchi hiyo, Abdelaziz Bouteflika kugombea kiti hicho kwa mara ya tano.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS