Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Baada ya mgomo, sasa walimu Tunisia wafanya maandamano

    Baada ya mgomo, sasa walimu Tunisia wafanya maandamano

    Feb 07, 2019 11:10

    Maelfu ya walimu nchini Tunisia wamemiminika mabarabarani katika mji mkuu Tunis kushiriki maandamano yaliyoitishwa kwa lengo la kuishinikiza serikali iliyokataa kuwapandishia mishahara wafanyakazi wa umma.

  •  Wayahudi wenye asili ya Ethiopia waandamana Tel Aviv kupinga ukatili wa polisi wa Kizayuni

    Wayahudi wenye asili ya Ethiopia waandamana Tel Aviv kupinga ukatili wa polisi wa Kizayuni

    Jan 31, 2019 11:20

    Maelfu ya Wayahudi wenye asili ya Ethiopia yaani Mafalasha wamefanya maandamano huko Tel Aviv kupinga ubaguzi wa rangi na ukandamizaji wa polisi wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Vyombo vya usalama Sudan vyamwachia huru Naibu Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani

    Vyombo vya usalama Sudan vyamwachia huru Naibu Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani

    Jan 30, 2019 11:13

    Vyombo vya usalama vya serikali ya Sudan vimemwachia huru Naibu Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani cha Umma Mariam Sadiq al-Mahdi.

  • Kinara wa kambi ya upinzani Cameroon atiwa nguvuni

    Kinara wa kambi ya upinzani Cameroon atiwa nguvuni

    Jan 29, 2019 04:50

    Vyombo vya usalama vya Cameroon vimemtia nguvuni kiongozi wa chama kikuu cha upinzani baada ya maandamano ya mwishoni mwa wiki iliyopita yaliyotawanywa na askari usalama kwa kutumia risasi za moto.

  • Waislamu Nigeria washinikiza kuachiwa huru mwanahabari Marzieh Hashemi

    Waislamu Nigeria washinikiza kuachiwa huru mwanahabari Marzieh Hashemi

    Jan 22, 2019 04:26

    Waislamu na wanaharakati wa kutetea haki za binadamu nchini Nigeria wamefanya maandamano kulaani kukamatwa na kuwekwa kizuizini nchini Marekani Marzieh Hashemi, mwandishi wa habari na mtangazaji wa kanali ya kimataifa ya Press TV ya Iran.

  • Waandamanaji waendelea kuuawa Sudan, serikali yavituhumu vyama vya mrengo wa kushoto

    Waandamanaji waendelea kuuawa Sudan, serikali yavituhumu vyama vya mrengo wa kushoto

    Jan 21, 2019 23:52

    Idadi ya watu waliouawa kwa kupigwa risasi nchini Sudan katika "Maandamano ya Mkate" inaendelea kuongezeka baada ya kufariki dunia mwanafunzi wa chuo kikuu aliyepigwa risasi kichwani.

  • Maelfu ya wanawake waandamana dhidi ya Trump Marekani na Ulaya

    Maelfu ya wanawake waandamana dhidi ya Trump Marekani na Ulaya

    Jan 20, 2019 04:13

    Maelfu ya wanawake wameshiriki maandamano katika miji mikubwa ya Marekani na Ulaya kupinga sera za kibaguzi za Rais Donald Trump.

  • Wasudan waendeleza maandamano ya mkate, polisi yaua watu watatu

    Wasudan waendeleza maandamano ya mkate, polisi yaua watu watatu

    Jan 18, 2019 12:35

    Maandamano ya kumtaka Rais Omar Hassan al Bashir wa Sudan ang'atuke madarakani yameendelea mapema leo Ijumaa katika maeneo mbalimbali ya nchi hiyo baada ya mauaji ya watu watatu waliopigwa risasi na polisi katika maandamano ya jana mjini Khartoum.

  • Wasudan waendeleza maandamano ya mkate, wamtaka al Bashir ang'atuke

    Wasudan waendeleza maandamano ya mkate, wamtaka al Bashir ang'atuke

    Jan 18, 2019 00:23

    Maelfu ya Wasudan waliandamana tena jana Alkhamisi katika miji mbalimbali ya nchi hiyo wakitaka kuondoka madarakani serikali ya Rais Omar al Bashir wa nchi hiyo.

  • Mgomo wa nchi nzima wa wafanyakazi waanza nchini Tunisia

    Mgomo wa nchi nzima wa wafanyakazi waanza nchini Tunisia

    Jan 17, 2019 04:10

    Muungano mkubwa zaidi wa wafanyakazi nchini Tunisia UGTT umesema mgomo wa nchi nzima wa malaki ya watumishi wa umma umeng'oa nanga hii leo Alkhamisi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS