-
Zimbabwe yatumia wanajeshi kuzima maandamano, kadhaa wauawa
Jan 15, 2019 11:08Watu wasiopungua watano wameuawa na maafisa usalama huku maandamano ya kupinga ongezeko la bei ya mafuta kwa asilimia 150 nchini Zimbabwe yakishtadi.
-
Ghasia zaibuka Ethiopia kufuatia kuongezeka mapigano ya kikabila
Jan 15, 2019 04:45Ghasia zimeshika kasi nchini Ethiopia kufuatia kuongezeka mapigano ya kikabila katika eneo la kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
-
Maandamano Zimbabwe baada ya ongezeko la bei ya mafuta kwa 150%
Jan 14, 2019 12:00Wananchi wa Zimbabwe hii leo wamefanya maandamano katika miji mikubwa ya nchi hiyo ukiwemo mji mkuu Harare, kulalamikia ongezeko la bei ya fueli kwa asilimia 150 lililotangazwa jana na Rais Emmerson Mnangagwa wa nchi hiyo.
-
Polisi wa Israel wawashambulia Wakristo waliopinga kudhalilishwa Nabii Issa (as)
Jan 12, 2019 09:34Maandamano ya amani ya Wakristo wanaoishi ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) yamefanyika karibu na jumba la makumbusho la mji wa Haifa wakipinga picha za kumvunjiwa heshima Nabii Issa (Yesu Kristo) ambapo yameishia kwenye ghasia na machafuko baada ya kushambuliwa na polisi wa utawala haramu wa Israel.
-
Askari katili wa Israel wamuua shahidi kwa risasi mwanamke wa Kipalestina
Jan 12, 2019 04:10Jeshi katili la utawala wa Kizayuni wa Israel limemuua shahidi kwa kumpiga risasi mwanamke wa Kipalestina katika Ukanda wa Gaza.
-
Jumuiya ya Madaktari nchini Sudan yaitisha mgomo wa nchi nzima
Jan 11, 2019 04:37Jumuiya ya Madaktari nchini Sudan imeitisha mgomo wa nchi nzima ikilalamikia kuuawa kiholela waandamanaji kadhaa katika mji wa Omdurman.
-
Mo Ibrahim: ICC imfutie mashitaka Rais wa Sudan iwapo ataachia ngazi
Jan 09, 2019 23:20Bilionea mashuhuri mzawa wa Sudan, Mohammed Ibrahim amesema Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC inapaswa kumuondolea mashitaka Rais Omar al-Bashir wa Sudan iwapo atakubali kujiuzulu, kama anavyoshinikizwa na wananchi wanaofanya maandamano dhidi yake tangu mwezi uliopita.
-
Maandamano yaendelea Sudan, wahadhiri wa vyuo vikuu watiwa nguvuni
Jan 06, 2019 09:11Askari usalama wa Sudan wamewatia nguvuni wahadhiri wa vyuo vikuuu walioanzisha mgomo leo mjini Khaertoum na kukabiliana na waandamanaji kwa mabomu ya kutoa machozi.
-
Muungano mkuu wa upinzani nchini Sudan wamtaka Rais Bashir ajiuzulu
Jan 02, 2019 23:43Muungano mkubwa zaidi wa upinzani wa Nidaa nchini Sudan umemtaka Rais Omar al-Bashir wa nchi hiyo aachie ngazi, huku maandamano dhidi ya serikali yakiendelea.
-
Umoja wa Mataifa wataka kufanyike uchunguzi kuhusu mauaji ya waandamanaji Sudan
Dec 29, 2018 12:53Umoja wa Mataifa umelezea kusikitishwa sana na machafuko pamoja na mauaji ya waandamanaji nchini Sudan na umewataka viongozi wa nchi hiyo wafanye uchunguzi unaotakiwa wa kubaini kwa nini waandamanaji wanauawa.