Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Maandamano yaendelea Sudan, wahadhiri wa vyuo vikuu watiwa nguvuni

    Maandamano yaendelea Sudan, wahadhiri wa vyuo vikuu watiwa nguvuni

    Jan 06, 2019 09:11

    Askari usalama wa Sudan wamewatia nguvuni wahadhiri wa vyuo vikuuu walioanzisha mgomo leo mjini Khaertoum na kukabiliana na waandamanaji kwa mabomu ya kutoa machozi.

  • Muungano mkuu wa upinzani nchini Sudan wamtaka Rais Bashir ajiuzulu

    Muungano mkuu wa upinzani nchini Sudan wamtaka Rais Bashir ajiuzulu

    Jan 02, 2019 23:43

    Muungano mkubwa zaidi wa upinzani wa Nidaa nchini Sudan umemtaka Rais Omar al-Bashir wa nchi hiyo aachie ngazi, huku maandamano dhidi ya serikali yakiendelea.

  • Umoja wa Mataifa wataka kufanyike uchunguzi kuhusu mauaji ya waandamanaji Sudan

    Umoja wa Mataifa wataka kufanyike uchunguzi kuhusu mauaji ya waandamanaji Sudan

    Dec 29, 2018 12:53

    Umoja wa Mataifa umelezea kusikitishwa sana na machafuko pamoja na mauaji ya waandamanaji nchini Sudan na umewataka viongozi wa nchi hiyo wafanye uchunguzi unaotakiwa wa kubaini kwa nini waandamanaji wanauawa.

  • Helikopta ya Israel yawashambulia Wapalestina wa Ukanda wa Gaza

    Helikopta ya Israel yawashambulia Wapalestina wa Ukanda wa Gaza

    Dec 29, 2018 04:28

    Helikopta ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni wa Israel imeshambulia maeneo ya kusini mwa Ukanda wa Gaza, kwa madai kuwa hujuma hiyo ni ya ulipizaji kisasi baada ya Wapalestina kuwavurumishia roketi.

  • Polisi Sudan wawashambulia waandamanaji wakitoka msikitini

    Polisi Sudan wawashambulia waandamanaji wakitoka msikitini

    Dec 28, 2018 12:37

    Maafisa usalama nchini Sudan wamewashambulia kwa mabomu ya kutoa machozi, waumini wa Kiislamu waliokuwa wakishiriki 'maandamano ya amani' baada ya Sala ya Ijumaa, katika mji wa Omdurman, nje kidogo ya mji mkuu Khartoum.

  • 'Maandamano ya Mkate' yazidi kuigubika Sudan, Rais al-Bashir akalia kuti kavu

    'Maandamano ya Mkate' yazidi kuigubika Sudan, Rais al-Bashir akalia kuti kavu

    Dec 27, 2018 11:28

    Maandamano ya mkate ambayo yamekuwa yakishushuhudiwa nchini Sudan kwa wiki moja sasa na ambayo yamechukua mkondo wa kisiasa, yamezidi kuigubika nchi hiyo na kuifanya serikali ya Rais Omar Hassan al-Bashir ikabiliwe na mashinikizo zaidi.

  • Rais al Bashir atishia kukata mikono ya waandamanaji Sudan

    Rais al Bashir atishia kukata mikono ya waandamanaji Sudan

    Dec 27, 2018 04:16

    Rais Hassan al Bashir wa Sudan amekemea vikali "maandamano ya mkate" yanayoendelea kwa zaidi ya wiki moja sasa nchini humo dhidi ya serikali yake na kusema kuwa atakata mikono ya waandamanaji hao.

  • Msudan mwingine auawa katika maandamano

    Msudan mwingine auawa katika maandamano

    Dec 26, 2018 09:52

    Baada ya kuuawa Msudan mwingine katika maandamano ya kupinga serikali, idadi ya wahanga waliopoteza maisha yao katika maandamano yaliyoanza wiki iliyopita, wameshafikia 38.

  • Amnesty: Watu 37 wameuawa katika 'maandamano ya mkate' Sudan

    Amnesty: Watu 37 wameuawa katika 'maandamano ya mkate' Sudan

    Dec 25, 2018 23:36

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema makumi ya watu wameuawa katika makabiliano baina ya polisi na waandamanaji nchini Sudan.

  • Wapinzani: Waliouawa katika 'maandamano ya mkate' Sudan ni 22

    Wapinzani: Waliouawa katika 'maandamano ya mkate' Sudan ni 22

    Dec 23, 2018 03:53

    Kiongozi mkuu wa upinzani nchini Sudan, Sadiq al-Mahdi amedai kuwa watu waliouawa na maafisa usalama katika maandamano ya kulalamikia kupanda kwa bei za bidhaa muhimu kama mkate na hali mbaya ya uchumi ni 22.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS