-
Warohingya walioko Bangladesh wakataa kurejeshwa nchini Myanmar
Jan 19, 2018 10:23Mamia ya wakimbizi wa Kirohingya walioko nchini Bangladesh leo Ijumaa wamefanya maandamano wakipinga mpango wa kuwarejesha nchini Myanmar, ambako walikimbia mauaji na mashambulizi kutoka kwa jeshi la nchi hiyo likishirikiana na Mabudha wenye misimamo mikali.
-
Polisi Sudan watumia mabomu na bakora kuzima maandamano
Jan 16, 2018 11:08Maafisa usalama nchini Sudan wametumia mabomu ya kutoa machozi kuwatawanya waandamanaji, wanaolalamikia ughali wa maisha na hali ngumu ya kiuchumi.
-
Bandera za Israel zachomwa moto kumkaribisha Netanyahu India
Jan 14, 2018 04:32Maandamano makubwa yameshuhudiwa katika mji mkuu wa India, New Delhi, kabla ya kuanza safari ya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu katika nchi hiyo.
-
Rais wa Tunisia afanya mkutano wa kusitisha maandamano
Jan 14, 2018 04:23Rais wa Tunisia amevunja kimya chake na kufanya mkutano na vyama vya siasa, miungano ya wafanyakazi na shirikisho la waajiri kwa shabaha yan kuutafutia ufumbuzi mgogoro wa kiuchumi na maandamano yanayoshuhudiwa nchini humo kwa siku kadhaa sasa.
-
Maandamano ya kulalamikia mfumko wa bei yashtadi Tunisia
Jan 09, 2018 12:21Mtu mmoja ameuawa, huku wengine kadhaa wakijeruhiwa katika maandamano ya wananchi wa Tunisia wanaolalamikia mfumko wa bei za bidhaa na kile wanachokitaja kama 'bajeti isiyo ya uadilifu'.
-
Wairani waandamana kupinga fujo na machafuko na kuunga mkono Mfumo wa Kiislamu
Jan 03, 2018 12:08Wananchi wa Iran kutoka pembe mbalimbali za nchi wamefanya maandamano hii leo kuuunga mkono Mfumo wa Kiislamu unaotawala sambamba na kulaani ghasia zinazoshuhudiwa katika baadhi ya maeneo.
-
Tehran: Israel, US hazina ufahamu juu ya taifa la Iran
Dec 31, 2017 11:23Waziri wa Mambo ya Ndani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema utawala wa Kizayuni wa Israel, Marekani na nchi nyingine zinazojifanya kutetea haki za Wairani hazina ufahamu wowote kuhusu taifa la Iran.
-
Waisraeli waandamana dhidi ya Netanyahu kwa wiki ya tano
Dec 31, 2017 11:17Maelfu ya Waisraeli wamemiminika mabarabarani kwa wiki ya tano mfululizo kushiriki maandamano ya kushinikiza kufungwa jela Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni, Benjamin Netanyahu kutokana na kashfa za ufisadi wa kifedha zinazomuandama.
-
Kadhaa wauawa katika maandamano dhidi ya serikali Kongo DR
Dec 31, 2017 11:09Kwa akali watu wawili wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika ghasia za maandamano dhidi ya serikali katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Wapalestina wawili wauawa shahidi katika maandamano ya tatu ya "Ijumaa ya Ghadhabu" ya kupinga uamuzi wa Trump
Dec 22, 2017 23:13Wapalestina wawili wameuliwa shahidi na makumi ya wengine wamejeruhiwa huko Ukanda wa Gaza katika maandamano ya tatu ya "Ijumaa ya Ghadhabu" ya kupinga na kulaani uamuzi wa rais wa Marekani wa kuitangaza Quds kuwa mji mkuu wa Israel.