Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Wananchi wa Mauritania waandamana kumlaani Donald Trump

    Wananchi wa Mauritania waandamana kumlaani Donald Trump

    Dec 11, 2017 11:02

    Wananchi wa Mauritania wameungana na Waislamu na wapenda haki katika kona zote za dunia kuendeleza maandamano ya kumlaani rais wa Marekani, Donald Trump kwa hatua yake ya kuitambua Quds kuwa mji mkuu wa utawala pandikizi wa Israel.

  • Wajordan waandamana kumlaani Rais wa Marekani

    Wajordan waandamana kumlaani Rais wa Marekani

    Dec 09, 2017 11:51

    Wananchi wa Jordan pamoja na viongozi wa sekta mbalimbali akiwemo spika wa bunge la nchi hiyo wamefanya maandamano karibu na ubalozi wa Marekani mjini Amman kulaani hatua ya rais wa Marekani, Donald Trump, ya kuitambua Baytul Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala ghasibu wa Kizayuni.

  • Trump alaaniwa katika kila kona ya dunia

    Trump alaaniwa katika kila kona ya dunia

    Dec 07, 2017 04:07

    Uamuzi wa rais wa Marekani wa kuutangaza mji mtakatifu wa Quds wenye Kibla cha Kwanza cha Waislamu kuwa eti ni mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel umeendelea kulaaniwa na hata waitifaki wa karibu wa Marekani katika kila kona ya dunia.

  • Serikali ya Congo DR yapiga marufuku maandamano ya wapinzani

    Serikali ya Congo DR yapiga marufuku maandamano ya wapinzani

    Nov 27, 2017 04:40

    Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imepiga marufuku maandamano ya kambi ya upinzani yaliyopangwa kufanyika tarehe 30 mwezi huu wa Novemba kumshinikiz Rais Joseph Kabila wa nchi hiyo aondoke madarakani.

  • Wanigeria waandamana kutaka Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu aachiliwe huru

    Wanigeria waandamana kutaka Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu aachiliwe huru

    Nov 26, 2017 00:15

    Wanawake wameandamana katika mji mkuu wa Nigeria, Abuja wakitaka serikali imuachilie huru kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini humo Sheikh Ibrahim Zakzaky na mke wake.

  • Wanachuo Zimbabwe waandamana dhidi ya Mugabe

    Wanachuo Zimbabwe waandamana dhidi ya Mugabe

    Nov 20, 2017 11:06

    Wanachuo nchini Zimbabwe wamefanya maandamano katika kuonyesha upinzani wao kwa rais wa nchi hiyo.

  • Wajerumani waandamana kupinga chokochoko za Marekani dhidi ya Korea Kaskazini

    Wajerumani waandamana kupinga chokochoko za Marekani dhidi ya Korea Kaskazini

    Nov 19, 2017 04:05

    Raia wa Ujerumani wameandamana katika mji mkuu wa nchi Berlin hiyo kulalamikia kuongezeka mivutano kati ya Marekani na Korea Kaskazini.

  • Maelfu waandamana Zimbabwe wakishinikiza Mugabe ajiuzulu

    Maelfu waandamana Zimbabwe wakishinikiza Mugabe ajiuzulu

    Nov 18, 2017 11:27

    Maelfu ya raia wameandamana leo nchini Zimbabwe hasa katika mji mkuu Harare wakiunga mkono hatua ya jeshi ya kumuondoa madarakani Rais Robert Mugabe wa nchi hiyo na kupiga nara wakishinikiza kiongozi huyo mwenye umri wa miaka 93 ajiuzulu na kuachia madaraka ya nchi.

  • Chama tawala nchini Zimbabwe kuongoza maandamano dhidi ya Mugabe

    Chama tawala nchini Zimbabwe kuongoza maandamano dhidi ya Mugabe

    Nov 17, 2017 23:50

    Chama tawala nchini Zimbabwe Zanu-PF hii leo klnatazamiwa kuongoza maandamano katika mji mkuu Harare, kumshinikiza Rais Robert Mugabe wa nchi hiyo ajiuzulu.

  • Kuendelea kusimama imara dhidi ya Saudia, ujumbe wa maandamano makubwa ya Wayemen

    Kuendelea kusimama imara dhidi ya Saudia, ujumbe wa maandamano makubwa ya Wayemen

    Nov 15, 2017 03:38

    Mwishoni mwa maandamano makubwa yaliyofanyika mjini Sana'a, mji mkuu wa Yemen siku ya Jumatatu, katika kulalamikia mzingiro wa kidhalimu wa nchi vamizi zikiongozwa na Saudia, Wayemen walitoa taarifa ikiwa ni mwaka wa tatu wa mashambulizi ya Saudia na washirika wake dhidi ya taifa lao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS