Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Maelfu waandamana Zimbabwe wakishinikiza Mugabe ajiuzulu

    Maelfu waandamana Zimbabwe wakishinikiza Mugabe ajiuzulu

    Nov 18, 2017 11:27

    Maelfu ya raia wameandamana leo nchini Zimbabwe hasa katika mji mkuu Harare wakiunga mkono hatua ya jeshi ya kumuondoa madarakani Rais Robert Mugabe wa nchi hiyo na kupiga nara wakishinikiza kiongozi huyo mwenye umri wa miaka 93 ajiuzulu na kuachia madaraka ya nchi.

  • Chama tawala nchini Zimbabwe kuongoza maandamano dhidi ya Mugabe

    Chama tawala nchini Zimbabwe kuongoza maandamano dhidi ya Mugabe

    Nov 17, 2017 23:50

    Chama tawala nchini Zimbabwe Zanu-PF hii leo klnatazamiwa kuongoza maandamano katika mji mkuu Harare, kumshinikiza Rais Robert Mugabe wa nchi hiyo ajiuzulu.

  • Kuendelea kusimama imara dhidi ya Saudia, ujumbe wa maandamano makubwa ya Wayemen

    Kuendelea kusimama imara dhidi ya Saudia, ujumbe wa maandamano makubwa ya Wayemen

    Nov 15, 2017 03:38

    Mwishoni mwa maandamano makubwa yaliyofanyika mjini Sana'a, mji mkuu wa Yemen siku ya Jumatatu, katika kulalamikia mzingiro wa kidhalimu wa nchi vamizi zikiongozwa na Saudia, Wayemen walitoa taarifa ikiwa ni mwaka wa tatu wa mashambulizi ya Saudia na washirika wake dhidi ya taifa lao.

  • Wamarekani waandamana wakitaka kubanwa umiliki wa silaha baada ya mauaji ya Texas

    Wamarekani waandamana wakitaka kubanwa umiliki wa silaha baada ya mauaji ya Texas

    Nov 07, 2017 04:48

    Wananchi wa Marekani wamefanya maandamano katika mji wa Washington kushinikiza kuangaliwa upya suala la umiliki na ruhusa ya kubeba silaha nchini humo, kufuatia mauaji ya makumi ya watu katika shambulizi la ufyatuaji risasi katika jimbo la Texas.

  • Polisi nchini Tunisia waandamana, wataka kulindwa

    Polisi nchini Tunisia waandamana, wataka kulindwa

    Nov 04, 2017 04:23

    Maafisa wa polisi nchini Tunisia wamefanya maandamano wakitaka kupitishwe rasimu ya muswada wa kuwalinda.

  • Mayahudi waandamana London kupinga safari ya Netanyahu

    Mayahudi waandamana London kupinga safari ya Netanyahu

    Nov 02, 2017 13:51

    Mayahudi wanaopinga utawala wa Kizayuni wa Israel wamefanya maandamano mjini Landon wakipinga safari ya Waziri Mkuu wa utawala huo nchini Uingereza.

  • Wapinzani Guinea Bissau waandamana wakitaka serikali ya Rais Vaz ijiuzulu

    Wapinzani Guinea Bissau waandamana wakitaka serikali ya Rais Vaz ijiuzulu

    Oct 28, 2017 04:32

    Mamia ya wafuasi wa vyama vya upinzani nchini Guinea Bissau wamefanya maandamano katika mji mkuu Bissau kushinikiza kujiuzulu serikali ya Rais Jose Mario Vaz wa nchi hiyo.

  • Waislamu Nigeria waandamana wakitaka Sheikh Zakzaky aachiliwe huru

    Waislamu Nigeria waandamana wakitaka Sheikh Zakzaky aachiliwe huru

    Oct 23, 2017 10:31

    Waislamu nchini Nigeria wameendeleza maandamano wakitaka Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria Sheikh Ibrahim Zakzaky aachiliwe huru.

  • Ghasia zashtadi Uganda, Besigye na Wabunge wa upinzani wakamatwa

    Ghasia zashtadi Uganda, Besigye na Wabunge wa upinzani wakamatwa

    Oct 20, 2017 04:00

    Mtu mmoja ameuawa huku wengine sita wakiachwa na majeraha ya risasi na kulazwa hospitalini katika wilaya ya Rukungiri, kufuatia ghasia zilizotokana na maandamano ya kupinga mpango wa kuondoa kikomo cha umri wa kugombea urais nchini Uganda.

  • Upinzani Kenya wasimamisha maandamano, Ruto amtaka Odinga ashiriki uchaguzi

    Upinzani Kenya wasimamisha maandamano, Ruto amtaka Odinga ashiriki uchaguzi

    Oct 17, 2017 11:57

    Muungano wa upinzani nchini Kenya NASA umetangaza kusimamisha maandamano ya kushinikiza marekebisho kwenye Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kuelekea uchaguzi wa marudio wa Oktoba 26.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS