Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • HRW, AI: Polisi ya Kenya imeua watu zaidi ya 67 katika maandamano

    HRW, AI: Polisi ya Kenya imeua watu zaidi ya 67 katika maandamano

    Oct 16, 2017 04:47

    Mashirika ya kutetea haki za binadamu ya Human Rights Watch na Amnesty International yamesema polisi ya Kenya imeua watu wasiopungua 50 katika maandamano ya upinzani ya kushinikiza mabadiliko kwenye Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka IEBC, kuelekea uchaguzi wa marudio wa Oktoba 26.

  • Wapinzani Kenya waendeleza maandamano ya kutaka mabadiliko katika tume ya uchaguzi

    Wapinzani Kenya waendeleza maandamano ya kutaka mabadiliko katika tume ya uchaguzi

    Oct 15, 2017 11:32

    Muungano mkuu wa upinzani Kenya, NASA, leo umeendeleza maandamano ya kutaka mabadiliko katika Tume Huru ya Uchaguzi IEBC.

  • Mamia waandamana Morocco kutaka kuachiwa huru wanaharakati

    Mamia waandamana Morocco kutaka kuachiwa huru wanaharakati

    Oct 09, 2017 04:43

    Mamia ya wananchi wa Morocco wamefanya maandamano katika mji mkuu wa kibiashara wa nchi hiyo Casablanca, kushinikiza kuachiwa huru wanaharati wa nchi hiyo waliokamatwa katika maandamano mengine mwaka mmoja uliopita katika mji mmoja ulioko kaskazini mwa nchi, ambao wakazi wake wanadai kutengwa na kubaguliwa.

  • Waisraeli waandamana Tel Aviv dhidi ya ufisadi wa Netanyahu

    Waisraeli waandamana Tel Aviv dhidi ya ufisadi wa Netanyahu

    Oct 08, 2017 04:20

    Wakazi wa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu utawala wa Kizayuni wameandamana huko Tel Aviv wakitaka kushughulikiwa kesi ya ufisadi inayomkabili Waziri Mkuu wa utawala huo ghasibu.

  • Maelfu ya Watogo waandamana dhidi ya rais wa nchi hiyo

    Maelfu ya Watogo waandamana dhidi ya rais wa nchi hiyo

    Oct 06, 2017 01:11

    Maelfu ya raia wa Togo wamefanya maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo, Lome dhidi ya Rais Faure Gnassingbé wa nchi hiyo.

  • Wanawake waandamana Mali kupinga kuwepo majeshi ya kigeni nchini humo

    Wanawake waandamana Mali kupinga kuwepo majeshi ya kigeni nchini humo

    Oct 03, 2017 22:52

    Wanawake wa mji wa Kidal ulioko kaskazini mwa Mali wameandamana kulalamikia na kupinga kuwepo majeshi ya kigeni hususan ya Ufaransa nchini humo.

  • Watu 17 wauawa katika sherehe za kujitangazia uhuru Cameroon

    Watu 17 wauawa katika sherehe za kujitangazia uhuru Cameroon

    Oct 03, 2017 04:31

    Kwa akali watu 17 wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa na askari wa jeshi la Cameroon, wakati wa maandamano ya kushinikiza kujitenga maeneo ambayo wakazi wake wanazungumza Kiingereza, katikati mwa nchi.

  • Maelfu waandamana Ethiopia katika kumbukumbu ya mauaji ya Bishoftu

    Maelfu waandamana Ethiopia katika kumbukumbu ya mauaji ya Bishoftu

    Oct 02, 2017 10:58

    Maelfu ya raia wa Ethiopia wameandamana katika kumbukumbu ya mauaji ya Bishoftu na kupiga nara kuilaani serikali ya nchi hiyo inayoongozwa na Waziri Mkuu Hailemariam Desalegn.

  • Watu 12 wauawa na kujeruhiwa katika maandamano ya 'kujitenga' Cameroon

    Watu 12 wauawa na kujeruhiwa katika maandamano ya 'kujitenga' Cameroon

    Oct 02, 2017 00:57

    Kwa akali watu sita wameuawa na wengine sita wamejeruhiwa na askari wa jeshi la Cameroon, wakati wa maandamano ya kushinikiza kujitenga maeneo ambayo wakazi wake wanazungumza Kiingereza, katikati mwa nchi.

  • Waafrika Kusini waandamana kulaani ufisadi chini ya Rais Zuma

    Waafrika Kusini waandamana kulaani ufisadi chini ya Rais Zuma

    Sep 27, 2017 10:43

    Maelfu ya wananchi wa Afrika Kusini wamefanya maandamano katika mji wa Cape Town kudhihirisha ghadhabu zao kutokana na kashfa mbalimbali za ufisadi, ukosefu wa ajira na kuzorota uchumi chini ya utawala wa Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS