-
Waisraeli waandamana Tel Aviv dhidi ya ufisadi wa Netanyahu
Oct 08, 2017 04:20Wakazi wa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu utawala wa Kizayuni wameandamana huko Tel Aviv wakitaka kushughulikiwa kesi ya ufisadi inayomkabili Waziri Mkuu wa utawala huo ghasibu.
-
Maelfu ya Watogo waandamana dhidi ya rais wa nchi hiyo
Oct 06, 2017 01:11Maelfu ya raia wa Togo wamefanya maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo, Lome dhidi ya Rais Faure Gnassingbé wa nchi hiyo.
-
Wanawake waandamana Mali kupinga kuwepo majeshi ya kigeni nchini humo
Oct 03, 2017 22:52Wanawake wa mji wa Kidal ulioko kaskazini mwa Mali wameandamana kulalamikia na kupinga kuwepo majeshi ya kigeni hususan ya Ufaransa nchini humo.
-
Watu 17 wauawa katika sherehe za kujitangazia uhuru Cameroon
Oct 03, 2017 04:31Kwa akali watu 17 wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa na askari wa jeshi la Cameroon, wakati wa maandamano ya kushinikiza kujitenga maeneo ambayo wakazi wake wanazungumza Kiingereza, katikati mwa nchi.
-
Maelfu waandamana Ethiopia katika kumbukumbu ya mauaji ya Bishoftu
Oct 02, 2017 10:58Maelfu ya raia wa Ethiopia wameandamana katika kumbukumbu ya mauaji ya Bishoftu na kupiga nara kuilaani serikali ya nchi hiyo inayoongozwa na Waziri Mkuu Hailemariam Desalegn.
-
Watu 12 wauawa na kujeruhiwa katika maandamano ya 'kujitenga' Cameroon
Oct 02, 2017 00:57Kwa akali watu sita wameuawa na wengine sita wamejeruhiwa na askari wa jeshi la Cameroon, wakati wa maandamano ya kushinikiza kujitenga maeneo ambayo wakazi wake wanazungumza Kiingereza, katikati mwa nchi.
-
Waafrika Kusini waandamana kulaani ufisadi chini ya Rais Zuma
Sep 27, 2017 10:43Maelfu ya wananchi wa Afrika Kusini wamefanya maandamano katika mji wa Cape Town kudhihirisha ghadhabu zao kutokana na kashfa mbalimbali za ufisadi, ukosefu wa ajira na kuzorota uchumi chini ya utawala wa Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo.
-
Wakazi wa Bukavu, Kongo DR waandamana kulalamikia ukosefu wa usalama
Sep 25, 2017 11:47Wakazi wa mji wa Bukavu, katikati ya mkoa wa Kivu Kusini, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamefanya maandamano makubwa kulalamikia machafuko yanayoendelea katika mkoa huo.
-
Jaji Mkuu wa Kenya amtuhumu Mkuu wa Polisi kwa kupuuzia usalama wa majaji
Sep 19, 2017 23:54Jaji Mkuu wa Kenya, David Maraga amemtuhumu Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Joseph Boinett kwa kupuuzia usalama wa majaji na kwamba anahatarisha maisha yao.
-
Harakati ya "Septemba 15" yatoa wito wa kufanyika maandamano makubwa Saudia
Sep 13, 2017 23:25Harakati ya Septemba 15 inayoendesha harakati za amani za upinzani nchini Saudi Arabia imetoa wito kwa wapinzano wote wa utawala wa kifalme wa nchi hiyo kushiriki kwenye maandamano ya kupigania matakwa ya wananchi.