-
Upinzani Togo: Tutasitisha maandamano iwapo rais atajiuzulu
Sep 09, 2017 03:12Kiongozi wa upinzani nchini Togo amesema maandamano ya wapinzani dhidi ya serikali ya nchi hiyo yataendelea kushuhudiwa madhali Rais Faure Gnassingbe wa nchi hiyo ataendelea kung'ang'ania madaraka.
-
Waislamu Indonesia waandamana kuwatetea wenzao wa Rohingya
Sep 02, 2017 23:24Waislamu nchini Indonesia wamejitokeza kwa wingi mabarabarani kushiriki maandamano ya kulaani mauaji na jinai wanazofanyiwa Waislamu wenzao wa kabila la Rohingya huko Myanmar.
-
Wazayuni waandamana tena kulalamikia ufisadi wa Netanyahu
Aug 27, 2017 03:24Kwa mara nyingine tena maelfu ya Wazayuni wamefanya maandamano katika mji wa Tel Aviv huko Israel kushinikiza kuuzuliwa Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala huo ghasibu wakimtuhumu kwa kujihusisha na vitendo vya ufisadi.
-
Wayemen waandamana kulaani ukatili wa Saudia dhidi yao
Aug 27, 2017 03:13Mamia ya maelfu ya wananchi wa Yemen kwa mara nyingine tena wamefanya maandamano katika mji mkuu Sana'a kulaani ukatili na mashambulizi ya kila uchao ya Saudi Arabia dhidi ya nchi hiyo maskini.
-
Wanajeshi wa utawala wa Israel washambulia Wapalestina Ukingo wa Magharibi
Aug 26, 2017 02:27Wanajeshi wa utawala ghasibu wa Israel Ijumaa usiku waliwashambulia Wapalestina na kuwajeruhi 11 kati yao katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Mamia ya Waislamu waandamana dhidi ya ugaidi nchini Uhispania
Aug 20, 2017 02:29Mamia ya Waislamu katika mji wa Barcelona kaskazini mashariki mwa Uhispania wamefanya maandamano kulaani na kupinga mashambulizi mawili ya kigaidi yaliyotokea nchini humo siku chache zilizopita.
-
Maelfu ya Wazayuni wasisitiza kuuzuliwa Benjamin Netanyahu
Aug 13, 2017 09:50Maelfu ya Wazayuni wamefanya maandamano jirani na mji wa Tel Aviv Israel na kutoa wito wa kuuzuliwa Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala huo ghasibu wakimtuhumu kwa kujihusisha na vitendo vya ufisadi.
-
Jordan yamzuia balozi wa Israel kurejea mjini Amman
Aug 12, 2017 03:07Serikali ya Jordan imeripotiwa kumzuia balozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel kurejea mjini Amman hadi pale hatua za kisheria zitakapochukuliwa dhidi ya mlinzi wa ubalozi wa Israel aliyeua raia wawili wa Jordan hivi karibuni.
-
HRW: 27 wauawa katika makabiliano ya polisi na waandamanaji DRC
Aug 11, 2017 02:41Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema kwa akali watu 27 waliuawa katika makabiliano baina ya maafisa wa polisi na waandamanaji huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Jumatatu iliyopita.
-
Wazayuni waandamana kulalamikia ufisadi wa Netanyahu
Aug 06, 2017 02:29Mamia ya Wazayuni wamefanya maandamano katika mji wa Petah Tikva dhidi ya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu anayeandamwa na tuhuma za ufisadi.