Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Upinzani Togo: Tutasitisha maandamano iwapo rais atajiuzulu

    Upinzani Togo: Tutasitisha maandamano iwapo rais atajiuzulu

    Sep 09, 2017 03:12

    Kiongozi wa upinzani nchini Togo amesema maandamano ya wapinzani dhidi ya serikali ya nchi hiyo yataendelea kushuhudiwa madhali Rais Faure Gnassingbe wa nchi hiyo ataendelea kung'ang'ania madaraka.

  • Waislamu Indonesia waandamana kuwatetea wenzao wa Rohingya

    Waislamu Indonesia waandamana kuwatetea wenzao wa Rohingya

    Sep 02, 2017 23:24

    Waislamu nchini Indonesia wamejitokeza kwa wingi mabarabarani kushiriki maandamano ya kulaani mauaji na jinai wanazofanyiwa Waislamu wenzao wa kabila la Rohingya huko Myanmar.

  • Wazayuni waandamana tena kulalamikia ufisadi wa Netanyahu

    Wazayuni waandamana tena kulalamikia ufisadi wa Netanyahu

    Aug 27, 2017 03:24

    Kwa mara nyingine tena maelfu ya Wazayuni wamefanya maandamano katika mji wa Tel Aviv huko Israel kushinikiza kuuzuliwa Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala huo ghasibu wakimtuhumu kwa kujihusisha na vitendo vya ufisadi.

  • Wayemen waandamana kulaani ukatili wa Saudia dhidi yao

    Wayemen waandamana kulaani ukatili wa Saudia dhidi yao

    Aug 27, 2017 03:13

    Mamia ya maelfu ya wananchi wa Yemen kwa mara nyingine tena wamefanya maandamano katika mji mkuu Sana'a kulaani ukatili na mashambulizi ya kila uchao ya Saudi Arabia dhidi ya nchi hiyo maskini.

  • Wanajeshi wa utawala wa Israel washambulia Wapalestina Ukingo wa Magharibi

    Wanajeshi wa utawala wa Israel washambulia Wapalestina Ukingo wa Magharibi

    Aug 26, 2017 02:27

    Wanajeshi wa utawala ghasibu wa Israel Ijumaa usiku waliwashambulia Wapalestina na kuwajeruhi 11 kati yao katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Mamia ya Waislamu waandamana dhidi ya ugaidi nchini Uhispania

    Mamia ya Waislamu waandamana dhidi ya ugaidi nchini Uhispania

    Aug 20, 2017 02:29

    Mamia ya Waislamu katika mji wa Barcelona kaskazini mashariki mwa Uhispania wamefanya maandamano kulaani na kupinga mashambulizi mawili ya kigaidi yaliyotokea nchini humo siku chache zilizopita.

  • Maelfu ya Wazayuni wasisitiza kuuzuliwa Benjamin Netanyahu

    Maelfu ya Wazayuni wasisitiza kuuzuliwa Benjamin Netanyahu

    Aug 13, 2017 09:50

    Maelfu ya Wazayuni wamefanya maandamano jirani na mji wa Tel Aviv Israel na kutoa wito wa kuuzuliwa Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala huo ghasibu wakimtuhumu kwa kujihusisha na vitendo vya ufisadi.

  • Jordan yamzuia balozi wa Israel kurejea mjini Amman

    Jordan yamzuia balozi wa Israel kurejea mjini Amman

    Aug 12, 2017 03:07

    Serikali ya Jordan imeripotiwa kumzuia balozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel kurejea mjini Amman hadi pale hatua za kisheria zitakapochukuliwa dhidi ya mlinzi wa ubalozi wa Israel aliyeua raia wawili wa Jordan hivi karibuni.

  • HRW: 27 wauawa katika makabiliano ya polisi na waandamanaji DRC

    HRW: 27 wauawa katika makabiliano ya polisi na waandamanaji DRC

    Aug 11, 2017 02:41

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema kwa akali watu 27 waliuawa katika makabiliano baina ya maafisa wa polisi na waandamanaji huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Jumatatu iliyopita.

  • Wazayuni waandamana kulalamikia ufisadi wa Netanyahu

    Wazayuni waandamana kulalamikia ufisadi wa Netanyahu

    Aug 06, 2017 02:29

    Mamia ya Wazayuni wamefanya maandamano katika mji wa Petah Tikva dhidi ya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu anayeandamwa na tuhuma za ufisadi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS