Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Jordan yamzuia balozi wa Israel kurejea mjini Amman

    Jordan yamzuia balozi wa Israel kurejea mjini Amman

    Aug 12, 2017 03:07

    Serikali ya Jordan imeripotiwa kumzuia balozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel kurejea mjini Amman hadi pale hatua za kisheria zitakapochukuliwa dhidi ya mlinzi wa ubalozi wa Israel aliyeua raia wawili wa Jordan hivi karibuni.

  • HRW: 27 wauawa katika makabiliano ya polisi na waandamanaji DRC

    HRW: 27 wauawa katika makabiliano ya polisi na waandamanaji DRC

    Aug 11, 2017 02:41

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema kwa akali watu 27 waliuawa katika makabiliano baina ya maafisa wa polisi na waandamanaji huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Jumatatu iliyopita.

  • Wazayuni waandamana kulalamikia ufisadi wa Netanyahu

    Wazayuni waandamana kulalamikia ufisadi wa Netanyahu

    Aug 06, 2017 02:29

    Mamia ya Wazayuni wamefanya maandamano katika mji wa Petah Tikva dhidi ya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu anayeandamwa na tuhuma za ufisadi.

  • Wapinzani waandamana Guinea Conakry juu ya uchaguzi, usalama

    Wapinzani waandamana Guinea Conakry juu ya uchaguzi, usalama

    Aug 03, 2017 02:49

    Maelfu ya wafuasi wa kambi ya upinzani huko Guinea Conakry wamefanya maandamano katika mji mkuu Conakry kulalamikia ucheleweshwaji wa uchaguzi sambamba na kuzidi kuwa mbaya hali ya usalama nchini humo.

  • Wairani wafanya maandamano Tehran kulaani jinai za Israel

    Wairani wafanya maandamano Tehran kulaani jinai za Israel

    Jul 28, 2017 21:52

    Wairani wa matabaka yote jana Ijumaa walifanya maandamano katika mji mkuu Tehran kulaani ukatili unaoendelea kufanywa na utawala ghasibu wa Israel dhidi ya raia wa Palestina katika mji mtakatifu wa Quds sambamba na jinai za kutisha dhidi ya Waislamu wa Rohingya.

  • Wairani kufanya maandamano kulaani jinai dhidi ya Wapalestina, Warohingya

    Wairani kufanya maandamano kulaani jinai dhidi ya Wapalestina, Warohingya

    Jul 26, 2017 03:34

    Wairani wa matabaka yote Ijumaa ijayo wanatazamiwa kufanya maandamano ya nchi nzima kulaani ukatili unaoendelea kufanywa na utawala ghasibu wa Israel dhidi ya raia wa Palestina katika mji mtakatifu wa Quds na Msikiti wa al Aqsa sambamba na jinai za kutisha dhidi ya Waislamu wa Rohingya.

  • Kuendelea mgogoro na maandamano ya wananchi nchini Morocco

    Kuendelea mgogoro na maandamano ya wananchi nchini Morocco

    Jul 23, 2017 22:04

    Katika muendelezo wa machafuko na malalamiko ya wananchi nchini Morocco, askari usalama wa nchi hiyo wamewatia nguvuni makumi ya raia wa nchi hiyo katika mji wa Al Hoceima.

  • Wamorocco waendeleza maandamano Al Hoceima, polisi 72 wajeruhiwa

    Wamorocco waendeleza maandamano Al Hoceima, polisi 72 wajeruhiwa

    Jul 22, 2017 11:59

    Maandamano ya wakazi wa mji wa Al Hoceima, kaskazini mwa Morocco yameendelea huku askari 72 wakijeruhiwa.

  • Wapinzani Madagascar wafanya maandamano licha ya marufuku ya polisi

    Wapinzani Madagascar wafanya maandamano licha ya marufuku ya polisi

    Jul 08, 2017 12:13

    Wafuasi wa kambi ya upinzani nchini Madagascar wamefanya maandamano leo katika mji mkuu wa nchi hiyo, Antananarivo licha ya maandamano hayo kupigwa marufuku na vyombo vya usalama.

  • Maandamano ya kuunga mkono marekebisho ya katiba ya Mali

    Maandamano ya kuunga mkono marekebisho ya katiba ya Mali

    Jun 29, 2017 03:04

    Makumi ya maelfu ya wananchi wa Mali jana waliandamana huko Bamako mji mkuu wa nchi hiyo wakiunga mkono mpango wa kuifanyia marekebisho katiba ya nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS