-
Askari 30 watiwa nguvuni nchini Cameroon kwa kukiuka kanuni za jeshi
Jun 07, 2017 11:06Waziri wa Uinzi wa Cameroon ametangaza kuwa askari 30 wa jeshi la nchi hiyo wametiwa nguvuni kwa tuhuma za kufanya maandamano ya kupinga serikali.
-
Mayahudi waandamana kuunga mkono taifa la Palestina
May 28, 2017 09:09Maelfu ya Mayahudi wamefanya maandamano mjini Tel Aviv kuunga mkono kuundwa taifa huru la Palestina sambamba na kulaani miaka 50 ya utawala haramu wa Israel kukalia kwa mabavu ardhi za Wapalestina.
-
Wanaharakati 14 wahukumiwa kifo kwa kuandamana Saudia
May 26, 2017 09:43Mahakama moja nchini Saudi Arabia imewahukumu adhabu ya kifo wanaharakati 14 kwa kushiriki maandamano katika eneo la Qatif.
-
Polisi Nigeria yatumia mabavu kuzima maandamano ya Waislamu
May 23, 2017 02:39Kwa mara nyingine tena polisi nchini Nigeria imetumia mabomu ya kutoa machozi na maji ya kuwasha kutawanya maandamano ya wananchama wa Harakati ya Kiislamu nchini humo wanaoshinikiza kuachiwa huru kiongozi wao, Sheikh Ibrahim Zakzaky.
-
Maandamano dhidi ya serikali nchini Afrika Kusini
May 16, 2017 22:03Kwa mara nyingine tena mvutano wa kisiasa umeigubika nchi ya Afrika Kusini kiasi kwamba, maelfu ya wapinzani wa serikali wameendelea kufanya maandamano katika siku za hivi karibuni wakitaka Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo ajiuzulu.
-
Wananchi waandamana Tunisia kupinga msahama kwa mafisadi
May 14, 2017 03:02Maelfu ya wananchi wa Tunisia wamefanya maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo Tunis kupinga muswada ambao ukipasishwa na kuwa sheria, maafisa wa serikali wanaopatikana na hatia ya ufisadi watafutiwa makosa mkabala wa kurejesha mali walizopora kwa dola.
-
Wapalestina waadhimisha Siku ya Nakaba chini ya anga ya mgomo wa kula
May 14, 2017 02:44Wapalestina kote duniani wanaadhimisha Siku ya Nakba hii leo, kwa mnasaba wa kutimia mwaka wa 69 tangu ulipoundwa utawala bandia na haramu wa Israel mwaka 1948.
-
Waislamu na wanaharakati waandamana London, Uingereza dhidi ya Israel
May 07, 2017 08:52Mamia ya Waislamu nchini Uingereza wamefanya maandamano katika mji mkuu London kulaani ukaliaji wa mabavu na upanuzi wa vitongoji vya walowezi za Kiyahudi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.
-
Wabahrain waandamana nchi nzima huku kesi ya Sheikh Qassim ikiskizwa leo
May 07, 2017 03:04Wananchi wa Bahrain wamejitokeza mabarabarani kushiriki maandamano ya nchi nzima leo Jumapili, siku ya kusikilizwa kesi ya Ayatullah Sheikh Isa Qassim, mwanazuoni mashuhuri wa Kiislamu katika nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Kuongezeka malalamiko ya wananchi na wasiwasi wa watawala wa Saudi Arabia
Apr 28, 2017 09:58Katika kipindi cha chini ya siku 10, vijana wa Saudi Arabia wametumia mitandao ya kijamii kutoa mwito mwingine wa maandamano ya kulalamikia hali mbaya ya kimaisha nchini mwao.