-
Maandamano makubwa ya kumtaka Rais Zuma ajiuzulu yafanyika Pretoria
Apr 27, 2017 23:11Wananchi wa Afrika Kusini wameendelea kufanya maandamano katika miji mbalimbali ya nchi wakitaka kujiuzulu Rais wa nchi Jacob Zuma.
-
Maandamano makubwa dhidi ya Trump, Wamarekani 39 wauawa na kujeruhiwa
Apr 23, 2017 03:17Zaidi ya Wamarekani 40 elfu wakiwemo wasomi na wataalamu mashuhuri wa nchi hiyo wameshiriki kwenye maandamano mjini Washington ya kumpinga Rais Donald Trump wa nchi hiyo na kulalamikia sera zake za mazingira.
-
Jumuiya za haki za binadamu: Mamia waliuawa katika maandamano ya mwaka jana Ethiopia
Apr 20, 2017 00:06Ofisi ya Haki za Binadamu nchini Ethiopia imetangaza kuwa, raia 669 waliuawa katika maandamano yaliyofanyika mwaka jana dhidi ya serikali ya nchi hiyo.
-
Ghasia katika maandamano ya wafuasi na wapinzani wa Donald Trump huko California
Apr 16, 2017 11:22Ghasia zimeibuka katika maandamano baina ya wapinzani na wafuasi wa Rais Donald Trump wa Marekani katika jimbo la California.
-
Wakristo waungana na Waislamu Nigeria kushinikiza kuachiwa huru Zakzaky
Apr 12, 2017 02:55Kwa mara nyingine tena Waislamu nchini Nigeria wamefanya maandamano ya amani katika mji mkuu wa nchi hiyo, Abuja kushinikiza kuachiwa huru mwanazuoni wa Kiislamu nchini humo, Sheikh Ibrahim Zakzaky.
-
Makumi ya waandamanaji watiwa nguvuni Kongo DR
Apr 12, 2017 02:43Makumi ya watu wametiwa mbaroni kwa kushiriki maandamano yaliyopigwa marufuku na serikali katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Zuma ayataja maandamano ya Afrika Kusini dhidi yake kuwa ni ya kibaguzi
Apr 10, 2017 10:26Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini leo ameyataja maandamano ya wiki iliyopita nchini humo ya kumshinikiza ajiuzulu kuwa ni ya kibaguzi.
-
Wamarekani waandamana kupinga mashambulizi ya nchi hiyo dhidi ya Syria
Apr 08, 2017 11:21Wananchi wa Marekani wamefanya maandamano katika miji mbalimbali ya nchi hiyo wakipinga sera za kupenda vita na ubabe za serikali ya Rais mpya wa nchi hiyo, Donald Trump.
-
Maelfu waandamana kumpinga rais wa Senegal
Apr 08, 2017 03:22Maelfu ya watu wameandamana mjini Dakar, Senegal kupinga siasa za Rais Macky Sall wa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
-
Waislamu Nigeria wafufua maandamano ya kushinikiza kuachiwa huru Sheikh Zakzaky
Apr 07, 2017 03:06Kwa mara nyingine tena Waislamu nchini Nigeria wamefanya maandamano ya amani katika mji mkuu wa nchi hiyo, kushinikiza kuachiwa huru mwanazuoni wa Kiislamu nchini humo, Sheikh Ibrahim Zakzaky.