-
Maandamano ya kuiunga mkono Palestina karibu na ubalozi wa utawala wa Kizayuni Jordan
Mar 13, 2024 23:04Maandamano ya kuinga mkono Palestina yamefanyika karibu na ubalozi wa utawala wa Kizayuni huko Amman mji mkuu wa Jordan.
-
Watunisia waandamana mbele ya ubalozi wa Marekani mjini Tunis dhidi ya Israel
Mar 12, 2024 04:11Wananchi wa Tunisia jana waliandamana mbele ya ubalozi wa Marekani huko Tunis mji mkuu wa Tunisia kulaani mauaji ya kimbari yanayoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya raia wa Kipalestina wa Ukanda wa Gaza.
-
Mamia waandamana nje ya ubalozi wa Israel, Washington kulaani vita Gaza
Mar 03, 2024 04:10Mamia ya watu wamefanya maandamano mbele ya ubalozi wa Israel mjini Washington, Marekani kulaani vita vya mauaji ya kimbari vinavyoendelezwa na utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
-
Wananchi wa Cuba wataka kusimamishwa mauaji ya kimbari Gaza
Mar 02, 2024 08:20Wananchi wa Cuba wameungana na mamilioni ya wengine katika maandamano ya kulaani jinai za Israel dhidi ya Wapalestina, sambamba na kuonyesha uungaji mkono kwa Wapalestina wa Ukanda wa Gaza, ambao wanakabiliwa na vita vya mauaji ya kimbari vya utawala dhalimu wa Israel.
-
Waingereza waitaka London iache kuipa silaha Israel
Feb 28, 2024 03:18Wanaharakati wa haki nchini Uingereza wamefanya maandamano makubwa ya kuitaka serikali ya nchi hiyo isitishe mauzo ya silaha kwa utawala haramu wa Israel.
-
Maandamano yafanyika Washington na Los Angeles US kumuenzi askari aliyejichoma moto kulalamikia jinai za Israel
Feb 28, 2024 00:16Wamarekani wameandamana katika miji ya Washington na Los Angeles kumuenzi mwanajeshi wa nchi hiiyo aliyejichoma moto kuwaunga mkono wananchi wa Palestina na kulalamikia jinai za kinyama za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya wananchi hao madhulumu.
-
Vitisho vipya vya wakosoaji wa Natenyahu; Kuvunjwa Baraza la Mawaziri la Vita
Feb 18, 2024 06:02Sambamba na Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni Benjamin Netanyahu kuendeleza tabia yake ya kujichukulia hatua za upande mmoja, wakosoaji wake wametishia kulivunja Baraza la Mawaziri la Vita la utawala huo.
-
Wamarekani waandamana kupinga himaya ya Washington kwa jinai za Israel huko Gaza
Feb 03, 2024 08:33Wananchi wa Marekani wamefanya maandamano makubwa wakipinga uungaji mkono na himaya ya serikali ya Washington kwa jinai na mauaji yanayofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza na kutaka kusitishwa mara moja vita huko Palestina.
-
Maelfu waandamana Madrid kuliunga mkono taifa la Palestina
Jan 28, 2024 09:58Maelfu ya wananchi wa Uhispania kwa mara nyingine tena wamemiminika katika barabara za mji mkuu wa nchi hiyo, Madrid kutangaza uungaji mkono wao kwa wananchi wanaodhulumiwa wa Palestina hasa wa Ukanda wa Gaza, na vilevile kulaani mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala haramu wa Israel katika ukanda huo.
-
Wananchi Uingereza waendeleza maandamano ya kuiunga mkono Gaza
Jan 20, 2024 23:09Maelfu ya watu nchini Uingereza kwa siku ya 15 mtawalia wamemiminika katika miji mbalimbali ya nchi hiyo kulaani na kupinga jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya Gaza.