-
Jeshi la Marekani mchafuzi mkubwa zaidi wa hewa Mashariki ya Kati
Feb 21, 2023 10:54Ripoti iliyotolewa na tovuti ya habari ya Middle East Eye inaonyesha kuwa jeshi la Marekani ni moja ya wasababishaji wakubwa zaidi wa uchafuzi unaoleta mabadiliko ya hali ya hewa katika Mashariki ya Kati.
-
Mpigano, majanga ya tabianchi na ukimbizi vinawakosesha masomo watoto milioni 78 duniani
Feb 17, 2023 07:24Watoto wa kike na wa kiume milioni 78 duniani kote hawaendi skuli kabisa kutokana na mapigano, mizozo, majanga ya tabianchi na ukimbizi ilhali wengine makumi ya mamilioni wanapata elimu ya hapa na pale. Hayo ni kwa mujibu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres.
-
IRC: Mabadiliko ya tabianchi yanazidisha migogoro ya binaadamu
Dec 15, 2022 02:40Kulingana na matokeo ya utafiti wa "Kamati ya Kimataifa ya Uokoaji", mabadiliko ya hali ya hewa yatazidisha kasi ya migogoro ya wanaadamu katika mwaka ujao wa 2023 na kuongeza migogoro mengine ya kiuchumi.
-
Kuanza Mkutano wa Mabadiliko ya Tabianchi huko Glasgow; shaka na mazingatio katika mkutano huo
Nov 03, 2021 11:18Mkutano kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi wa Umoja wa Mataifa (COP26) ulianza shughuli zake juzi Jumatatu katika mji wa Glasgow nchini Scotland kwa kuhudhuriwa na wakuu wa nchi zaidi ya 100 na viongozi wengine wa ngazi za juu wa nchi mbalimbali duniani.
-
UNICEF: Maisha ya watoto bilioni moja yako hatarini kutokana na athari za mabadiliko ya tabianchi
Aug 21, 2021 12:55Ripoti mpya iliyotolewa leo na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto UNICEF inaonyesha kuwa, vijana na watoto bilioni moja duniani hususan wanaoishi katika nchi za Jamuhuri ya Afrika ya Kati, Chad, Nigeria, Guinea, na Guinea-Bissau wanakabiliwa na hatari zaidi ya athari za mabadiliko ya tabianchi, yakitishia afya zao, elimu, na ulinzi, na kuwaweka kwenye hatari ya magonjwa.
-
Wanasayansi watahadharisha kuhusu uhaba wa chakula utakaoikumba dunia miongo miwili ijayo
Aug 11, 2021 14:50Wanasayansi wametahadharisha kuwa uzalishaji wa chakula duniani kote utapungua kutokana na kuongezeka joto la sayari ya dunia kwa nyuzijoto 1.5 selsiasi. Hii ni kufuatia ripoti iliyotolewa na Umoja wa Mataifa kuhusu baa la mabadiliko ya tabianchi.
-
Guterres: Mgogoro wa mabadiliko ya tabianchi umekaribia kubaya
Jun 12, 2021 02:50Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameeleza wasiwasi wake kuwa, nchi tajiri duniani zimetumia mabilioni mengi ya dola katika nishati ya kisukuku katika kipindi cha maaambukizi ya corona na kutahadharisha kwamba, mgogoro wa mabadiliko ya tabianchi umekaribia nukta hatarishi.
-
Grossi: Haiwezakani kupatiwa ufumbuzi mgogoro wa joto duniani bila ya nishati ya nyuklia
Feb 25, 2021 03:51Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia (IAEA) amesisitiza umuhimu wa nishati ya nyuklia katika uchumi na kutatua mgogoro wa nishati katika siku za usoni.
-
UN yatoa indhari: Hali ya dharura ya mabadiliko ya tabianchi inahitaji hatua za haraka
Dec 13, 2020 01:47Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ameonya kuwa dunia hivi sasa inakabuliwa na hali ya dharura ya mabadiliko ya tabianchi.
-
Marekani yajiondoa rasmi katika Mkataba wa Mabadiliko ya Tabianchi wa Paris
Nov 04, 2020 12:27Marekani hii leo imejiondoa rasmi katika Makubaliano ya Mabadiliko ya Tabianchi yaliyofikiwa mjini Paris, Ufaransa mwaka 2015.