Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

machafuko

  • Iran: Miungano ya Marekani inasababisha machafuko kote ulimwenguni

    Iran: Miungano ya Marekani inasababisha machafuko kote ulimwenguni

    Nov 09, 2019 13:33

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, miungano mbalimbali inayoundwa na Marekani inasababisha machafuko katika kona zote za dunia na kuhatarisha usalama na amani ya kila eneo lenye miungano hiyo.

  • Waislamu Ujerumani wazidi kuandamwa na vitendo vya chuki na ubaguzi

    Waislamu Ujerumani wazidi kuandamwa na vitendo vya chuki na ubaguzi

    Nov 03, 2019 02:32

    Mmoja wa viongozi wa Kiislamu nchini Ujerumani amesema kuwa, Waislamu wa nchi hiyo ya bara Ulaya wanazidi kuandamwa na mashambulio ambayo chimbuko lake ni vitendo vya ubaguzi na chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu.

  • Madaktari wasio na mipaka (MSF) wakabiliana na ukosefu wa usalama huko Niger

    Madaktari wasio na mipaka (MSF) wakabiliana na ukosefu wa usalama huko Niger

    Aug 11, 2019 03:52

    Wafanyakazi wa Jumuiya ya Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) nchini Niger wamelazimika kuondoka kusini mashariki mwa nchi hiyo kutokana na ukosefu wa usalama.

  • Jeshi la Ethiopia kulinda usalama katika mkoa wa Kusini ulioathiriwa na machafuko

    Jeshi la Ethiopia kulinda usalama katika mkoa wa Kusini ulioathiriwa na machafuko

    Jul 24, 2019 03:55

    Ethiopia imetangaza kuwa vikosi vya ulinzi na askari usalama wa nchi hiyo ndio watasimamia ulinzi na usalama katika mkoa wa kusini ulioathiriwa na machafuko nchini humo. Machafuko hayo yemeendelea kwa siku kadhaa na kusababisha watu 18 kupoteza maisha.

  • Watu kadhaa wauawa katika machafuko mapya nchini Sudan

    Watu kadhaa wauawa katika machafuko mapya nchini Sudan

    May 14, 2019 07:45

    Sambamba na kuanza duru mpya ya mazungumzo kuhusiana na suala la kukabidhiwa madaraka ya Sudan kwa utawala wa kirai jana Jumatatu, imearifiwa kuwa watu sita wakiwemo maafisa usalama wameuawa au kujeruhiwa katika machafuko mapya yaliyoibuka katika mji mkuu Khartoum jana jioni.

  •  Unicef  yataja nchi zenye ukosefu mkubwa wa amani kwa watoto

    Unicef yataja nchi zenye ukosefu mkubwa wa amani kwa watoto

    Jan 06, 2019 14:38

    Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (Unicef) umetangaza katika ripoti yake kuwa mustakbali wa mamilioni ya watoto wanaoishi katika nchi zilizokumbwa na vita uko hatarini.

  • Vyama vikuu vya upinzani Sudan vyaafikiana kuunga mkono maandamano ya wananchi

    Vyama vikuu vya upinzani Sudan vyaafikiana kuunga mkono maandamano ya wananchi

    Dec 24, 2018 15:05

    Vyama vikuu vya upinzani nchini Sudan vimeafikiana kuunga mkono vuguvugu la maandamano ya wananchi katika miji mbalimbali wanaopinga hali mbaya ya kiuchumi na ughali wa maisha.

  • Maandamano ya harakati ya vizibao vya njano yatikisa Paris, zaidi ya mia watiwa nguvuni

    Maandamano ya harakati ya vizibao vya njano yatikisa Paris, zaidi ya mia watiwa nguvuni

    Dec 01, 2018 15:16

    Polisi ya Ufaransa imetumia gesi ya kutoa machozi, mabomu ya sauti na mipira ya maji kwa ajili ya kutawanya maelfu ya raia wa nchi hiyo wanaoandamana katika miji mbalimbali hususan katika mji mkuu wa nchi hiyo, Paris kupinga sera za kiuchumi za serikali ya nchi hiyo.

  • UN: Machafuko ya Sudan Kusini yanazuia ugawaji wa misaada ya chakula

    UN: Machafuko ya Sudan Kusini yanazuia ugawaji wa misaada ya chakula

    Oct 29, 2018 14:30

    Shirika la Mpango wa Chakula la Umoja wa Mataifa (WFP) limetangaza kuwa, machafuko yanayoendelea nchini Sudan Kusini yanazuia operesheni za kugawa misaada ya chakula kwa watu wanaosumbuliwa na njaa kali katika baadhi ya maeneo ya nchi hiyo.

  • Machafuko yachachamaa katika visiwa vya Comoro, kadhaa wauawa

    Machafuko yachachamaa katika visiwa vya Comoro, kadhaa wauawa

    Oct 18, 2018 14:43

    Hali ya mchafukoge imeripotiwa kushtadi nchini Comoro huku watu kadhaa wakiripotiwa kuuawa, licha ya serikali kutangaza kuwa mambo yametengamaa baada ya siku tatu za ghasia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS