-
Iran: Miungano ya Marekani inasababisha machafuko kote ulimwenguni
Nov 09, 2019 13:33Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, miungano mbalimbali inayoundwa na Marekani inasababisha machafuko katika kona zote za dunia na kuhatarisha usalama na amani ya kila eneo lenye miungano hiyo.
-
Waislamu Ujerumani wazidi kuandamwa na vitendo vya chuki na ubaguzi
Nov 03, 2019 02:32Mmoja wa viongozi wa Kiislamu nchini Ujerumani amesema kuwa, Waislamu wa nchi hiyo ya bara Ulaya wanazidi kuandamwa na mashambulio ambayo chimbuko lake ni vitendo vya ubaguzi na chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu.
-
Madaktari wasio na mipaka (MSF) wakabiliana na ukosefu wa usalama huko Niger
Aug 11, 2019 03:52Wafanyakazi wa Jumuiya ya Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) nchini Niger wamelazimika kuondoka kusini mashariki mwa nchi hiyo kutokana na ukosefu wa usalama.
-
Jeshi la Ethiopia kulinda usalama katika mkoa wa Kusini ulioathiriwa na machafuko
Jul 24, 2019 03:55Ethiopia imetangaza kuwa vikosi vya ulinzi na askari usalama wa nchi hiyo ndio watasimamia ulinzi na usalama katika mkoa wa kusini ulioathiriwa na machafuko nchini humo. Machafuko hayo yemeendelea kwa siku kadhaa na kusababisha watu 18 kupoteza maisha.
-
Watu kadhaa wauawa katika machafuko mapya nchini Sudan
May 14, 2019 07:45Sambamba na kuanza duru mpya ya mazungumzo kuhusiana na suala la kukabidhiwa madaraka ya Sudan kwa utawala wa kirai jana Jumatatu, imearifiwa kuwa watu sita wakiwemo maafisa usalama wameuawa au kujeruhiwa katika machafuko mapya yaliyoibuka katika mji mkuu Khartoum jana jioni.
-
Unicef yataja nchi zenye ukosefu mkubwa wa amani kwa watoto
Jan 06, 2019 14:38Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (Unicef) umetangaza katika ripoti yake kuwa mustakbali wa mamilioni ya watoto wanaoishi katika nchi zilizokumbwa na vita uko hatarini.
-
Vyama vikuu vya upinzani Sudan vyaafikiana kuunga mkono maandamano ya wananchi
Dec 24, 2018 15:05Vyama vikuu vya upinzani nchini Sudan vimeafikiana kuunga mkono vuguvugu la maandamano ya wananchi katika miji mbalimbali wanaopinga hali mbaya ya kiuchumi na ughali wa maisha.
-
Maandamano ya harakati ya vizibao vya njano yatikisa Paris, zaidi ya mia watiwa nguvuni
Dec 01, 2018 15:16Polisi ya Ufaransa imetumia gesi ya kutoa machozi, mabomu ya sauti na mipira ya maji kwa ajili ya kutawanya maelfu ya raia wa nchi hiyo wanaoandamana katika miji mbalimbali hususan katika mji mkuu wa nchi hiyo, Paris kupinga sera za kiuchumi za serikali ya nchi hiyo.
-
UN: Machafuko ya Sudan Kusini yanazuia ugawaji wa misaada ya chakula
Oct 29, 2018 14:30Shirika la Mpango wa Chakula la Umoja wa Mataifa (WFP) limetangaza kuwa, machafuko yanayoendelea nchini Sudan Kusini yanazuia operesheni za kugawa misaada ya chakula kwa watu wanaosumbuliwa na njaa kali katika baadhi ya maeneo ya nchi hiyo.
-
Machafuko yachachamaa katika visiwa vya Comoro, kadhaa wauawa
Oct 18, 2018 14:43Hali ya mchafukoge imeripotiwa kushtadi nchini Comoro huku watu kadhaa wakiripotiwa kuuawa, licha ya serikali kutangaza kuwa mambo yametengamaa baada ya siku tatu za ghasia.