Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mafuta

  • Je, Marekani Inao Utayari wa Kuachana na Sera na Ndoto Yake ya Kuipigisha Magoti Iran?

    Je, Marekani Inao Utayari wa Kuachana na Sera na Ndoto Yake ya Kuipigisha Magoti Iran?

    Apr 29, 2026 03:38

    Jake Sullivan, mshauri wa usalama wa taifa wa Marekani katika serikali ya Joe Biden, ametoa taswira wadhiha na ya wazi ya sifa maalumu za mwenendo wa Iran katika mazungumzo ambayo inaweza kuwa ramani ya njia ya kuinasua serikali ya Marekani kwenye mkwamo ilionasa ndani yake hivi sasa. Sullivan ametoa taswira hiyo katika mahojiano na jarida la Foreign Affairs.

  • Tanker Trackers: Iran imepakia mapipa milioni 4.6 ya mafuta ghafi

    Tanker Trackers: Iran imepakia mapipa milioni 4.6 ya mafuta ghafi

    Apr 27, 2026 12:09

    Taasisi ya Ufuatiliaji wa Meli za Mafuta (Tanker Trackers) imetangaza kuwa Iran imepakia mapipa milioni 4.6 ya mafuta ghafi katika vituo vyake vya kuuza nje bidhaa hiyo.

  • Marekani ina ndoto gani kuhusu mafuta ya Venezuela?

    Marekani ina ndoto gani kuhusu mafuta ya Venezuela?

    Jan 09, 2026 10:52

    Kufuatia operesheni ya kijeshi ya Marekani dhidi ya Venezuela, swali muhimu limeibuka: Washington ina mipango gani kwa ajili ya mafuta ya nchi hiyo?

  • Kwa nini dunia imelaani hatua za kijeshi za Marekani dhidi ya Venezuela?

    Kwa nini dunia imelaani hatua za kijeshi za Marekani dhidi ya Venezuela?

    Jan 04, 2026 23:12

    Hatua ya kijeshi ya Marekani dhidi ya Venezuela na kutekwa nyara Rais wa nchi hiyo, Nicolas Maduro, imekabiliwa na wimbi kubwa la laana na ukosoaji mkubwa kote duniani.

  • Kwa nini Marekani inafanya njama za kuidhibiti Venezuela?

    Kwa nini Marekani inafanya njama za kuidhibiti Venezuela?

    Dec 02, 2025 03:45

    Rais Nicolas Maduro wa Venezuela amesisitiza kuwa, nchi yake itaendelea kulinda rasilimali zake kwa nguvu zote mbele ya tamaa ya kuchupa mipaka ya Marekani.

  • Marekani inafutilia nini katika kuweka vikwazo vipya dhidi ya Iran?

    Marekani inafutilia nini katika kuweka vikwazo vipya dhidi ya Iran?

    Sep 04, 2025 03:51

    Marekani imeweka vikwazo vipya ili kuzuia uuzaji nje wa mafuta ya Iran.

  • Je, India itasalimu amri mbele ya mashinikizo ya Trump?

    Je, India itasalimu amri mbele ya mashinikizo ya Trump?

    Aug 07, 2025 22:41

    Siku ya Jumatano, Agosti 6, Rais Donald Trump wa Marekani alitia saini amri ya kuweka ushuru wa ziada wa asilimia 25 dhidi ya bidhaa za India ili kukabiliana na hatua ya nchi hiyo ya kuendelea kununua mafuta ya Russia, na hivyo kuongeza ushuru jumla kwa bidhaa za India hadi asilimia 50.

  • Kutozwa ushuru wa asilimia 25 na Marekani kwa nchi zinazonunua mafuta ya Venezuela

    Kutozwa ushuru wa asilimia 25 na Marekani kwa nchi zinazonunua mafuta ya Venezuela

    Mar 27, 2025 02:19

    Rais Donald Trump wa Marekani ametangaza kutoza ushuru wa asilimia 25 kwa biashara yoyote na nchi zinazonunua mafuta na gesi ya Venezuela. Ameelezea ushuru huu kama jibu la kutumwa Marekani wanachama wa genge la uhalifu la "Tren de Aragua".

  • Baghaei: Machi 19 ni uthibitisho wa dhamira ya Wairani ya kupinga uonevu

    Baghaei: Machi 19 ni uthibitisho wa dhamira ya Wairani ya kupinga uonevu

    Mar 19, 2025 23:42

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa tarehe 29 Isfand (Machi 19), ambayo ni maadhimisho ya siku ya kufanywa mafuta ya Iran kuwa ni mali ya taifa, ni ushahidi wa azma ya kweli ya wananchi wa Iran ya kupinga uonevu.

  • Waziri wa Mafuta: Sera ya kusimamisha uuzaji mafuta ya Iran nje ya nchi imefeli na itaendelea kufeli

    Waziri wa Mafuta: Sera ya kusimamisha uuzaji mafuta ya Iran nje ya nchi imefeli na itaendelea kufeli

    Feb 09, 2025 23:57

    Waziri wa Mafuta wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Mohsen Paknejad amesema vikwazo havina tija yoyote na akasisitiza kwamba, sera ya kuufanya uuzaji mafuta ya Iran nje ya nchi ufikie kiwango cha sifuri imefeli na itaendelea kufeli.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS