-
Kiwanda cha Dangote chaanza kuuzia Ulaya mafuta ya ndege
Jun 02, 2024 06:37Kiwanda cha Kusafishia Mafuta cha Dangote cha Nigeria kimeanza kuziuzia nchi za Ulaya mafuta ya ndege.
-
Idadi ya walioaga dunia katika mripuko wa lori la mafuta Liberia yaongezeka
Dec 28, 2023 06:39Idadi ya watu waliopoteza maisha katika mripuko wa lori la mafuta uliotokea katikati ya Liberia imeongezeka na kufikia watu 40.
-
Mripuko katika kituo cha mafuta Guinea waua na kujeruhiwa makumi
Dec 18, 2023 11:49Watu wasiopungua wanane wamefariki dunia katika mripuko uliotokea katika kiwanda kimoja cha kuhifadhi na kusambaza mafuta huko Conakry, mji mkuu wa Guinea.
-
Admeri Tangsiri: Mafuta yaliyoko Ghuba ya Uajemi ni ya Iran, majirani zake
Jul 03, 2023 02:50Kamanda wa Kikosi cha Wanamaji cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) amesema mafuta yaliyoko katika eneo la Ghuba ya Uajemi ni milki ya Iran na majirani zake katika eneo hili la kistratajia.
-
Reuters: Mauzo ya mafuta ya Iran nje ya nchi yameweka rekodi
Jun 17, 2023 11:08Shirika la habari la Reuters limeripoti kuwa, ununuzi wa mafuta kutoka Iran mwaka huu 2023 umeongezeka kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa katika kipindi cha miaka mitano iliyopita.
-
Ununuzi wa mafuta kutoka Iran, nembo ya kufeli sera za vikwazo za Magharibi
Jun 15, 2023 02:23Takwimu mpya zilizotolewa na Kituo cha Takwimu cha Ulaya (Eurostat) zinaonyesha kuwa, kwa mara ya kwanza tangu mwaka 2018, Ujerumani imeagiza shehena kubwa ya mafuta au bidhaa za petroli kutoka Iran licha ya vikwazo vya Marekani.
-
Katibu Mkuu wa OPEC akaribisha kurejea kikamilifu Iran katika soko la mafuta
May 30, 2023 09:32Katibu Mkuu wa jumuiya ya nchi zinazozalisha mafuta kwa wingi Duniani (OPEC) amesema kuwa jumuiya hiyo inakaribisha kurejea kikamilifu Iran katika soko la mafuta baada ya kuondolewa vikwazo.
-
Ghana kuipiga kando dola ya Marekani katika ununuzi wa mafuta
Nov 26, 2022 02:33Serikali ya Ghana inaanda sera mpya ya kununua bidhaa za mafuta kwa kutumia dhahabu badala ya sarafu ya dola ya Marekani.
-
Yemen yazima jaribio la meli ajinabi kuiba mafuta yake
Nov 22, 2022 07:17Vikosi vya jeshi la Yemen vimetangaza habari ya kufanikiwa kuzima jaribio la wizi wa mafuta ya nchi hiyo, lililofanywa na meli ya kubeba mafuta ya nchi ya kigeni.
-
Damascus: Marekani inapaswa kuondoa mara moja majeshi yake kutoka Syria
Oct 09, 2022 02:56Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imesisitiza kuwa, Washington inapaswa kuondoa mara moja majeshi yake haramu katika ardhi ya Syria.