-
Reuters: Mauzo ya mafuta ya Iran nje ya nchi yameweka rekodi
Jun 17, 2023 11:08Shirika la habari la Reuters limeripoti kuwa, ununuzi wa mafuta kutoka Iran mwaka huu 2023 umeongezeka kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa katika kipindi cha miaka mitano iliyopita.
-
Ununuzi wa mafuta kutoka Iran, nembo ya kufeli sera za vikwazo za Magharibi
Jun 15, 2023 02:23Takwimu mpya zilizotolewa na Kituo cha Takwimu cha Ulaya (Eurostat) zinaonyesha kuwa, kwa mara ya kwanza tangu mwaka 2018, Ujerumani imeagiza shehena kubwa ya mafuta au bidhaa za petroli kutoka Iran licha ya vikwazo vya Marekani.
-
Katibu Mkuu wa OPEC akaribisha kurejea kikamilifu Iran katika soko la mafuta
May 30, 2023 09:32Katibu Mkuu wa jumuiya ya nchi zinazozalisha mafuta kwa wingi Duniani (OPEC) amesema kuwa jumuiya hiyo inakaribisha kurejea kikamilifu Iran katika soko la mafuta baada ya kuondolewa vikwazo.
-
Ghana kuipiga kando dola ya Marekani katika ununuzi wa mafuta
Nov 26, 2022 02:33Serikali ya Ghana inaanda sera mpya ya kununua bidhaa za mafuta kwa kutumia dhahabu badala ya sarafu ya dola ya Marekani.
-
Yemen yazima jaribio la meli ajinabi kuiba mafuta yake
Nov 22, 2022 07:17Vikosi vya jeshi la Yemen vimetangaza habari ya kufanikiwa kuzima jaribio la wizi wa mafuta ya nchi hiyo, lililofanywa na meli ya kubeba mafuta ya nchi ya kigeni.
-
Damascus: Marekani inapaswa kuondoa mara moja majeshi yake kutoka Syria
Oct 09, 2022 02:56Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imesisitiza kuwa, Washington inapaswa kuondoa mara moja majeshi yake haramu katika ardhi ya Syria.
-
NGOs zakosoa mradi wa mafuta wa Uganda
Oct 06, 2022 13:43Ripoti iliyotolewa na taasisi mbili za kulinda mazingira zisizo za kiserikali imetahadharisha kuhusu uwezekano wa kujitokeza uharibifu na taathira za kimazingira kutokana na mradi wenye utata unaohusisha kampuni kubwa ya mafuta ya Ufaransa ya TotalEnergies na Shirika la Kitaifa la Mafuta la Offshore la China (CNOOC).
-
Nasrullah: Macho na makombora yetu yameelekezwa kwenye medani ya gesi ya Karish
Sep 17, 2022 11:59Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah, amesema leo Jumamosi kwamba macho na makombora ya harakati hiyo yameelekezwa kwenye medani ya gesi ya Karish, ambao inazozaniwa baina ya Lebanon na utawala haramu wa Israel.
-
Marekani inaiba 80% ya mafuta yanayozalishwa Syria kila siku
Aug 16, 2022 07:39Marekani inapora asilimia 80 ya mafuta yanayozalishwa kwa siku nchini Syria.
-
Russia yatishia kusimamisha uuzaji wa mafuta yake nje ya nchi
Jul 21, 2022 11:39Russia imetishia kuwa itaacha kuuza mafuta yake ghafi nje ya nchi hiyo iwapo nchi za Magharibi zitatekeleza mpango wao wa kuweka kibano katika bei ya mauzo ya bidhaa hiyo.