-
NGOs zakosoa mradi wa mafuta wa Uganda
Oct 06, 2022 13:43Ripoti iliyotolewa na taasisi mbili za kulinda mazingira zisizo za kiserikali imetahadharisha kuhusu uwezekano wa kujitokeza uharibifu na taathira za kimazingira kutokana na mradi wenye utata unaohusisha kampuni kubwa ya mafuta ya Ufaransa ya TotalEnergies na Shirika la Kitaifa la Mafuta la Offshore la China (CNOOC).
-
Nasrullah: Macho na makombora yetu yameelekezwa kwenye medani ya gesi ya Karish
Sep 17, 2022 11:59Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah, amesema leo Jumamosi kwamba macho na makombora ya harakati hiyo yameelekezwa kwenye medani ya gesi ya Karish, ambao inazozaniwa baina ya Lebanon na utawala haramu wa Israel.
-
Marekani inaiba 80% ya mafuta yanayozalishwa Syria kila siku
Aug 16, 2022 07:39Marekani inapora asilimia 80 ya mafuta yanayozalishwa kwa siku nchini Syria.
-
Russia yatishia kusimamisha uuzaji wa mafuta yake nje ya nchi
Jul 21, 2022 11:39Russia imetishia kuwa itaacha kuuza mafuta yake ghafi nje ya nchi hiyo iwapo nchi za Magharibi zitatekeleza mpango wao wa kuweka kibano katika bei ya mauzo ya bidhaa hiyo.
-
Muungano vamizi wa kijeshi wa Saudia umepora mapipa laki nne ya mafuta ya Yemen
Jun 27, 2022 07:46Meli moja ya mafuta ya kigeni inayomilikiwa na muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia imeondoka katika mkoa wa Shabwah, kusini mashariki ya Yemen baada ya kupora mapipa laki nne ya mafuta ghafi ya nchi hiyo.
-
Iraq yatakiwa kuchunguza wizi wa mafuta yanayopelekwa Israel
Jun 18, 2022 11:28Serikali ya Iraq imetakiwa ifanye uchunguzi wa kina kuhusu wizi wa mafuta ya nchi hiyo katika eneo lenye mamlaka ya ndani la Kurdistan, kaskazini mwa nchi na kupelekwa katika ardhi za Wapalestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.
-
Iran yanasa meli nyingine ya kigeni ikifanya magendo ya mafuta
Apr 11, 2022 02:36Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limefanikiwa kunasa meli nyingine ya kigeni ikifanya magendo ya mafuta katika maji ya Ghuba ya Uajemi.
-
Iran: Uzalishaji wa mafuta ghafi umerejea katika kiwango cha kabla ya vikwazo
Apr 02, 2022 02:36Waziri wa Mafuta wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kiwango cha uzalishaji wa mafuta ghafi ya taifa hili kimeongezeka na kurejea katika kiwango cha kipindi cha kabla ya vikwazo, ilivyowekewa nchi hii na utawala wa Donald Trump baada ya kuiondoa Marekani kwenye mapatano ya nyuklia ya JCPOA mwaka 2018.
-
Kuongezeka mpasuko ndani ya EU kuhusu vikwazo vya mafuta na gesi dhidi ya Russia
Mar 28, 2022 02:27Waziri Mkuu wa Poland, Mateusz Morawiecki amedai kuwa, nchi tatu za Ulaya za Ujerumani, Austria na Hungary ni kizuizi katika utekelezaji wa vikwazo vipya dhidi ya Russia na kuzifananisha nchi hizo tatu na breki inayozuia vikwazo vya Magharibi dhidi ya Moscow.
-
Ziara isiyo na tija ya Waziri Mkuu wa Uingereza katika nchi za Saudia na Imarati
Mar 19, 2022 06:05Waziri Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson mbaye alikuwa ziarani katika nchi za Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati), amejaribu sana kuzishawishi nchi hizo mbili ziongeze kiwango chao cha uzalishaji mafuta, lakini amerejea London mikono mitupu.