Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mafuta

  • Katibu Mkuu wa OPEC akaribisha kurejea kikamilifu Iran katika soko la mafuta

    Katibu Mkuu wa OPEC akaribisha kurejea kikamilifu Iran katika soko la mafuta

    May 30, 2023 09:32

    Katibu Mkuu wa jumuiya ya nchi zinazozalisha mafuta kwa wingi Duniani (OPEC) amesema kuwa jumuiya hiyo inakaribisha kurejea kikamilifu Iran katika soko la mafuta baada ya kuondolewa vikwazo.

  • Ghana kuipiga kando dola ya Marekani katika ununuzi wa mafuta

    Ghana kuipiga kando dola ya Marekani katika ununuzi wa mafuta

    Nov 26, 2022 02:33

    Serikali ya Ghana inaanda sera mpya ya kununua bidhaa za mafuta kwa kutumia dhahabu badala ya sarafu ya dola ya Marekani.

  • Yemen yazima jaribio la meli ajinabi kuiba mafuta yake

    Yemen yazima jaribio la meli ajinabi kuiba mafuta yake

    Nov 22, 2022 07:17

    Vikosi vya jeshi la Yemen vimetangaza habari ya kufanikiwa kuzima jaribio la wizi wa mafuta ya nchi hiyo, lililofanywa na meli ya kubeba mafuta ya nchi ya kigeni.

  • Damascus: Marekani inapaswa kuondoa mara moja majeshi yake kutoka Syria

    Damascus: Marekani inapaswa kuondoa mara moja majeshi yake kutoka Syria

    Oct 09, 2022 02:56

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imesisitiza kuwa, Washington inapaswa kuondoa mara moja majeshi yake haramu katika ardhi ya Syria.

  • NGOs zakosoa mradi wa mafuta wa Uganda

    NGOs zakosoa mradi wa mafuta wa Uganda

    Oct 06, 2022 13:43

    Ripoti iliyotolewa na taasisi mbili za kulinda mazingira zisizo za kiserikali imetahadharisha kuhusu uwezekano wa kujitokeza uharibifu na taathira za kimazingira kutokana na mradi wenye utata unaohusisha kampuni kubwa ya mafuta ya Ufaransa ya TotalEnergies na Shirika la Kitaifa la Mafuta la Offshore la China (CNOOC).

  • Nasrullah: Macho na makombora yetu yameelekezwa kwenye medani ya gesi ya Karish

    Nasrullah: Macho na makombora yetu yameelekezwa kwenye medani ya gesi ya Karish

    Sep 17, 2022 11:59

    Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah, amesema leo Jumamosi kwamba macho na makombora ya harakati hiyo yameelekezwa kwenye medani ya gesi ya Karish, ambao inazozaniwa baina ya Lebanon na utawala haramu wa Israel.

  • Marekani inaiba 80% ya mafuta yanayozalishwa Syria kila siku

    Marekani inaiba 80% ya mafuta yanayozalishwa Syria kila siku

    Aug 16, 2022 07:39

    Marekani inapora asilimia 80 ya mafuta yanayozalishwa kwa siku nchini Syria.

  • Russia yatishia kusimamisha uuzaji wa mafuta yake nje ya nchi

    Russia yatishia kusimamisha uuzaji wa mafuta yake nje ya nchi

    Jul 21, 2022 11:39

    Russia imetishia kuwa itaacha kuuza mafuta yake ghafi nje ya nchi hiyo iwapo nchi za Magharibi zitatekeleza mpango wao wa kuweka kibano katika bei ya mauzo ya bidhaa hiyo.

  • Muungano vamizi wa kijeshi wa Saudia umepora mapipa laki nne ya mafuta ya Yemen

    Muungano vamizi wa kijeshi wa Saudia umepora mapipa laki nne ya mafuta ya Yemen

    Jun 27, 2022 07:46

    Meli moja ya mafuta ya kigeni inayomilikiwa na muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia imeondoka katika mkoa wa Shabwah, kusini mashariki ya Yemen baada ya kupora mapipa laki nne ya mafuta ghafi ya nchi hiyo.

  • Iraq yatakiwa kuchunguza wizi wa mafuta yanayopelekwa Israel

    Iraq yatakiwa kuchunguza wizi wa mafuta yanayopelekwa Israel

    Jun 18, 2022 11:28

    Serikali ya Iraq imetakiwa ifanye uchunguzi wa kina kuhusu wizi wa mafuta ya nchi hiyo katika eneo lenye mamlaka ya ndani la Kurdistan, kaskazini mwa nchi na kupelekwa katika ardhi za Wapalestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS