-
Safari ya Johnson Saudi Arabia; mafuta mhimili wa mazungumzo
Mar 16, 2022 07:15Wakati vita vya Russia na Ukraine vikiendelea na bei ya mafuta duniani kuendelea kupanda pia, Boris Johnson Waziri Mkuu wa Uingereza anaelekea Saudi Arabia kwa ajili ya kujadili suala la kupewa mafuta kwa bei rahisi.
-
Mauzo ya mafuta ya Iran nje ya nchi yaongezeka kwa 40%
Feb 26, 2022 02:38Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema uuzaji wa mafuta yake katika soko la kimataifa umeongezeka kwa asilimia 40 katika kipindi cha miezi mitano iliyopita, licha ya vikwazo dhidi ya taifa hili.
-
Kukua uchumi wa Venezuela licha ya miaka kadhaa ya vikwazo vya kidhalimu vya Marekani
Jan 19, 2022 02:40Licha ya njama mtawalia za Marekani za kuhakikisha Venezuela inatengwa kieneo na kimataifa, lakini Rais Nicolas Maduro wa nchi hiyo ya Amerika ya Latini ametangaza kuwa, Venezuela imerejea katika mkondo wa ustawi na kukua uchumi wake licha ya miaka kadhaa ya njama hizo za Marekani.
-
Wakenya wapewa matumaini ya kupungua bei ya mafuta na ughali wa maisha
Oct 03, 2021 14:52Wananchi wa Kenya wamepata matumaini ya kupungua bei ya mafuta nchini humo ambayo imekuwa mzigo kwa raia baada ya Mamlaka ya Kusimamia Kawi na Petroli Nchini (EPRA) kupandisha bei ya bidhaa hiyo.
-
Wamarekani waiba shehena nyingine ya mafuta ya Syria
Sep 15, 2021 06:21Wanajeshi magaidi na wavamizi wa Marekani wameiba shehena nyingine ya mafuta ya wananchi wa Syria.
-
Iran kuongeza uzalishaji wa mafuta hadi mapipa milioni 6.5 kwa siku
Jun 01, 2021 08:03Waziri wa Mafuta wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema taifa hili limeazimia kuongeza kiwango cha uzalishaji wa mafuta yake.
-
Yemen: UN ni mshirika katika uharamia wa Saudia na washirika wake
Apr 17, 2021 08:20Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Mafuta la Yemen amekosoa hatua ya muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia wa kuendelea kushikilia meli zinazobeba mafuta kuelekea Yemen na kusema kuwa Umoja wa Mataifa pia ni mshirika katika uharamia huo.
-
Russia: Marekani ingali inaiba mafuta na ngano ya Syria
Mar 31, 2021 03:03Naibu Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Russia amesema kuwa, Marekani inaendelea kuiba na kutorosha mafuta na ngano ya Syria.
-
Zanganeh: Iran inafanya juhudi za kuuza mafuta katika soko la kimataifa
Dec 22, 2020 07:34Waziri wa Mafuta wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa Tehran inafanya jitihada za kuuza mafuta katika soko lal kimataifa licha ya kuendelea vikwazo vya kidhulma vya Marekani dhidi ya nchi hii.
-
Zanganeh: Iran haihitaji idhini ya kurejea katika soko la mafuta
Dec 14, 2020 12:27Waziri wa Mafuta wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Bijan Namdar Zangeneh amesema taifa hili halihitaji idhini yoyote kurejea katika soko la mafuta na kwamba lina uwezo wa kuuza mapipa milioni 2.3 ya mafuta kila siku.