Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mafuta

  • Mauzo ya mafuta ya Iran nje ya nchi yaongezeka kwa 40%

    Mauzo ya mafuta ya Iran nje ya nchi yaongezeka kwa 40%

    Feb 26, 2022 02:38

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema uuzaji wa mafuta yake katika soko la kimataifa umeongezeka kwa asilimia 40 katika kipindi cha miezi mitano iliyopita, licha ya vikwazo dhidi ya taifa hili.

  • Kukua uchumi wa Venezuela licha ya miaka kadhaa ya vikwazo vya kidhalimu vya Marekani

    Kukua uchumi wa Venezuela licha ya miaka kadhaa ya vikwazo vya kidhalimu vya Marekani

    Jan 19, 2022 02:40

    Licha ya njama mtawalia za Marekani za kuhakikisha Venezuela inatengwa kieneo na kimataifa, lakini Rais Nicolas Maduro wa nchi hiyo ya Amerika ya Latini ametangaza kuwa, Venezuela imerejea katika mkondo wa ustawi na kukua uchumi wake licha ya miaka kadhaa ya njama hizo za Marekani.

  • Wakenya wapewa matumaini ya kupungua bei ya mafuta na ughali wa maisha

    Wakenya wapewa matumaini ya kupungua bei ya mafuta na ughali wa maisha

    Oct 03, 2021 14:52

    Wananchi wa Kenya wamepata matumaini ya kupungua bei ya mafuta nchini humo ambayo imekuwa mzigo kwa raia baada ya Mamlaka ya Kusimamia Kawi na Petroli Nchini (EPRA) kupandisha bei ya bidhaa hiyo.

  • Wamarekani waiba shehena nyingine ya mafuta ya Syria

    Wamarekani waiba shehena nyingine ya mafuta ya Syria

    Sep 15, 2021 06:21

    Wanajeshi magaidi na wavamizi wa Marekani wameiba shehena nyingine ya mafuta ya wananchi wa Syria.

  • Iran kuongeza uzalishaji wa mafuta hadi mapipa milioni 6.5 kwa siku

    Iran kuongeza uzalishaji wa mafuta hadi mapipa milioni 6.5 kwa siku

    Jun 01, 2021 08:03

    Waziri wa Mafuta wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema taifa hili limeazimia kuongeza kiwango cha uzalishaji wa mafuta yake.

  • Yemen: UN ni mshirika katika uharamia wa Saudia na washirika wake

    Yemen: UN ni mshirika katika uharamia wa Saudia na washirika wake

    Apr 17, 2021 08:20

    Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Mafuta la Yemen amekosoa hatua ya muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia wa kuendelea kushikilia meli zinazobeba mafuta kuelekea Yemen na kusema kuwa Umoja wa Mataifa pia ni mshirika katika uharamia huo.

  • Russia: Marekani ingali inaiba mafuta na ngano ya Syria

    Russia: Marekani ingali inaiba mafuta na ngano ya Syria

    Mar 31, 2021 03:03

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Russia amesema kuwa, Marekani inaendelea kuiba na kutorosha mafuta na ngano ya Syria.

  • Zanganeh: Iran inafanya juhudi za kuuza mafuta katika soko la kimataifa

    Zanganeh: Iran inafanya juhudi za kuuza mafuta katika soko la kimataifa

    Dec 22, 2020 07:34

    Waziri wa Mafuta wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa Tehran inafanya jitihada za kuuza mafuta katika soko lal kimataifa licha ya kuendelea vikwazo vya kidhulma vya Marekani dhidi ya nchi hii.

  • Zanganeh: Iran haihitaji idhini ya kurejea katika soko la mafuta

    Zanganeh: Iran haihitaji idhini ya kurejea katika soko la mafuta

    Dec 14, 2020 12:27

    Waziri wa Mafuta wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Bijan Namdar Zangeneh amesema taifa hili halihitaji idhini yoyote kurejea katika soko la mafuta na kwamba lina uwezo wa kuuza mapipa milioni 2.3 ya mafuta kila siku.

  • Askari wa jeshi la kiharamia la Marekani waendelea kupora mafuta ya Syria

    Askari wa jeshi la kiharamia la Marekani waendelea kupora mafuta ya Syria

    Dec 13, 2020 14:03

    Kwa mara nyingine, askari wa jeshi la Marekani wamepora makumi ya malori ya mafuta ya Syria na kuyahamishia nchi jirani ya Iraq.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS