Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mahakama

  • Kiongozi wa upinzani Niger ahukumiwa kifungo jela

    Kiongozi wa upinzani Niger ahukumiwa kifungo jela

    Jun 06, 2017 09:18

    Mahakama moja nchini Niger hii leo imetoa hukumu ya kifungo cha miezi mitatu jela dhidi ya kiongozi wa upinzani nchini humo, aliyekuwa akikabiliwa na mashitaka ya kuchochea mapinduzi dhidi ya serikali.

  • Askari 13 wa Sudan Kusini wanaotuhumiwa ubakaji, mauaji wapandishwa kizimbani

    Askari 13 wa Sudan Kusini wanaotuhumiwa ubakaji, mauaji wapandishwa kizimbani

    May 30, 2017 11:11

    Wanajeshi 13 wa Sudan Kusini wamefunguliwa mashtaka ya ubakaji na mauaji katika kesi inayoonekana kutumiwa na serikali ya Juba kuonyesha kuwa ina uwezo wa kusikiliza kesi za jinai za kivita.

  • Wanazuoni Bahrain: Hukumu dhidi ya Sheikh Qassim ni tangazo la vita

    Wanazuoni Bahrain: Hukumu dhidi ya Sheikh Qassim ni tangazo la vita

    May 21, 2017 09:12

    Wanazuoni wa Kiislamu nchini Bahrain wamelaani vikali hatua ya utawala wa Aal-Khalifa kumhukumu msomi mtajika nchini humo Sheikh Issa Qassim kifungo cha mwaka mmoja na kusisitiza kuwa hukumu hiyo ni sawa na tangazo la vita.

  • Gavana wa mji mkuu wa Indonesia aswekwa jela kwa kuuvunjia heshima Uislamu

    Gavana wa mji mkuu wa Indonesia aswekwa jela kwa kuuvunjia heshima Uislamu

    May 09, 2017 09:25

    Gavana wa Jakarta, mji mkuu wa Indonesia amehukumiwa kifungo cha miaka miwili jela baada ya kupatikana na hatia ya kuuvunjia heshima na kuudhalilisha Uislamu.

  • Waislamu Nigeria kuishtaki serikali kwa kupuuza agizo la koti

    Waislamu Nigeria kuishtaki serikali kwa kupuuza agizo la koti

    Apr 28, 2017 03:25

    Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria imesema inajiandaa kwenda mahakamani kuishtaki serikali ya nchi hiyo kwa kupuuza agizo lililotolewa na Mahakama ya Federali la kumuachia huru kiongozi wao Sheikh Ibrahim Zakzaky.

  • Kijana Mmarekani akiri kuhusika na njama za kumuua Papa Francis

    Kijana Mmarekani akiri kuhusika na njama za kumuua Papa Francis

    Apr 04, 2017 10:46

    Kijana mmoja Mmarekani kutoka jimbo la New Jersey amekiri mbele ya mahakama kuwa alihusika katika njama zilizofeli za kumuua Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis.

  • Bahrain yamfunga miaka 10 jela mbunge wa zamani wa al-Wefaq

    Bahrain yamfunga miaka 10 jela mbunge wa zamani wa al-Wefaq

    Mar 29, 2017 09:24

    Vyombo vya mahakama nchini Bahrain vimeendeleza wimbi la hukumu zake zisizo za kiadilifu dhidi ya wanaharakati na wakosoaji wa utawala wa Aal-Khalifa, baada ya kutoa hukumu ya vifo na kifungo jela kwa wanaharakati kadhaa.

  • Pigo jingine kwa Trump baada ya agizo lake dhidi ya Waislamu kupingwa mahakamani

    Pigo jingine kwa Trump baada ya agizo lake dhidi ya Waislamu kupingwa mahakamani

    Mar 16, 2017 11:05

    Majaji wawili wa Mahakama ya Federali ya Marekani wamepinga sheria ya kuwazuia raia wa nchi sita za Kiislamu kuingia nchini humo, iliyotiwa saini na Rais Donald Trump hivi karibuni.

  • Hukumu ya mahakama ya Ulaya dhidi ya vazi la hijabu

    Hukumu ya mahakama ya Ulaya dhidi ya vazi la hijabu

    Mar 15, 2017 03:27

    Mahakama ya Haki ya Ulaya (ECJ) yenye makao yake huko Luxembourg jana Jumanne ilipasisha marufuku ya vazi la staha la mwanamke wa Kiislamu, hijabu.

  • Bahrain yaakhirisha tena hukumu dhidi ya Sheikh Isa Qassim

    Bahrain yaakhirisha tena hukumu dhidi ya Sheikh Isa Qassim

    Mar 14, 2017 11:24

    Kwa mara nyingine tena utawala wa Aal-Khalifa umeakhirisha kutolewa hukumu dhidi ya Sheikh Isa Qassim, mwanazuoni mashuhuri wa Bahrain hadi Mei 7 mwaka huu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS