-
Kiongozi wa upinzani Niger ahukumiwa kifungo jela
Jun 06, 2017 09:18Mahakama moja nchini Niger hii leo imetoa hukumu ya kifungo cha miezi mitatu jela dhidi ya kiongozi wa upinzani nchini humo, aliyekuwa akikabiliwa na mashitaka ya kuchochea mapinduzi dhidi ya serikali.
-
Askari 13 wa Sudan Kusini wanaotuhumiwa ubakaji, mauaji wapandishwa kizimbani
May 30, 2017 11:11Wanajeshi 13 wa Sudan Kusini wamefunguliwa mashtaka ya ubakaji na mauaji katika kesi inayoonekana kutumiwa na serikali ya Juba kuonyesha kuwa ina uwezo wa kusikiliza kesi za jinai za kivita.
-
Wanazuoni Bahrain: Hukumu dhidi ya Sheikh Qassim ni tangazo la vita
May 21, 2017 09:12Wanazuoni wa Kiislamu nchini Bahrain wamelaani vikali hatua ya utawala wa Aal-Khalifa kumhukumu msomi mtajika nchini humo Sheikh Issa Qassim kifungo cha mwaka mmoja na kusisitiza kuwa hukumu hiyo ni sawa na tangazo la vita.
-
Gavana wa mji mkuu wa Indonesia aswekwa jela kwa kuuvunjia heshima Uislamu
May 09, 2017 09:25Gavana wa Jakarta, mji mkuu wa Indonesia amehukumiwa kifungo cha miaka miwili jela baada ya kupatikana na hatia ya kuuvunjia heshima na kuudhalilisha Uislamu.
-
Waislamu Nigeria kuishtaki serikali kwa kupuuza agizo la koti
Apr 28, 2017 03:25Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria imesema inajiandaa kwenda mahakamani kuishtaki serikali ya nchi hiyo kwa kupuuza agizo lililotolewa na Mahakama ya Federali la kumuachia huru kiongozi wao Sheikh Ibrahim Zakzaky.
-
Kijana Mmarekani akiri kuhusika na njama za kumuua Papa Francis
Apr 04, 2017 10:46Kijana mmoja Mmarekani kutoka jimbo la New Jersey amekiri mbele ya mahakama kuwa alihusika katika njama zilizofeli za kumuua Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis.
-
Bahrain yamfunga miaka 10 jela mbunge wa zamani wa al-Wefaq
Mar 29, 2017 09:24Vyombo vya mahakama nchini Bahrain vimeendeleza wimbi la hukumu zake zisizo za kiadilifu dhidi ya wanaharakati na wakosoaji wa utawala wa Aal-Khalifa, baada ya kutoa hukumu ya vifo na kifungo jela kwa wanaharakati kadhaa.
-
Pigo jingine kwa Trump baada ya agizo lake dhidi ya Waislamu kupingwa mahakamani
Mar 16, 2017 11:05Majaji wawili wa Mahakama ya Federali ya Marekani wamepinga sheria ya kuwazuia raia wa nchi sita za Kiislamu kuingia nchini humo, iliyotiwa saini na Rais Donald Trump hivi karibuni.
-
Hukumu ya mahakama ya Ulaya dhidi ya vazi la hijabu
Mar 15, 2017 03:27Mahakama ya Haki ya Ulaya (ECJ) yenye makao yake huko Luxembourg jana Jumanne ilipasisha marufuku ya vazi la staha la mwanamke wa Kiislamu, hijabu.
-
Bahrain yaakhirisha tena hukumu dhidi ya Sheikh Isa Qassim
Mar 14, 2017 11:24Kwa mara nyingine tena utawala wa Aal-Khalifa umeakhirisha kutolewa hukumu dhidi ya Sheikh Isa Qassim, mwanazuoni mashuhuri wa Bahrain hadi Mei 7 mwaka huu.