-
Askari 13 wa Sudan Kusini wanaotuhumiwa ubakaji, mauaji wapandishwa kizimbani
May 30, 2017 11:11Wanajeshi 13 wa Sudan Kusini wamefunguliwa mashtaka ya ubakaji na mauaji katika kesi inayoonekana kutumiwa na serikali ya Juba kuonyesha kuwa ina uwezo wa kusikiliza kesi za jinai za kivita.
-
Wanazuoni Bahrain: Hukumu dhidi ya Sheikh Qassim ni tangazo la vita
May 21, 2017 09:12Wanazuoni wa Kiislamu nchini Bahrain wamelaani vikali hatua ya utawala wa Aal-Khalifa kumhukumu msomi mtajika nchini humo Sheikh Issa Qassim kifungo cha mwaka mmoja na kusisitiza kuwa hukumu hiyo ni sawa na tangazo la vita.
-
Gavana wa mji mkuu wa Indonesia aswekwa jela kwa kuuvunjia heshima Uislamu
May 09, 2017 09:25Gavana wa Jakarta, mji mkuu wa Indonesia amehukumiwa kifungo cha miaka miwili jela baada ya kupatikana na hatia ya kuuvunjia heshima na kuudhalilisha Uislamu.
-
Waislamu Nigeria kuishtaki serikali kwa kupuuza agizo la koti
Apr 28, 2017 03:25Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria imesema inajiandaa kwenda mahakamani kuishtaki serikali ya nchi hiyo kwa kupuuza agizo lililotolewa na Mahakama ya Federali la kumuachia huru kiongozi wao Sheikh Ibrahim Zakzaky.
-
Kijana Mmarekani akiri kuhusika na njama za kumuua Papa Francis
Apr 04, 2017 10:46Kijana mmoja Mmarekani kutoka jimbo la New Jersey amekiri mbele ya mahakama kuwa alihusika katika njama zilizofeli za kumuua Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis.
-
Bahrain yamfunga miaka 10 jela mbunge wa zamani wa al-Wefaq
Mar 29, 2017 09:24Vyombo vya mahakama nchini Bahrain vimeendeleza wimbi la hukumu zake zisizo za kiadilifu dhidi ya wanaharakati na wakosoaji wa utawala wa Aal-Khalifa, baada ya kutoa hukumu ya vifo na kifungo jela kwa wanaharakati kadhaa.
-
Pigo jingine kwa Trump baada ya agizo lake dhidi ya Waislamu kupingwa mahakamani
Mar 16, 2017 11:05Majaji wawili wa Mahakama ya Federali ya Marekani wamepinga sheria ya kuwazuia raia wa nchi sita za Kiislamu kuingia nchini humo, iliyotiwa saini na Rais Donald Trump hivi karibuni.
-
Hukumu ya mahakama ya Ulaya dhidi ya vazi la hijabu
Mar 15, 2017 03:27Mahakama ya Haki ya Ulaya (ECJ) yenye makao yake huko Luxembourg jana Jumanne ilipasisha marufuku ya vazi la staha la mwanamke wa Kiislamu, hijabu.
-
Bahrain yaakhirisha tena hukumu dhidi ya Sheikh Isa Qassim
Mar 14, 2017 11:24Kwa mara nyingine tena utawala wa Aal-Khalifa umeakhirisha kutolewa hukumu dhidi ya Sheikh Isa Qassim, mwanazuoni mashuhuri wa Bahrain hadi Mei 7 mwaka huu.
-
Askari wa Israel aliyeua Mpalestina afungwa miezi 18
Feb 21, 2017 10:57Askari wa jeshi katili la utawala haramu wa Israel aliyemuua kwa kumfyatuliwa risasi raia wa Palestina, amehukumiwa kifungo cha miezi 18 pekee jela.