Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mahakama

  • Askari 13 wa Sudan Kusini wanaotuhumiwa ubakaji, mauaji wapandishwa kizimbani

    Askari 13 wa Sudan Kusini wanaotuhumiwa ubakaji, mauaji wapandishwa kizimbani

    May 30, 2017 11:11

    Wanajeshi 13 wa Sudan Kusini wamefunguliwa mashtaka ya ubakaji na mauaji katika kesi inayoonekana kutumiwa na serikali ya Juba kuonyesha kuwa ina uwezo wa kusikiliza kesi za jinai za kivita.

  • Wanazuoni Bahrain: Hukumu dhidi ya Sheikh Qassim ni tangazo la vita

    Wanazuoni Bahrain: Hukumu dhidi ya Sheikh Qassim ni tangazo la vita

    May 21, 2017 09:12

    Wanazuoni wa Kiislamu nchini Bahrain wamelaani vikali hatua ya utawala wa Aal-Khalifa kumhukumu msomi mtajika nchini humo Sheikh Issa Qassim kifungo cha mwaka mmoja na kusisitiza kuwa hukumu hiyo ni sawa na tangazo la vita.

  • Gavana wa mji mkuu wa Indonesia aswekwa jela kwa kuuvunjia heshima Uislamu

    Gavana wa mji mkuu wa Indonesia aswekwa jela kwa kuuvunjia heshima Uislamu

    May 09, 2017 09:25

    Gavana wa Jakarta, mji mkuu wa Indonesia amehukumiwa kifungo cha miaka miwili jela baada ya kupatikana na hatia ya kuuvunjia heshima na kuudhalilisha Uislamu.

  • Waislamu Nigeria kuishtaki serikali kwa kupuuza agizo la koti

    Waislamu Nigeria kuishtaki serikali kwa kupuuza agizo la koti

    Apr 28, 2017 03:25

    Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria imesema inajiandaa kwenda mahakamani kuishtaki serikali ya nchi hiyo kwa kupuuza agizo lililotolewa na Mahakama ya Federali la kumuachia huru kiongozi wao Sheikh Ibrahim Zakzaky.

  • Kijana Mmarekani akiri kuhusika na njama za kumuua Papa Francis

    Kijana Mmarekani akiri kuhusika na njama za kumuua Papa Francis

    Apr 04, 2017 10:46

    Kijana mmoja Mmarekani kutoka jimbo la New Jersey amekiri mbele ya mahakama kuwa alihusika katika njama zilizofeli za kumuua Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis.

  • Bahrain yamfunga miaka 10 jela mbunge wa zamani wa al-Wefaq

    Bahrain yamfunga miaka 10 jela mbunge wa zamani wa al-Wefaq

    Mar 29, 2017 09:24

    Vyombo vya mahakama nchini Bahrain vimeendeleza wimbi la hukumu zake zisizo za kiadilifu dhidi ya wanaharakati na wakosoaji wa utawala wa Aal-Khalifa, baada ya kutoa hukumu ya vifo na kifungo jela kwa wanaharakati kadhaa.

  • Pigo jingine kwa Trump baada ya agizo lake dhidi ya Waislamu kupingwa mahakamani

    Pigo jingine kwa Trump baada ya agizo lake dhidi ya Waislamu kupingwa mahakamani

    Mar 16, 2017 11:05

    Majaji wawili wa Mahakama ya Federali ya Marekani wamepinga sheria ya kuwazuia raia wa nchi sita za Kiislamu kuingia nchini humo, iliyotiwa saini na Rais Donald Trump hivi karibuni.

  • Hukumu ya mahakama ya Ulaya dhidi ya vazi la hijabu

    Hukumu ya mahakama ya Ulaya dhidi ya vazi la hijabu

    Mar 15, 2017 03:27

    Mahakama ya Haki ya Ulaya (ECJ) yenye makao yake huko Luxembourg jana Jumanne ilipasisha marufuku ya vazi la staha la mwanamke wa Kiislamu, hijabu.

  • Bahrain yaakhirisha tena hukumu dhidi ya Sheikh Isa Qassim

    Bahrain yaakhirisha tena hukumu dhidi ya Sheikh Isa Qassim

    Mar 14, 2017 11:24

    Kwa mara nyingine tena utawala wa Aal-Khalifa umeakhirisha kutolewa hukumu dhidi ya Sheikh Isa Qassim, mwanazuoni mashuhuri wa Bahrain hadi Mei 7 mwaka huu.

  • Askari wa Israel aliyeua Mpalestina afungwa miezi 18

    Askari wa Israel aliyeua Mpalestina afungwa miezi 18

    Feb 21, 2017 10:57

    Askari wa jeshi katili la utawala haramu wa Israel aliyemuua kwa kumfyatuliwa risasi raia wa Palestina, amehukumiwa kifungo cha miezi 18 pekee jela.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS