Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mahakama

  • Waislamu Nigeria wapongeza kuondolewa marufuku ya hijabu

    Waislamu Nigeria wapongeza kuondolewa marufuku ya hijabu

    Jul 24, 2016 03:30

    Waislamu nchini Nigeria wamepongeza uamuzi wa Mahakama ya Rufaa mjini Lagos kufutulia mbali marufuku ya kuvaa hijabu katika shule za umma mjini hapo.

  • Bahrain yavunja chama cha Kiislamu cha al-Wefaq

    Bahrain yavunja chama cha Kiislamu cha al-Wefaq

    Jul 17, 2016 11:24

    Mahakama moja nchini Bahrain imekivunja chama kikuu cha upinzani nchini humo cha al-Wefaq, mwezi mmoja baada ya serikali ya Manama kusimamisha shughuli za chama hicho.

  • Bahrain yaendeleza jinai zake, yawafunga maisha jela watu 8

    Bahrain yaendeleza jinai zake, yawafunga maisha jela watu 8

    Jun 29, 2016 08:48

    Katika muendelezo wa wimbi la ukandamizaji na hukumu zisizo za kiadilifu zinazotolewa na utawala wa Manamana dhidi ya wanaharakati na wapinzani, mahakama moja nchini Bahrain imewahukumu kifungo cha maisha jela, wanaharakati wanane wa Kishia wa nchi hiyo sambamba na kuwapokonya uraia.

  • Rufaa ya Zuma kupinga kufufuliwa kesi za ufisadi dhidi yake yakataliwa

    Rufaa ya Zuma kupinga kufufuliwa kesi za ufisadi dhidi yake yakataliwa

    Jun 24, 2016 10:14

    Mahakama Kuu mjini Pretoria nchini Afrika Kusini imetupilia mbali rufaa ya Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo ya kupinga kufufuliwa kesi za ufisadi wa kifedha dhidi yake, hatua ambayo ni pigo kwa rais huyo ambaye anakabiliwa na mashinikizo ya kujiuzulu kutoka viongozi wa upinzani.

  • Mahakama Misri yabatilisha kukabidhiwa Saudia visiwa viwili muhimu

    Mahakama Misri yabatilisha kukabidhiwa Saudia visiwa viwili muhimu

    Jun 21, 2016 10:25

    Mahakama moja nchini Misri imetengua hatua ya serikali ya Rais Abdulfattah al-Sisi wa nchi hiyo ya kuipatia Saudi Arabia visiwa viwili vya kistratejia vya nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Zuma akata rufaa kupinga kufufuliwa kesi za ufisadi dhidi yake

    Zuma akata rufaa kupinga kufufuliwa kesi za ufisadi dhidi yake

    Jun 10, 2016 09:36

    Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini amekata rufaa kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu kuagiza kufufuliwa kesi zaidi ya 700 za ufisadi wa kifedha dhidi yake.

  • Mahakama ya Kodivaa yaanza kusikiliza kesi dhidi ya mke wa Gbagbo

    Mahakama ya Kodivaa yaanza kusikiliza kesi dhidi ya mke wa Gbagbo

    Jun 01, 2016 03:08

    Mahakama moja nchini Kodivaa imeanza kusikiliza kesi ya jinai za kivita inayomkabili Simone Gbagbo, mke wa Rais wa zamani wa nchi hiyo, Laurent Gbagbo.

  • Bahrain yasisitiza kuwanyonga wanaharakati 3 wa Kishia

    Bahrain yasisitiza kuwanyonga wanaharakati 3 wa Kishia

    Jun 01, 2016 02:32

    Mahakama ya Rufaa ya Bahrain imekataa kutengua hukumu ya kunyongwa wanaharakati watatu wa Kiislamu wa madhehebu ya Shia.

  • 5 wahukumiwa maisha jela Uganda kwa mashambulizi ya kigaidi Kampala

    5 wahukumiwa maisha jela Uganda kwa mashambulizi ya kigaidi Kampala

    May 28, 2016 03:21

    Mahakama Kuu ya Uganda imewahukumu kifungo cha miaka mitano jela, watu watano miongoni mwa wanane waliopatikana na hatia ya kuhusika katika mashambulizi pacha mjini Kampala, wakati wa fainali za Kombe la Dunia mwaka 2010.

  • Rais wa Afrika Kusini akata rufaa juu ya kesi za ufisadi dhidi yake

    Rais wa Afrika Kusini akata rufaa juu ya kesi za ufisadi dhidi yake

    May 24, 2016 11:50

    Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini ametangaza kuwa atakata rufaa kupinga kufufuliwa kesi za ufisadi wa kifedha dhidi yake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS