-
Facebook, You Tube zashtakiwa kwa kurusha mubashara mauaji ya Waislamu New Zealand
Mar 26, 2019 03:07Baraza la Waislamu nchini Ufaransa (CFCM) limeifungulia mashitaka mitandao ya kijamii ya Facebook na You Tube kwa kurusha hewani mubashara mauaji ya kutisha ya Waislamu nchini New Zealand.
-
Sheikh Zakzaky ashindwa kufika mahakamani kutokana na hali mbaya ya kiafya
Mar 26, 2019 03:04Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, Sheikh Ibrahim Zakzaky ameshindwa kufika mahakamani kutokana na kudorora hali yake ya afya.
-
Wanafunzi waliochora picha ya kumdhihaki Rais wa Burundi washitakiwa
Mar 21, 2019 11:32Wanafunzi watatu wa kike wamefunguliwa mashitaka ya kumdhihaki Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza, na huenda wakahukumiwa kifungo cha hadi miaka mitano jela.
-
Aliyekuwa msaidizi wa Papa Francis afungwa kwa kulawiti watoto
Mar 13, 2019 04:17Mahakama moja nchini Australia imemhukumu kifungo cha miaka sita jela, aliyekuwa Mkuu wa Hazina ya Makao Makuu ya Kanisa Katoliki Duniani Vatican, Kadinali George Pell.
-
Mahakama ya utawala wa Aal Khalifa nchini Bahrain yaidhinisha adhabu kali dhidi ya raia kadhaa
Mar 05, 2019 04:29Mahakama ya rufaa ya Bahrain imeidhinisha hukumu ya kifungo cha maisha jela na adhabu nyingine za vifungo vya muda mrefu kwa raia kadhaa wa nchi hiyo.
-
Kesi ya kupinga uteuzi wa Mwanasheria Mkuu Tanzania yaanza kusikilizwa
Feb 07, 2019 11:17Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam nchini Tanzania imeanza kusikiliza kesi ya kupinga uteuzi wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Dk Adelardus Kilangi uliofanywa na Rais John Magufuli tarehe Mosi Februari mwaka jana 2018.
-
Mahakama Nigeria yataka jopo lisikize kesi dhidi ya Jaji Mkuu aliyesimamishwa kazi
Jan 30, 2019 11:12Mahakama ya Rufaa nchini Nigeria hii leo imetoa uamuzi wa kutaka jopo la uchunguzi lisikilize kesi inayomuandama Jaji Mkuu wa nchi hiyo aliyesimamishwa kazi hivi karibuni.
-
EU, Amnesty zaikosoa Bahrain kwa kumfunga maisha jela Sheikh Salman
Jan 29, 2019 10:34Umoja wa Ulaya umekosoa vikali hatua ya Mahakama ya Juu ya Bahrain ya kuidhinisha kifungo cha maisha jela dhidi ya shakshia mashuhuri wa kidini na kisiasa nchini humo, Sheikh Ali Salman.
-
Mahakama ya DRC yathibitisha kuwa Tshisekedi ndiye mshindi halali wa urais
Jan 20, 2019 04:31Mahakama ya Katiba ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imemtangaza Felix Tshisekedi kuwa mshindi wa uchaguzi wa rais uliofanyika Disemba 30 mwaka uliomalizika.
-
Fayulu asema alipata 61% ya kura, kwenda mahakamani leo kupinga matokeo ya CENI
Jan 12, 2019 00:00Martin Fayulu, mgombea wa muungano wa upinzani wa Lamuka katika uchaguzi wa rais katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amesema kuwa yeye ndiye aliyeibuka mshindi katika uchaguzi huo kwa kupata asilimia 61 ya kura, huku akitazamiwa hii leo kwenda katika Mahakama ya Katiba kupinga matokeo yaliyotangazwa na Tume ya Uchaguzi yaliyompa ushindi mgombea mwingine wa upinzani.