Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mapigano

  • Kumalizika operesheni ya kijeshi Tripoli; Libya yaingia tena kwenye mgogoro

    Kumalizika operesheni ya kijeshi Tripoli; Libya yaingia tena kwenye mgogoro

    May 14, 2025 02:41

    Wizara ya Ulinzi ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya imetangaza kumalizika kwa mafanikio operesheni ya kijeshi huko Tripoli mji mkuu wa nchi hiyo.

  • RSF yaua na kujeruhi makumi ya raia wa Sudan Kordofan Kusini

    RSF yaua na kujeruhi makumi ya raia wa Sudan Kordofan Kusini

    Apr 03, 2025 02:32

    Kwa akali raia 12 wa Sudan wameuawa katika mashambulizi ya Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) katika Jimbo la Kordofan Kusini.

  • Jeshi la Sudan: Tumevunja mzingiro wa RSF Khartoum

    Jeshi la Sudan: Tumevunja mzingiro wa RSF Khartoum

    Jan 25, 2025 11:35

    Jeshi la Sudan limetangaza habari ya kufanikiwa kuvunja 'mzingiro' uliowekwa na Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) dhidi ya Kamandi Kuu ya jeshi hilo katikati mwa Khartoum, mji mkuu wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Mapigano mapya yaripotiwa katika maeneo kadhaa ya Sudan

    Mapigano mapya yaripotiwa katika maeneo kadhaa ya Sudan

    Jun 03, 2024 11:27

    Watu kadhaa wanahofiwa kuuawa na kujeruhiwa baada ya kuzuka mapigano mapya kati ya Jeshi la Sudan (SAF) na kundi la waasi wanaojulikana kama Kikosi cha Usaidizi wa Haraka (RSF) katika maeneo tofauti ya Sudan.

  • IDMC: Kuna ongezeko kubwa la ukimbizi wa ndani unaosababishwa na migogoro duniani

    IDMC: Kuna ongezeko kubwa la ukimbizi wa ndani unaosababishwa na migogoro duniani

    May 15, 2024 06:58

    Ripoti mpya ya Kituo cha Ufuatiliaji wa Ukimbizi wa Ndani (IDMC) inaonyesha kuwa migogoro na ghasia duniani zimesababisha ongezeko lisilo na kifani la idadi ya wakimbizi wa ndani kufikia mwisho wa 2023.

  • Watu 11 wauawa katika mapigano ya kikabila magharibi ya DRC

    Watu 11 wauawa katika mapigano ya kikabila magharibi ya DRC

    Feb 01, 2024 11:11

    Watu wasiopungua 11 wameuwa baada ya kuibuka mapigano makali ya kikabila katika mkoa wa Mai-Ndombe, magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Mapigano nchini Sudan yapanuka hadi Wad Madani, maelfu ya watu wahama makazi yao

    Mapigano nchini Sudan yapanuka hadi Wad Madani, maelfu ya watu wahama makazi yao

    Dec 17, 2023 11:21

    Shirika la habari la Reuters limeripoti kuwa Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) vinapigana na Jeshi la Sudan nje ya mji wa Wad Madani katika Jimbo la Al-Jazira (katikati mwa Sudan) na kwamba mapigano hayo yamelazimisha maelfu ya raia kukimbia makazi yao na kuelekea maeneo salama.

  • RSF yadai kwamba imeua wanajeshi 260 wa Sudan

    RSF yadai kwamba imeua wanajeshi 260 wa Sudan

    Aug 23, 2023 10:21

    Vikosi vya Usaidizi wa Haraka (RSF) vimedai kuwa vimewaua mamia ya askari wa vikosi vya Jeshi la Sudan, huku mapigano baina ya pande mbili hizo yakishtadi.

  • Ujumbe wa ECOWAS waondoka Niger bila kukutana na kiongozi wa mapinduzi

    Ujumbe wa ECOWAS waondoka Niger bila kukutana na kiongozi wa mapinduzi

    Aug 04, 2023 12:09

    Ujumbe wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS) umeondoka katika mji mkuu wa Niger, Niamey bila kukutana na kiongozi wa mapinduzi, Jenerali Abdourahmane Tchiani, huku rais aliyeondolewa madarakani, Mohamed Bazoum akitoa wito kwa jamii ya kimataifa kusaidia kurejesha utawala wa kikatiba.

  • Waliouawa katika mapigano ya Sudan wapindukia 3,000

    Waliouawa katika mapigano ya Sudan wapindukia 3,000

    Jun 18, 2023 07:33

    Wizara ya Afya ya Sudan imetangaza kuwa, idadi ya watu waliouawa katika mapigano yanayoendelea kushuhudiwa nchini humo ni zaidi ya elfu tatu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS