-
Kwa nini Marekani inafanya njama za kuidhibiti Venezuela?
Dec 02, 2025 07:15Rais Nicolas Maduro wa Venezuela amesisitiza kuwa, nchi yake itaendelea kulinda rasilimali zake kwa nguvu zote mbele ya tamaa ya kuchupa mipaka ya Marekani.
-
Mshindi wa Tuzo ya Nobel, Denis Mukwege: Makubaliano ya amani kati ya Kinshasa na M23 ni 'haramu'
Dec 02, 2025 06:23Mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Dkt. Denis Mukwege amelaani mchakato wa amani unaoendelea kati ya serikali ya Kinshasa na waasi wa M23 unaolenga kukomesha mapigano mashariki mwa DRC.
-
Araghchi: Ni Marekani ndiyo inayopaswa kurudi kwenye diplomasia kwa kuifanya Iran iwe na imani nayo
Dec 02, 2025 03:10Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Abbas Araghchi amesema, ni Marekani ndiyo inayopaswa kurudi kwenye diplomasia kwa kuifanya Iran iwe na imani nayo.
-
Sababu za Marekani kuitambua harakati ya Ikhwanul Muslimin kuwa ni tishio la kigaidi
Nov 30, 2025 02:33Rais Donald Trump wa Marekani ametia saini amri ya utendaji dhidi ya Ikhwanul Muslimin (Muslim Brotherhood), na kuyaweka baadhi ya matawi ya kundi hilo la Kiislamu katika orodha ya "mashirika ya kigeni ya kigaidi".
-
US yakiri kuwa Yemen ni tishio katika ulinzi wa anga baada ya F-16 kuvurumishiwa makombora
Nov 29, 2025 11:11Jeshi la Anga la Marekani limekiri kuwa ndege zake za kivita aina ya F-16 ziliandamwa na mashambulizi makali ya mitambo ya ulinzi wa anga ya Yemen wakati ndege hizo zilipokiuka anga ya nchi hiyo.
-
Kumbukumbu ya Uhalifu wa Magharibi - Wounded Knee Massacre; Mauaji ya Wahindi Wekundu huko South Dakota, 1890
Nov 24, 2025 03:19Mauaji makubwa ya Wounded Knee Massacre hapo 1890 huko South Dakota, Marekani, yalikuwa mojawapo ya ukatili wa umwagaji damu mkubwa zaidi dhidi ya Wahindi Wekundu katika historia ya Marekani, ambayo yalisababisha mauaji ya mamia ya watu wa jamii ya Lakota na kukomesha mapambano yao makubwa katika karne ya 19.
-
Sera za vikwazo dhidi ya Cuba: Mfano wa mbinu ya mabavu ya Washington katika kuamiliana na nchi nyingine
Nov 23, 2025 14:16Ripota Maalumu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ametangaza kuwa vikwazo vya Marekani vimeifanya hali ya kibinadamu nchini Cuba kuwa mbaya sana na ametaka kuondolewa haraka vikwazo hivyo.
-
Marekani yabatilisha viza ya waziri wa zamani wa Afrika Kusini aliyefanikisha kesi ya ICJ dhidi ya Israel
Nov 23, 2025 07:01Marekani imefuta viza ya waziri wa zamani wa Mahusiano ya Kimataifa wa Afrika Kusini Naledi Pandor mapema wiki hii, katika kile kinachoonekana kama hatua za hivi karibuni za Washington za kuiadhibu Pretoria kwa sababu kuuburuza utawala wa kizayuni wa Israel katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) kwa mauaji ya kimbari uliyofanya dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza.
-
Marekani na nchi tatu za Ulaya zimeuaje Mkataba wa Cairo?
Nov 23, 2025 02:30Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameandika kwenye akaunti yake ya X kwamba: ""Mkataba wa Cairo" umeangamizwa na Marekani na nchi tatu za Ulaya."
-
Harakati ya pamoja ya kupinga hatua ya Magharibi dhidi ya Iran katika Bodi ya Magavana ya IAEA
Nov 22, 2025 10:20Hivi sasa kumejitokeza harakati ya pamoja ya kupinga hatua ya Troika ya Ulaya na Marekani dhidi ya Iran katika Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA).