-
Iran yasuta 'diplomasia ya mabomu' ya Marekani
Dec 25, 2025 06:40Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi amekejeli na kukosoa vikali tafsiri ya Marekani ya 'diplomasia' katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, akisisitiza kuwa, uwazi na utayarifu kwa mazungumzo hauna mfungamano wowote na kuuripua kwa mabomu upande wa pili wakati wa majadiliano.
-
Kwa nini Marekani inashadidisha mazingira ya vita dhidi ya Venezuela?
Dec 25, 2025 02:36Marekani, kwa mara nyingine tena, imeimarisha uwepo wake kijeshi huko Caribbean.
-
'Futa kauli au jiuzulu': CAIR yamkemea Mkuu wa Intelijensia kwa kudai Uislamu ndiyo tishio kuu kwa US
Dec 24, 2025 06:17Jumuiya kubwa zaidi ya kutetea haki za kiraia ya Waislamu nchini Marekani ya Baraza la Mahusiano ya Kiislamu ya Marekani (Cair) (The Council on American Islamic Relations) imemtaka mkurugenzi wa intelijensia ya taifa ya nchi hiyo Tulsi Gabbard ajiuzulu au afute kauli yake ya kudai kwamba tishio kubwa kwa nchi hiyo ni "Sharia za Kiislamu" na ambazo amesema "zinatishia ustaarabu wa magharibi".
-
Mashinikizo ya Marekani kwa Pakistan kushiriki katika 'Kikosi cha Usalama cha Kimataifa' cha Gaza na kukataa Islamabad
Dec 24, 2025 02:38Licha ya mashinikizo ya Marekani kwa Pakistan ili kushiriki katika "Kikosi cha Usalama cha Kimataifa" cha Gaza, lakini Islamabad ilitangaza kwamba bado hakuna uamuzi uliochukuliwa nan chi hiyo wa kutuma wanajeshi katika Ukanda wa Gaza.
-
Venezuela imewezaje kuwa kinara wa ukuaji wa uchumi katika Amerika ya Latini?
Dec 22, 2025 02:48Venezuela, baada ya kuvuka kikwazo cha vikwazo vya kiuchumi, imejinyakulia kiwango cha juu zaidi cha ukuaji wa uchumi katika Amerika ya Kusini mwaka 2025.
-
Iran, Venezuela zalaani 'uharamia' wa Marekani Caribbean
Dec 21, 2025 11:13Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi na mwenzake wa Venezuela, Yvan Gil Pinto wamefanya mazungumzo kwa njia ya simu ambapo wamelaani uwepo wa jeshi la Marekani katika eneo la Caribbean, wakiishutumu Washington kwa kukiuka sheria za kimataifa, na kusisitiza dhamira yao ya kuimarisha ushirikiano wa pande mbili katika kupinga sera za upande mmoja.
-
Wanazuoni wa Yemen: Kutetea matukufu ya Kiislamu ni wajibu wa kidini
Dec 21, 2025 09:44Jumuiya ya Maulamaa wa Yemeni ilifanya mkutano mkubwa katika mji mkuu Sanaa siku ya Jumamosi, na kusisitiza jukumu la kidini la wasomi na maulamaa katika kutetea Qur’an na matukufu ya Kiislamu.
-
Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya ICC; hujuma ya dhahir shahir inayolenga sheria na taasisi za kimataifa
Dec 20, 2025 10:10Katika hatua ya kiupendeleo ya kuuunga mkono utawala wa Kizayuni wa Israel, Marekani imewawekea vikwazo majaji wawili wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai, ICC.
-
Kuipachika Venezuela lebo ya ugaidi; shutuma za kisiasa au kisingizio cha shambulio?
Dec 20, 2025 02:23Katika hatua yake ya hivi karibuni dhidi ya serikali ya Rais wa Venezuela Nicolas Maduro, Rais wa Marekani Donald Trump ameitangaza serikali hiyo kuwa ni ya kigaidi na ameamuru kuzuiwa meli zote za mafuta zinazoingia au kutoka nchini humo.
-
Katika kuitajirisha sekta ya silaha ya US, Qatar nayo yaomba kuuziwa ndege za F-35
Dec 19, 2025 03:25Vyombo vya habari vya Israel vimetangaza kuwa, Qatar imefanya mazungumzo na Marekani kuhusu kununua nchi hiyo ya Kiarabu ndege za kisasa za kivita za Marekani aina ya F-35.