-
Katibu Mkuu wa Harakati ya Nujaba: Kuanzia mwezi ujao, hatutambakisha hai mwanajeshi hata mmoja wa Marekani nchini Iraq
Sep 03, 2026 09:09Katibu Mkuu wa harakati ya al Nujaba ya Iraq amesema kwamba Kambi ya Muqawama imejitayarisha kikamilifu kwa ajili ya kuwafukuza wanajeshi wa kigeni nchini humo tarehe 30 mwezi huu wa Septemba, na kwamba baada ya tarehe hiyo, hatutamwacha hai hata mwanajeshi mmoja wa Marekani atakayesalia nchini Iraq.
-
Viongozi wa Jumuiya ya Shanghai walaani vikali vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran
Sep 02, 2026 02:51Wakuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO) wamelaani vikali vita vya kichokozi vya Marekani pamoja na utawala ghasibu wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kupitia azimio lao la pamoja, wakionya kwamba jinai na chokochoko hizo zinaweka amani na usalama wa kimataifa katika hatari kubwa mno.
-
IRGC yamuadhibu vikali mchokozi kwa kupiga kambi za Marekani Jordan baada ya kushambulia Kisiwa cha Larak
Aug 31, 2026 04:43Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran limetangaza kuwa Kikosi chake cha Anga kimeshambulia maeneo na kambi za kijeshi za Marekani huko Jordan, na kutoa jibu la haraka kwa shambulio la kigaidi la Marekani katika Kisiwa cha Larak nchini Iran jana usiku.
-
Mauzo ya Mafuta ya Iran kwa China yaimarika licha ya vita vya kiuchumi vya Marekani
Aug 30, 2026 03:35Takwimu mpya zinaonyesha kuwa mauzo ya mafuta ya petroli ya Iran kuelekea China yameendelea kuwa imara kwa kiasi kikubwa mwaka huu, licha ya Marekani kushadidisha vita vyake vya kiuchumi na kijeshi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu, huku Tehran ikithibitisha kuendelea kwa usambazaji wa mafuta ghafi kwa wateja wake wa kimataifa bila kusitishwa.
-
Waziri wa Fedha wa Ujerumani amwambia Trump: Komesha vita 'visivyo na uwajibikaji' dhidi ya Iran
Aug 29, 2026 10:14Waziri wa Fedha wa Ujerumani amemtaka Rais Donald Trump wa Marekani kukomesha vita "visivyo vya kuwajibika" dhidi ya Iran.
-
Kamanda wa Kikosi cha Ulinzi wa Anga cha Jeshi la Iran: Iran kupanua kwa mafanikio mifumo ya ulinzi
Aug 27, 2026 04:24Kamanda wa Kikosi cha Ulinzi wa Anga cha Jeshi la Iran amesema kuwa Iran inapiga hatua mbele kwa kutegemea kikamilifu uwezo wake wa ndani, ikipanua mifumo yake ya ulinzi wa anga na kuzalisha nakala za mifumo ile iliyofanya vyema wakati wa vita vya siku 40.
-
Ripoti mpya: Mashambulizi ya Iran yalisababisha uharibifu kwa vituo vya ujasusi vya US ambao "haujawahi kushuhudiwa"
Aug 26, 2026 11:16Mashambulizi ya makombora na ndege zisizo na rubani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yamesababisha "uharibifu ambao haujawahi kushuhudiwa" kwa vituo vya ujasusi vya Marekani na vifaa vyake vya upelelezi kote Mashariki ya Kati.
-
Maseneta wa Marekani wataka kusikilizwa hoja kuhusu mashinikizo yanayowasibu wanajeshi wao katika vita dhidi ya Iran
Aug 26, 2026 03:25Kundi la maseneta wa Marekani limetaka kufanyike kikao cha kusikiliza maoni bungeni kuhusu kuchoka na mashinikizo yanayowasumbua wanajeshi wa Marekani kutokana na vita dhidi ya Iran.
-
Pakistan yaripoti 'maendeleo makubwa' katika mazungumzo ya Tehran ili kupunguza mvutano kati ya Marekani na Iran
Aug 25, 2026 10:18Pakistan imeripoti "maendeleo makubwa" katika mazungumzo ya kidiplomasia ya ngazi ya juu yaliyofanyika Tehran, yenye lengo la kupunguza kasi ya vita vinavyoendelea kati ya Marekani na Iran na kuokoa Mkataba wa Maelewano wa Islamabad (MoU), unaosimamiwa na Pakistan.
-
Taasisi ya Brookings: Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran ni vya kimaonyesho tu
Aug 25, 2026 10:12Mjumbe mkuu wa taasisi ya wanafikra ya Brookings amezungumzia mpango wa Marekani wa eti kuzidisha mashinikizo ya kiuchumi dhidi ya Iran na kusema: Kwa mujibu wa matarajio, mpango huu si chochote ila kampeni ya kipropaganda yenye makelele mengi.