-
Yemen yakishambulia kwa kombora la Palestina kituo cha anga cha Nevatim cha jeshi la utawala wa Kizayuni
Apr 27, 2025 02:35Msemaji wa vikosi vya ulinzi vya Yemen ametangaza kuwa vikosi hivyo imekishambulia kwa kombora kituo cha jeshi la anga la utawala wa Kizayuni cha Navatim katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu zilizopachikwa jina bandia la Israel.
-
Wanachuo wampigisha magoti Trump, awarejeshea viza
Apr 27, 2025 02:32Utawala wa Trump umelazimika kuwarejeshea viza maelfu ya wanafunzi wa kigeni wanaosoma nchini Marekani ambao alikuwa amewafutia vibali vya kuishi nchini humo kutokana na kuunga mkono Palestina na kulaani jinai za Israel.
-
UK: Biashara na Ulaya ni muhimu zaidi kwetu kuliko Marekani
Apr 27, 2025 02:31Waziri wa Hazina wa Uingereza, Rachel Reeves amesemaa kuwa, biashara baina ya nchi yake na Umoja wa Ulaya ni muhimu zaidi kuliko uhusiano wa kiuchumi na Marekani.
-
Kukiri kufeli operesheni ya kijeshi ya Marekani nchini Yemen
Apr 26, 2025 02:39Wiki kadhaa zimepita tangu Marekani ilipoanzisha operesheni kubwa na tata za kijeshi dhidi ya Yemen, huku kukiwa na mashambulizi ya mara kwa mara na mengi ya anga katika maeneo mbalimbali ya nchi hiyo, lakini hivi sasa vyombo vya habari vya Marekani vimekiri kushindwa utawala wa Trump katika operesheni zake za kujeshi huko Yemen.
-
Trump adai yuko tayari kukutana na Kiongozi Muadhamu wa Iran
Apr 26, 2025 02:39Rais wa Marekani Donald Trump amesema yuko tayari kukutana na Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian au Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, amesema hayo katika mahojiano na TIME.
-
AP: Yemen imetungua droni 7 za US zenye thamani ya dola milioni 200
Apr 26, 2025 02:37Vikosi vya Yemen vimetungua ndege saba zisizo na rubani za Marekani aina ya Reaper katika kipindi cha chini ya wiki sita, na kuisababishia Washington hasara ya zaidi ya dola milioni 200.
-
Polisi wa US wavamia nyumba za wanaounga mkono Palestina huko Michigan
Apr 24, 2025 10:38Maafisa usalama wa serikali ya shirikisho ya Merekani wamefanya uvamizi ulioratibiwa kwenye makazi ya wanaharakati wanaounga mkono Palestina wanaohusishwa na Chuo Kikuu cha Michigan.
-
Kubadilika mtazamo wananchi wa Marekani kuhusu Israel, Palestina na Hamas
Apr 24, 2025 03:31Wakati vita vya Ghaza vinaendelea na utawala wa Kizayuni umeshadidisha mauaji ya wanawake na watoto wa Palestina, mtazamo na mwelekeo wa wananchi wa Marekani kuhusuu Israel, Palestina na Hamas nao unaendelea kubadilika. Haya yamebainika katika chunguzi mpya za maoni zilizofanywa nchini Marekani.
-
Indhari ya WHO kuhusu kushtadi migogoro ya kibinadamu kufuatia kusimamishwa misaada ya Marekani
Apr 22, 2025 02:33Afisa mmoja wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Jumapili Aprili 20 alitahadharisha kuwa kupungua misaada ya nje ya Marekani kunaweza kuzidisha ugumu na kutatiza pakubwa migogoro ya kibinadamu kote ulimwenguni.
-
Misafara ya askari, silaha za Marekani yaingia Ain al-Asad, Iraq ikitokea Syria
Apr 21, 2025 02:24Jeshi la Marekani limeripotiwa kutuma misafara mingi ya malori yaliyobeba wanajeshi, silaha na zana kivita, pamoja na suhula za kilojistiki kutoka ndani kabisa ya Syria hadi katika kambi kubwa ya anga ya Ain al-Asad katika jimbo la Anbar nchini Iraq, ambayo ina wanajeshi na wakufunzi wa Marekani.