Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Iran yalaani ukiukaji wa Marekani wa makubaliano ya amani, yahimiza UN kuingilia kati

    Iran yalaani ukiukaji wa Marekani wa makubaliano ya amani, yahimiza UN kuingilia kati

    May 29, 2026 03:18

    Iran imelaani vikali vitisho vya mara kwa mara vya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu na ukiukaji wa makubaliano ya kusitisha mapigano yaliyosimamisha vita haramu vya hivi karibun, ikiuhimiza Umoja wa Mataifa kuingilia kati.

  • CNN: Trump amezitishia au kuzishambulia nchi 15 akiwa madarakani

    CNN: Trump amezitishia au kuzishambulia nchi 15 akiwa madarakani

    May 29, 2026 03:05

    Ripoti ya televisheni ya CNN imeeleza kuwa Rais Donald Trump wa Marekani amezitishia, ameeleza wazi uwezekano wa kufanya mashambulizi au amezishambulia nchi 15 katika mihula yake miwili ya uongozi; yaani kwa mahesabu ya haraka amefanya hivyo kwa nchi moja kati ya kila nchi 13 duniani.

  • Washington Post: Israel imetengwa duniani kutokana na vita vya mara kwa mara vya Netanyahu

    Washington Post: Israel imetengwa duniani kutokana na vita vya mara kwa mara vya Netanyahu

    May 29, 2026 02:57

    Gazeti la Washington Post limeandika kuwa: Vita vya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza, Lebanon, Syria, Iran na Yemen vimeiweka Israel katika njia ya mmomonyoko wa kijeshi, kushindwa kimkakati na kutengwa kimataifa.

  • Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ahimiza kulinda 'neema kubwa' ya umoja wa kitaifa

    Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ahimiza kulinda 'neema kubwa' ya umoja wa kitaifa

    May 28, 2026 12:46

    Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Marekani na Israel, ambazo zimeshindwa katika uvamizi wao wa kijeshi dhidi ya Iran, zinapanga njama ya kupandikiza mzozo na fitina ndani ya Iran.

  • Mkuu wa ujasusi wa Trump ajiuzulu kwa mashinikizo ya White House kuhusu vita haramu dhidi ya Iran

    Mkuu wa ujasusi wa Trump ajiuzulu kwa mashinikizo ya White House kuhusu vita haramu dhidi ya Iran

    May 23, 2026 03:01

    Mkurugenzi wa Ujasusi wa Kitaifa (DNI) wa Rais wa Marekani, Donald Trump, Tulsi Gabbard, amejiuzulu kutokana na shinikizo kubwa la Ikulu ya White House baada ya kupinga vikali vita haramu na vya uchokozi vya Marekani dhidi ya Iran.

  • San Diego yaaga wahanga wa shambulizi dhidi ya Kituo cha Kiislamu katika mazishi ya heshima

    San Diego yaaga wahanga wa shambulizi dhidi ya Kituo cha Kiislamu katika mazishi ya heshima

    May 22, 2026 15:03

    Zaidi ya watu 2,000 walihudhuria mazishi yaliyofanyika jana Alhamisi ya wahanga watatu wa shambulio dhidi ya msikiti na Kituo cha Kiislamu huko San Diego, California, huku kukiwa na huzuni kubwa zilizoandamana na pongezi kwa kujitolea wahanga hao waliowalinda watoto zaidi ya 140 waliokuwa ndani ya shule ya kituo hicho.

  • Picha za satalaiti zaonyesha uharibifu mkubwa kwenye kambi za kijeshi za Israel kutokana na mashambulizi ya Iran

    Picha za satalaiti zaonyesha uharibifu mkubwa kwenye kambi za kijeshi za Israel kutokana na mashambulizi ya Iran

    May 22, 2026 14:53

    Picha mpya za satalaiti zilizochambuliwa zimefichua uharibifu na hasara kubwa iliyotokea katika vituo vingi vya kijeshi vya Israel kufuatia mashambulizi na operesheni za kujihami za Iran na harakati ya Lebanon Hizbullah na hivyo kuzusha maswali kuhusu ukubwa wa uharibifu ambao Tel Aviv inauficha mbele ya umma.

  • Iran: UNSC Iivunje ukimya kuhusu vitisho vya Marekani na uhalifu wa kivita

    Iran: UNSC Iivunje ukimya kuhusu vitisho vya Marekani na uhalifu wa kivita

    May 21, 2026 13:05

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amelitaka Baraza la Usalama livunje ukimya wake kuhusu vitisho vya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu na ukiukaji wa kimfumo wa sheria za kimataifa za kibinadamu uliofanyika wakati wa vita haramu vya hivi karibuni.

  • Watu watano wauawa katika shambulio dhidi ya msikiti na Kituo cha Kiislamu huko California

    Watu watano wauawa katika shambulio dhidi ya msikiti na Kituo cha Kiislamu huko California

    May 19, 2026 12:24

    Polisi wa San Diego huko California nchini Marekani wametangaza kwamba watu watano wameuawa katika shambulio lililolenga kituo cha Kiislamu cha mji huo, wakiwemo washambuliaji wawili.

  • Kwa Nini Ndoto ya Marekani ya Kuwa Nchi ya Fursa Imeyoyoma?

    Kwa Nini Ndoto ya Marekani ya Kuwa Nchi ya Fursa Imeyoyoma?

    May 19, 2026 09:35

    Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz amesema, kutokana na “hali ya kijamii” ya Marekani inayozidi kuwa mbaya, haitazami tena nchi hiyo kwa jicho la mahala pa kuwashauri watoto wake wakasome au kufanya kazi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS