Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • White House: Mazungumzo ya Vienna yamefikia kwenye hatua nyeti na hasasi

    White House: Mazungumzo ya Vienna yamefikia kwenye hatua nyeti na hasasi

    Feb 10, 2022 04:28

    Msemaji wa Ikulu ya rais wa Marekani, White House, sambamba na kuanza tena duru mpya ya mazungumzo ya Vienna kati ya Iran na nchi zinazounda kundi la 4+1 amesema, mazungumzo hayo yamefikia hatua nyeti na hasasi.

  • Amir- Abdollahian: Hakuna ubunifu wowote wa jadi na mkubwa uliowasilishwa na Marekani

    Amir- Abdollahian: Hakuna ubunifu wowote wa jadi na mkubwa uliowasilishwa na Marekani

    Feb 06, 2022 08:58

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa hakuna ubunifu wowote wa jadi na mkubwa uliowasilishwa na Marekani kwa ajili ya kuondoa vikwazo na kurejea katika mapatano ya JCPOA.

  • Wanaharakati wa haki za binadamu Marekani waandamana baada ya kuachiwa polisi aliyeua kijana mweusi

    Wanaharakati wa haki za binadamu Marekani waandamana baada ya kuachiwa polisi aliyeua kijana mweusi

    Feb 05, 2022 10:46

    Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu wamefanya maandamano nchini Marekani kupinga hatua ya kuachiwa huru afisa wa polisi aliyemuua kijana mweusi.

  • Kamanda wa IRGC: Iran imesimama kidete kukabiliana na Marekani na waitifaki wake

    Kamanda wa IRGC: Iran imesimama kidete kukabiliana na Marekani na waitifaki wake

    Feb 04, 2022 08:21

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema katika kipindi cha miaka 43 iliyopita, Iran imesimama kwa adhama katika kukabiliana na mashinikzo ya juu kabisa ya Marekani na waitifaki wake.

  • Marekani yaua watoto, wanawake katika operesheni ya kijeshi Syria

    Marekani yaua watoto, wanawake katika operesheni ya kijeshi Syria

    Feb 03, 2022 09:18

    Kwa akali raia 13 wakiwemo watoto saba na wanawake watatu wameuawa katika operesheni ya kijeshi ya Marekani dhidi ya wakazi wa mkoa wa Idlib, kaskazini magharibi mwa Syria.

  • Guterres apuuza mashinikizo ya US ya kutaka asusie Olimpiki China

    Guterres apuuza mashinikizo ya US ya kutaka asusie Olimpiki China

    Feb 03, 2022 09:12

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amepuuzilia mbali mwito wa Balozi wa Marekani katika umoja huo wa kumtaka asusie hafla ya ufunguzi wa Michezo ya Olimpiki ya msimu wa baridi kali nchini China.

  • Tufani kubwa yakata umeme wa makumi ya maelfu ya nyumba Marekani

    Tufani kubwa yakata umeme wa makumi ya maelfu ya nyumba Marekani

    Jan 31, 2022 00:35

    Kimbunga na mafuriko yaliyoripotiwa katika majimbo yasiyopungua matano nchini Marekani yamesitisha safari zaidi ya 6000 za ndege kutokana na upepo mkali, theluji na vimbunga vilivyoathiri ukanda wa pwani ya mashariki ya Marekani.

  • Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu; ushindi wa ngome ya uzalishaji katika vita vya kiuchumi vya adui

    Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu; ushindi wa ngome ya uzalishaji katika vita vya kiuchumi vya adui

    Jan 31, 2022 00:31

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, kusimama kidete sekta ya uzalishaji bidhaa za ndani mbele ya hujuma za kiuchumi na njama za adui za kujaribu kuizuia Iran isiuze mafuta na gesi yake, na pia kusimama imara mbele ya vita vya kuifungia Tehran vyanzo vya fedha za kigeni na kupanga njama za kuzuia mabadilishano ya kibiashara ya Iran na nchi nyingine, kwa hakika ni jihadi na ni miongoni mwa ibada kubwa kabisa.

  • Trump: Nitawasamehe waliovamia Kongresi ya Marekani nikishinda urais

    Trump: Nitawasamehe waliovamia Kongresi ya Marekani nikishinda urais

    Jan 30, 2022 04:27

    Aliyekuwa rais wa Marekani, Donald Trump amesema iwapo atagombea na kushinda urais katika uchaguzi wa mwaka 2024, atawasamehe na kuagiza kuachiwa huru watenda jinai waliohusika na shambulizi dhidi ya jengo la Kongresi mnamo tarehe 6 Januari mwaka jana, lililofanywa na wafuasi wake.

  • "CIA ilifahamu kuhusu njama za kumpindua Rais wa Venezuela"

    Jan 30, 2022 04:22

    Imebainika kuwa, maafisa wa ngazi za juu wa utawala wa Marekani wakiwemo maafisa waandamizi wa Shirika la Ujasusi la Marekani CIA, walifahamu kuhusu kuwepo kwa njama za kumpindua madarakani Rais Nicolas Maduro wa Venezuela.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS