Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Vita ya veto na kuongezeka mivutano kati ya kongresi na Rais wa Marekani

    Vita ya veto na kuongezeka mivutano kati ya kongresi na Rais wa Marekani

    Mar 17, 2019 04:13

    Kuongezeka mivutano kati ya kongresi ya Marekani na Rais wa nchi hiyo kuhusu kadhia mbalimbali za ndani na nje kumeibua vita ya veto nchini humo.

  • Hizbulllah: Njia pekee ya kuisambaratisha mipango ya Marekani ni muqawanma

    Hizbulllah: Njia pekee ya kuisambaratisha mipango ya Marekani ni muqawanma

    Mar 16, 2019 11:32

    Sheikh Ali Damush, mjumbe wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, njia pekee ya kusambaratisha mipango ya Marekani katika eneo la Mashariki ya Kati ni kuendeleza muqawama.

  • CAIR: Trump ndie chanzo cha hujuma za kigaidi misikitini New Zealand

    CAIR: Trump ndie chanzo cha hujuma za kigaidi misikitini New Zealand

    Mar 16, 2019 11:09

    Baraza la Mahusiano ya Kiislamu Marekani (CAIR) limesema sera za Rais Donald Trump zimechangia kuchochea hujuma za kigaidi zilizojiri katika misikiti miwili nchini New Zealand Ijumaa na kupelekea Waislamu 49 kuuawa.

  •  Pompeo: Marekani itawanyima viza majaji wa mahakama ya ICC

    Pompeo: Marekani itawanyima viza majaji wa mahakama ya ICC

    Mar 16, 2019 01:13

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema kuwa, nchi hiyo itawawekea marufuku ya viza ya kuingia Marekani maafisa wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai watakaotaka kuwasaili na kuwachunguza wanajeshi wa nchi hiyo wanaotuhumiwa kufanya jinai za kivita huko Afghanistan.

  • Marekani yaendeleza uhasama dhidi ya Iran, mara hii ni kwa kisingizio cha haki za binadamu

    Marekani yaendeleza uhasama dhidi ya Iran, mara hii ni kwa kisingizio cha haki za binadamu

    Mar 15, 2019 12:58

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imetoa ripoti yake ya kila mwaka kuhusu hali ya haki za binadamu katika nchi mbalimbali na kwa mara nyingine tena imedai kuwa, hali ya haki za binadamu nchini Iran imekuwa mbaya zaidi.

  • Palestina: Ripoti ya Marekani inadhihirisha uhasama wao kwa Wapalestina

    Palestina: Ripoti ya Marekani inadhihirisha uhasama wao kwa Wapalestina

    Mar 15, 2019 12:07

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Palestina imelaani vikali hatua ya Marekani ya kudondosha maneno "inayokaliwa kwa mabavu na Israel" kuashiria Miinuko ya Golan, na "maeneo ya Wapalestina yanayokaliwa kwa mabavu" katika ripoti yake mpya haki za binadamu ya kila mwaka.

  • Iran: Serikali ya Marekani ndiyo mkiukaji mkubwa kabisa wa haki za binadamu

    Iran: Serikali ya Marekani ndiyo mkiukaji mkubwa kabisa wa haki za binadamu

    Mar 15, 2019 03:50

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: Serikali ya Marekani ndiyo mkiukaji mkubwa kabisa wa haki za binadamu za wananchi wa Iran, kwani kwa kuwatwisha vikwazo vyake haramu vya nje ya mipaka na vya upande mmoja, Washington haijasita kuchukua hatua yoyote ya kukanyaga haki za raia wa Iran.

  • Iran: Marekani inatumia tuhuma bandia ili kupanua soko la silaha zake

    Iran: Marekani inatumia tuhuma bandia ili kupanua soko la silaha zake

    Mar 14, 2019 21:47

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema lengo la Marekani kuibua tuhuma zisizo na msingi na kueneza chuki dhidi ya Iran ni kupanua soko la silaha zake katika eneo la Asia Magharibi.

  • Cuba: Miamala ya Marekani dhidi ya Venezuela imetoka kwa Manazi

    Cuba: Miamala ya Marekani dhidi ya Venezuela imetoka kwa Manazi

    Mar 14, 2019 11:00

    Rais Miguel Díaz-Canel wa Cuba amekosoa vikali uingiliaji wa kivamizi wa Marekani nchini Venezuela na kusema kuwa, vitendo hivyo vimetoka kwa Manazi wa Ujerumani.

  • Trump apata pigo baada ya Seneti ya US kumtaka asitishe mauzo ya silaha kwa Saudia

    Trump apata pigo baada ya Seneti ya US kumtaka asitishe mauzo ya silaha kwa Saudia

    Mar 14, 2019 10:32

    Kwa mara nyingine tena, Seneti ya Marekani imekosoa vikali hatua ya serikali ya Rais Donald Trump ya kuendelea kuizuia silaha zenye thamani ya mabilioni ya dola Saudi Arabia, licha ya kufahamu fika kuwa silaha hizo zinatumiwa na watawala wa Riyadh kuwaua raia wa Yemen.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS