Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Kuendelea jinai za muungano vamizi unaoongozwa na Saudia dhidi ya Yemen katika kivuli cha uungaji mkono wa Marekani

    Kuendelea jinai za muungano vamizi unaoongozwa na Saudia dhidi ya Yemen katika kivuli cha uungaji mkono wa Marekani

    Dec 22, 2018 07:17

    Mohammed Abdulsalam msemaji wa harakati ya wananchi ya Ansarullah ya Yemen amelaani kufutwa kipengee katika azimio nambari 2451 la Umoja wa Mataifa kinachohusiana na kufanyika uchunguzi kuhusu wahusika wa jinai za kivita za muungano vamizi huko Yemen unaoongozwa na Saudi Arabia.

  • Shambulio la muungano wa kijeshi unaoongozwa na Marekani laua raia 30 nchini Syria

    Shambulio la muungano wa kijeshi unaoongozwa na Marekani laua raia 30 nchini Syria

    Dec 22, 2018 04:33

    Raia wasiopungua 30 wakiwemo watoto wanane wameuliwa katika shambulio lililofanywa na ndege za kivita za muungano wa kijeshi unaoongozwa na Marekani katika mkoa wa Deir ez-Zor mashariki mwa Syria.

  • Harakati ya Hizbullah: Marekani inaondoka Syria kutokana na kushindwa

    Harakati ya Hizbullah: Marekani inaondoka Syria kutokana na kushindwa

    Dec 21, 2018 23:27

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, Marekani inaondoka nchini Syria kutokana na kushindwa siasa zake katika Mashariki ya Kati na kutoweza kuuhami na kuulinda utawala haramu wa Israel.

  • Makasisi 700 wa Kanisa Katoliki Marekani watuhumiwa kulawiti watoto

    Makasisi 700 wa Kanisa Katoliki Marekani watuhumiwa kulawiti watoto

    Dec 20, 2018 11:30

    Mwanasheria Mkuu wa jimbo la Illinois nchini Marekani amewatuhumu makasisi 700 wa Kanisa Katoliki katika jimbo hilo kwamba wamewalawiti watoto, ikiwa ni idadi kubwa mno ikilinganishwa na ile iliyokuwa imetolewa na kanisa hilo huko nyuma.

  • Uamuzi wa Trump wa kuondoka askari wa Marekani nchini Syria

    Uamuzi wa Trump wa kuondoka askari wa Marekani nchini Syria

    Dec 20, 2018 07:06

    Baada ya kuanza mgogoro wa Syria mwaka 2011, Marekani kama kinara wa nchi za Magharibi ikishirikiana na Italia na Ufaransa katika jitihada za kutimiza malengo ya Magharibi na baadhi ya nchi za Kiarabu ya kutaka kuangamiza kambi ya mapambano Mashariki ya Kati na kuiondoa madarakani serikali halali ya Syria, ilijikita zaidi katika suala la kuyasaidia makundi ya kigaidi na waasi wanaobeba silaha kwa ajili ya eti kuiondoa madarakani serikali ya Rais Bashar Assad.

  • Maseneta wa Marekani waitaka serikali yao itambue hujuma dhidi ya Waislamu Warohingya kuwa ni mauaji ya kimbari

    Maseneta wa Marekani waitaka serikali yao itambue hujuma dhidi ya Waislamu Warohingya kuwa ni mauaji ya kimbari

    Dec 20, 2018 04:30

    Kundi la Maseneta nchini Marekani limemtaka Mike Pompeo, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa nchi hiyo atambue hujuma zinazofanywa nchini Myanmar dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya kuwa ni mauaji ya kimbari.

  • Indhari kali ya Putin kwa Washington; kuimarisha nguvu ya nyuklia ya Russia

    Indhari kali ya Putin kwa Washington; kuimarisha nguvu ya nyuklia ya Russia

    Dec 19, 2018 07:58

    Rais Donald Trump wa Marekani tarehe 20 Oktoba mwaka huu alitangaza kuwa nchi yake itajitoa katika makubaliano ya silaha za nyuklia za masafa ya kati (INF). Kisingizio kikuu cha Marekani cha kutaka kujitoa kwenye mkataba huo wa kiistratijia na wenye umuhimu mkubwa ni madai kwamba Russia imekiuka vipengee vya makubaliano hayo.

  • Kukiri Marekani kushindwa siasa zake za kuipindua serikali ya Syria

    Kukiri Marekani kushindwa siasa zake za kuipindua serikali ya Syria

    Dec 18, 2018 23:18

    Mgogoro wa Syria na vita vya ndani vya nchi hiyo vilivyoanza mwaka 2011 vimeitumbukiza nchi hiyo ya Kiarabu katika mgogoro mkubwa. Suala hilo linatumiwa vibaya pia na madola ya kibeberu ya Magharibi yakiongozwa na Marekani kwa kushirikiana na vibaraka wake wa nchi za Kiarabu kama vile Saudi Arabia kumalizia hasira zao kwa taifa hilo.

  • Comey: Trump ni kidhabi, ameichafua taswira ya FBI

    Comey: Trump ni kidhabi, ameichafua taswira ya FBI

    Dec 18, 2018 12:02

    Mkuu wa zamani wa Polisi ya Upelelezi ya Marekani FBI amesema Rais Donald Trump wa nchi amekubuhu kwa urongo na tabia yake hiyo imechafua taswira na hadhi ya FBI.

  • Qassemi: Uhusiano mzuri wa Iran na Iraq unaendelea

    Qassemi: Uhusiano mzuri wa Iran na Iraq unaendelea

    Dec 17, 2018 10:23

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, licha ya kuweko njama zisizo na natija za Marekani, uhusiano wa Tehran na Baghdad upo katika kiwango kizuri.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS