Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Undumakuwili wa Marekani kuhusu mapambano dhidi ya ugaidi kwa mtazamo wa Zarif

    Undumakuwili wa Marekani kuhusu mapambano dhidi ya ugaidi kwa mtazamo wa Zarif

    Nov 10, 2018 07:50

    Baada ya mashambulizi ya Septemba 11 mwaka 2001 katika miji ya Washington na New York huko Marekani, Rais wa wakati huo wa nchi hiyo, George W. Bush aliwanyooshea kidole cha tuhuma Waislamu na kuiarifisha Marekani kuwa ni mbeba bendera ya kupambana na ugaidi.

  • Kharrazi: Wananchi wa Iran wamesimama kidete dhidi ya mashinikizo ya Marekani

    Kharrazi: Wananchi wa Iran wamesimama kidete dhidi ya mashinikizo ya Marekani

    Nov 09, 2018 23:06

    Mkuu wa Baraza la Stratejia za Uhusiano wa Nje za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, licha ya kuweko matatizo hapa nchini yanayotokana na vikwazo vya Marekani, lakini wananchi wa Iran wako pamoja na wamesimama kidete kwa ajili ya kukabiliana na mashinikizo ya Washington.

  • Kazem Seddiqi: Nguvu ya Marekani duniani inaelekea kusambaratika

    Kazem Seddiqi: Nguvu ya Marekani duniani inaelekea kusambaratika

    Nov 09, 2018 10:45

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, nguvu ya Marekani duniani imo katika hali ya kupomoroka huku chuki za wananchi wa mataifa mbalimbali ulimwenguni ikiwa katika hali ya kuongezeka.

  • Zarif: Marekani ishtakiwe kwa jinai zake dhidi ya binadamu

    Zarif: Marekani ishtakiwe kwa jinai zake dhidi ya binadamu

    Nov 09, 2018 04:25

    Waziri wa Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika radiamali yake kwa vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya watu wa Iran ameandika katika Twitter kuwa: "Marekani inapaswa kushtakiwa na kuwajibishwa kutokana na jinai zake dhidi ya binadamu".

  • Kufurahishwa Pompeo na vikwazo vipya na kusahau kwamba Iran ni taifa linalojitawala na kujitegemea

    Kufurahishwa Pompeo na vikwazo vipya na kusahau kwamba Iran ni taifa linalojitawala na kujitegemea

    Nov 09, 2018 04:14

    Siku tatu baada ya kuanza kutekelezwa awamu ya pili ya vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran, Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo Mike Pompeo amedai kwamba, lengo la vikwazo hivyo si kufanya mazungumzo na Iran ila ni kuifanya ibadilishe mwenendo wake katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Louis Farrakhan, kiongozi wa harakati ya Nation of Islam ya Marekani amuonya Trump

    Louis Farrakhan, kiongozi wa harakati ya Nation of Islam ya Marekani amuonya Trump

    Nov 08, 2018 11:12

    Louis Farrakhan, kiongozi wa harakati ya Kiislamu ya Nation of Islam ya nchini Marekani amemtahadharisha vikali rais wa nchi hiyo Donald Trump kwamba asithubutu kuanzisha vita katika eneo la Mashariki ya Kati kwa kushinikizwa na utawala haramu wa Israel, akisisitiza kuwa matokeo ya vita hivyo yatakuwa mabaya mno.

  • Watu 13 wauawa katika shambulizi jingine la ufyatuaji risasi California Marekani

    Watu 13 wauawa katika shambulizi jingine la ufyatuaji risasi California Marekani

    Nov 08, 2018 11:02

    Watu 13 wamethibitishwa kuuawa katika shambulizi jingine la ufyatuaji risasi katika mji wa Thousand Oaks kwenye jimbo la California nchini Marekani.

  • Pelosi: Kufukuzwa kwa Jeff Sessions kutazusha mgogoro wa kikatiba Marekani

    Pelosi: Kufukuzwa kwa Jeff Sessions kutazusha mgogoro wa kikatiba Marekani

    Nov 08, 2018 00:53

    Kiongozi wa wabunge wa chama cha Democratic katika Kongresi ya Marekani amesema kuwa kufukuzwa kwa Mwanasheria Mkuu wa Marekani, Jeff Sessions ni katika jitihada za Rais Donald Trump za kutaka kudhoofisha na hatimaye kukomesha uchunguzi wa kuingilia Russia uchaguzi uliomfikisha madarakani Trump mwaka 2016.

  • Matokeo ya uchaguzi wa Kongresi ni ishara ya mgawanyiko mkubwa Marekani

    Matokeo ya uchaguzi wa Kongresi ni ishara ya mgawanyiko mkubwa Marekani

    Nov 07, 2018 13:04

    Mkuu wa Baraza la Uhusiano wa Kigeni Marekani amesema matokeo ya uchaguzi wa katikati ya muhula nchini Marekani yameonyesha kuwepo mgawanyiko mkubwa na wa kina katika jamii ya Marekani.

  • Baada ya kususiwa na China, sasa Marekani yalazimika kuipigia magoti Iran

    Baada ya kususiwa na China, sasa Marekani yalazimika kuipigia magoti Iran

    Nov 07, 2018 13:01

    Shirika la habari la FARS limeripoti kuwa, baada ya kupamba moto vita vya biashara baina ya China na Marekani, na hivyo China kuamua kuiadhibu Marekani kwa kususia kununua bidhaa zake za maharage ya soya, wazalishaji wa bidhaa hiyo nchini Marekani wamelazimika kukimbilia Iran ili waweze kubakia katika soko la dunia la bidhaa hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS