-
Uchaguzi wa Marekani, matokeo na taathira zake
Nov 07, 2018 12:49Hatimaye baada ya miaka miwili ya Warepublican kuhodhi mihimili yote ya nguvu za madaraka nchini Marekani, moja ya mabaraza mawili yanayounda Kongresi ya nchi hiyo limeingia mikononi mwa chama cha upinzani cha Democrat.
-
Ujumbe wa Zarif; vikwazo na kufedheheka Marekani
Nov 07, 2018 04:46Akizungumza jana ikiwa ni siku moja baada ya kuanza kutekelezwa duru ya pili ya vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amewahutubu viongozi wa Washington kwa kusema, serikali ya Marekani ambayo imeshindwa hata kuwathibitishia wananchi wake kwamba, sera zake ni kwa munufaa ya wananchi inasubiriwa na hatima mbaya katika siku za usoni.
-
"Orodha ya vikwazo vipya dhidi ya Iran vinaonesha kukanganyikiwa Marekani"
Nov 06, 2018 04:36Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema miongoni mwa majina yaliyoko kwenye orodha ya vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Tehran ni benki iliyofungwa miaka sita iliyopita na meli ya mafuta ya Iran iliyozama katika bahari ya China karibu mwaka mmoja uliopita.
-
Bahram Qassemi: Mchakato wa kuweko njia ya mabadilishano ya kifedha ya Iran na EU unaendelea vizuri
Nov 05, 2018 10:45Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, mchakato wa kuanzisha njia na kanali maaluumu ya mabadilishano ya kifedha kati ya Iran na Umoja wa Ulaya unaendelea vizuri.
-
Donald Trump; rais mbaguzi zaidi katika historia ya Marekani
Nov 05, 2018 04:48Mwananadharia na mhadhiri mashuhuri wa taaluma ya siasa katika Chuo Kikuu cha Stanford nchini Marekani amesema kuwa Doland Trump, ndiye rais mbaguzi zaidi wa rangi katika historia ya nchi hiyo.
-
Mwito wa Ulaya wa kuweko muungano wa kimataifa wa kulinda biashara huru
Nov 05, 2018 04:20Peter Altmaier, waziri wa uchumi wa Ujerumani amehimiza kuundwa muungano wa kimataifa wa kulinda biashara huru kama njia ya kukabiliana na siasa za rais wa Marekani, Donald Trump, za kuzibana nchi nyingine duniani.
-
Ujerumani yakosoa uamuzi wa Marekani wa kujitoa katika makubaliano ya INF
Nov 04, 2018 12:14Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani amekosoa uamuzi wa Marekani wa kujitoa katika Makubaliano ya Silaha za Nyuklia za Masafa ya Kati (INF) na kuyataja makubaliano hayo kuwa miongoni mwa mikataba muhimu sana ya kudhibiti silaha za nyuklia.
-
Larijani: Trump ni mdogo sana, hawezi kuipigisha magoti Iran
Nov 04, 2018 04:40Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema Rais Donald Trump wa Marekani ni 'mdogo sana' kuweza kufanikiwa kulipigisha magoti taifa la Iran.
-
Zarif: Dunia yote inapinga sera hasi za Marekani dhidi ya Iran
Nov 04, 2018 04:31Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema sera hasi na maamuzi yanayokiuka sheria za kimataifa ya Marekani yanakabiliwa na upinzani mkubwa katika kila kona ya dunia, huku Washington ikijiandaa kuanza kutekeleza vikwazo vipya dhidi ya Tehran.
-
Ndege za kivita za Marekani zaua raia wengine 15 Syria
Nov 04, 2018 04:22Kwa mara nyingine tena ndege za muungano wa kijeshi wa Marekani zimetekeleza mashambulizi ya anga dhidi ya wakazi wa mkoa wa Dayr al-Zawr, mashariki mwa Syria na kuua raia 15.