-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Makubaliano ya JCPOA yataendelea kutekelezwa bila ya Marekani
Aug 20, 2018 03:18Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Marekani imekuwa mraibu wa uwekaji vikwazo na kusisitiza kwamba makubaliano ya nyuklia ya JCPOA yataendelea kutekelezwa hata bila ya kushiriki Marekani.
-
Zaidi ya watu elfu 71 walikufa mwaka jana nchini Marekani kutokana na matumizi ya dawa za kulevya
Aug 19, 2018 23:50Vifo vinavyotokana na matumizi ya dawa za kulevya nchini Marekani, vimefikia kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa ambapo mwaka jana 2017 watu 71,568 walifariki dunia kutokana na janga hilo.
-
Zarif: Marekani haiwezi kuiweka tena Iran chini ya udhibiti wake
Aug 19, 2018 23:26Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Marekani hivi sasa inafanya njama kubwa za kuiwekwa Iran chini ya udhibiti wake lakini kamwe haitofanikiwa.
-
HRW yasisitiza kuwa Marekani na Uingereza ni washirika wa jinai za Saudia dhidi ya raia wa Yemen
Aug 19, 2018 03:08Muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia umetekekeza kiwango kikubwa sana cha jinai za kivita tokea uanzishe hujuma dhidi ya Yemen mwezi Machi mwaka 2015. Jinai hizo zimetekelezwa kwa msaada mkubwa wa kisilaha, kijeshi na kijasusi kutoka kwa Marekani na Uingereza.
-
Erdogan: Marekani imeanzisha jaribio la mapinduzi ya kiuchumi dhidi ya Uturuki
Aug 19, 2018 02:42Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema nchi yake haitasalimu amri mbele ya vikwazo ambavyo Marekani imeiwekea nchi yake kutokana na kushikiliwa mhubiri Mkristo wa Kimarekani. Erdogan ameituhumu Marekani kuwa inatekeleza jaribio la mapinduzi ya kiuchumi dhidi ya nchi yake.
-
Kukaririwa tuhuma zisizo na msingi za Marekani dhidi ya Iran
Aug 19, 2018 00:01Katika kipindi chote cha miaka 40 ya kuasisiwa mfumo wa Jamhuriya Kiislamu nchini Iran, Marekani daima imekuwa ikifuatilia na kutoa tuhuma maalumu na zisizo na msingi dhidi ya taifa la Iran.
-
Ali Asgari: Vitisho vya maadui dhidi ya Iran vimejikita katika sekta vyombo vya habari
Aug 18, 2018 23:39Mkuu wa Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, vitisho vya sasa vya maadui wakiongozwa na Marekani dhidi ya Iran si vya kijeshi bali vimejikita katika sekta ya vyombo vya habari.
-
Jahangiri: Iran katu haitagonga mwamba
Aug 18, 2018 23:08Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran amesisitiza kuwa, Iran katu haitagonga mwamba na kuongeza kuwa: "Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ina uwezo mkubwa na usio na kifani kwa mtazamo wa mali asili, nguvu kazi na uongozi wenye busara katika kukabiliana na vikwazo."
-
UN yatoa mapendekezo ya kuboresha hali ya Wapalestina
Aug 18, 2018 10:00Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa mapendekezo kadhaa ya kuwasaidia watu wa Palestina katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na Israel.
-
Mgogoro wa Marekani na Uturuki waendelea
Aug 17, 2018 23:46Katika kuendelea mzozo kati ya Washington na Ankara, Rais Donald Trump wa Marekani amemtaja, Andrew Brunson, padri wa Kimarekani anayeshikiliwa nchini Uturuki kwa tuhuma za ujasusi, kuwa ni mateka.