Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Trump awaonya waitifaki wa Marekani watakaounga mkono kampeni ya Morocco ya Kombe la Dunia

    Trump awaonya waitifaki wa Marekani watakaounga mkono kampeni ya Morocco ya Kombe la Dunia

    Apr 27, 2018 08:54

    Rais Donald Trump wa Marekani amezionya  nchi waitifaki ambazo zitaunga mkono kampeni ya Morocco ya kuwa mwenyeji wa Kombe la Soka Duniani mwaka 2026.

  • Azma ya kimataifa kwa ajili ya kulinda mapatano ya JCPOA

    Azma ya kimataifa kwa ajili ya kulinda mapatano ya JCPOA

    Apr 26, 2018 08:41

    Huku tarehe 12 Mei ikiwa inakaribia, ambayo ni tarehe ya mwisho iliyoainishwa na Rais Donald Trump wa Marekani kwa ajili ya kufanyiwa marekebisho makubaliano ya nyuklia kati ya Iran na nchi sita kubwa za dunia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA, radiamali na harakati za serikali na viongozi wa kundi la 5+1 kwa ajili ya kulinda mapatano hayo zimeongezeka.

  • Trump aipigia magoti Iran, aiomba isianzishe tena mradi wake wa nyuklia

    Trump aipigia magoti Iran, aiomba isianzishe tena mradi wake wa nyuklia

    Apr 25, 2018 03:19

    Rais Donald Trump wa Marekani ameiomba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran isianzishe upya mradi wake wa nyuklia, muda mfupi baada ya Rais Hassan Rouhani wa Iran kuionya Washington dhidi ya kukiuka makubaliano ya nyuklia ya Vienna ya mwaka 2015.

  • Rwanda yafunga radio ya Kikristo ya Marekani kwa kuchochea chuki

    Rwanda yafunga radio ya Kikristo ya Marekani kwa kuchochea chuki

    Apr 25, 2018 03:13

    Rwanda imeipokonya leseni kituo kimoja cha radio cha Kikristo kinachomilikiwa na Marekani, kwa kueneza chuki.

  • Zarif: Iran itafuata nyayo iwapo US itajiondoa kwenye makubaliano ya nyuklia

    Zarif: Iran itafuata nyayo iwapo US itajiondoa kwenye makubaliano ya nyuklia

    Apr 25, 2018 03:04

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesema kuna uwezekano mkubwa Iran itajiondoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, iwapo Marekani itaamua kujivua kwenye mapatano hayo ya kimataifa ya mwaka 2015.

  • Marekani yapanua uwepo wake wa kijeshi barani Afrika

    Marekani yapanua uwepo wake wa kijeshi barani Afrika

    Apr 25, 2018 01:08

    Marekani imetangaza kuwa inajenga kituo cha ndege zisizo na rubani (drone) za kijeshi nchini Niger kwa shabaha eti ya kukabiliana na makundi ya kigaidi.

  • Shamkhani: Marekani na Ulaya zikivuka mstari mwekundu wa Iran zitagonga mwamba

    Shamkhani: Marekani na Ulaya zikivuka mstari mwekundu wa Iran zitagonga mwamba

    Apr 24, 2018 22:02

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa nchini Iran amesema kuwa, iwapo Ulaya itafanya makosa ya kistratijia na kusalimu amri mbele ya Marekani na kuvuka mistari mnyekundu ya Iran kwa shabaha ya kutaka kumridhisha Donald Trump, hapana shaka kuwa itakula mweleka na kushindwa.

  • Siasa za Trump zaendelea kuchochea ukati dhidi ya Waislamu Marekani

    Siasa za Trump zaendelea kuchochea ukati dhidi ya Waislamu Marekani

    Apr 24, 2018 22:02

    Uchunguzi uliofanyika hivi karibuni umeonesha kuwa, kuongezeka kwa ukatili na jinai zinazotokana na chuki dhidi ya Waislamu nchini Marekani kuna mfungamano na siasa za Rais wa sasa wa nchi hiyo, Donald Trump.

  • Ripoti: Wahajiri wa Kiafrika walioko US wamesoma kuliko Wamarekani wenyewe

    Ripoti: Wahajiri wa Kiafrika walioko US wamesoma kuliko Wamarekani wenyewe

    Apr 24, 2018 22:01

    Utafiti uliofanywa na Kituo cha Utafiti cha Pew umeonyesha kuwa, kuna mwanya mkubwa wa kiwango cha elimu kati ya wahajiri wa Kiafrika wanaoishi Marekani na raia wa asili wa nchi hiyo.

  • Rais Rouhani aonya kuhusu taathira hasi iwapo JCPOA itakiukwa

    Rais Rouhani aonya kuhusu taathira hasi iwapo JCPOA itakiukwa

    Apr 24, 2018 12:04

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameionya Marekani dhidi ya kukiuka makubaliano ya nyuklia ya Vienna na kusisitiza kuwa, endapo Washington itajiondoa kwenye mapatano hayo ya kimataifa kama inavyotishia, basi hatua hiyo itakuwa na matokeo mabaya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS