-
Trump awaonya waitifaki wa Marekani watakaounga mkono kampeni ya Morocco ya Kombe la Dunia
Apr 27, 2018 08:54Rais Donald Trump wa Marekani amezionya nchi waitifaki ambazo zitaunga mkono kampeni ya Morocco ya kuwa mwenyeji wa Kombe la Soka Duniani mwaka 2026.
-
Azma ya kimataifa kwa ajili ya kulinda mapatano ya JCPOA
Apr 26, 2018 08:41Huku tarehe 12 Mei ikiwa inakaribia, ambayo ni tarehe ya mwisho iliyoainishwa na Rais Donald Trump wa Marekani kwa ajili ya kufanyiwa marekebisho makubaliano ya nyuklia kati ya Iran na nchi sita kubwa za dunia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA, radiamali na harakati za serikali na viongozi wa kundi la 5+1 kwa ajili ya kulinda mapatano hayo zimeongezeka.
-
Trump aipigia magoti Iran, aiomba isianzishe tena mradi wake wa nyuklia
Apr 25, 2018 03:19Rais Donald Trump wa Marekani ameiomba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran isianzishe upya mradi wake wa nyuklia, muda mfupi baada ya Rais Hassan Rouhani wa Iran kuionya Washington dhidi ya kukiuka makubaliano ya nyuklia ya Vienna ya mwaka 2015.
-
Rwanda yafunga radio ya Kikristo ya Marekani kwa kuchochea chuki
Apr 25, 2018 03:13Rwanda imeipokonya leseni kituo kimoja cha radio cha Kikristo kinachomilikiwa na Marekani, kwa kueneza chuki.
-
Zarif: Iran itafuata nyayo iwapo US itajiondoa kwenye makubaliano ya nyuklia
Apr 25, 2018 03:04Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesema kuna uwezekano mkubwa Iran itajiondoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, iwapo Marekani itaamua kujivua kwenye mapatano hayo ya kimataifa ya mwaka 2015.
-
Marekani yapanua uwepo wake wa kijeshi barani Afrika
Apr 25, 2018 01:08Marekani imetangaza kuwa inajenga kituo cha ndege zisizo na rubani (drone) za kijeshi nchini Niger kwa shabaha eti ya kukabiliana na makundi ya kigaidi.
-
Shamkhani: Marekani na Ulaya zikivuka mstari mwekundu wa Iran zitagonga mwamba
Apr 24, 2018 22:02Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa nchini Iran amesema kuwa, iwapo Ulaya itafanya makosa ya kistratijia na kusalimu amri mbele ya Marekani na kuvuka mistari mnyekundu ya Iran kwa shabaha ya kutaka kumridhisha Donald Trump, hapana shaka kuwa itakula mweleka na kushindwa.
-
Siasa za Trump zaendelea kuchochea ukati dhidi ya Waislamu Marekani
Apr 24, 2018 22:02Uchunguzi uliofanyika hivi karibuni umeonesha kuwa, kuongezeka kwa ukatili na jinai zinazotokana na chuki dhidi ya Waislamu nchini Marekani kuna mfungamano na siasa za Rais wa sasa wa nchi hiyo, Donald Trump.
-
Ripoti: Wahajiri wa Kiafrika walioko US wamesoma kuliko Wamarekani wenyewe
Apr 24, 2018 22:01Utafiti uliofanywa na Kituo cha Utafiti cha Pew umeonyesha kuwa, kuna mwanya mkubwa wa kiwango cha elimu kati ya wahajiri wa Kiafrika wanaoishi Marekani na raia wa asili wa nchi hiyo.
-
Rais Rouhani aonya kuhusu taathira hasi iwapo JCPOA itakiukwa
Apr 24, 2018 12:04Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameionya Marekani dhidi ya kukiuka makubaliano ya nyuklia ya Vienna na kusisitiza kuwa, endapo Washington itajiondoa kwenye mapatano hayo ya kimataifa kama inavyotishia, basi hatua hiyo itakuwa na matokeo mabaya.