-
Matumaini ya kuishi yamepungua nchini Marekani
Feb 12, 2018 01:05Imeelezwa kuwa, matumaini ya kuishi nchini Marekani yameendelea kupungua kwa mwaka wa pili mtawalia na kwamba, utafiti unaonyesha kuwa, matumizi ya madawa ya kulevya, unywaji pombe na kuongezeka kiwango cha matukio ya kujiua ni sababu kuu zilizochangia kupungua matumaini ya kuishi miongoni mwa raia wa nchi hiyo ya Kimagharibi.
-
Khatibu: Marekani imekuwa ikipata vipigo kutoka Iran kwa miaka mingi
Feb 09, 2018 10:45Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya mjini Tehran ameashiria njama za Marekani kwa lengo la kuipa pigo Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusema, Marekani na waitifaki wake katika miaka ya nyuma wamepata vipigo vingi kutoka Iran.
-
Russia: Mashambulio ya Marekani Syria ni jinai za kivita
Feb 09, 2018 03:31Mwakilishi wa kudumu wa Russia katika Umoja wa Mataifa ameyataja mashambulio ya anga ya Marekani katika mkoa wa Deir al Zor mashariki mwa Syria kuwa hayakubaliki na kwamba ni jinai za kivita.
-
Kuelekezewa kidole cha shutuma Marekani za kuwasha moto wa vita Afghanistan
Feb 08, 2018 07:34Hamid Karzai, rais wa zamani wa Afghanistan ameishutumu Marekani kuwa inakoleza moto wa vita ndani ya nchi hiyo kwa ajili ya manufaa na maslahi yake.
-
Wademocrat waliotuhumiwa na Trump kuwa ni wahaini wachukizwa na matamshi hayo
Feb 06, 2018 23:04Viongozi wa chama cha Democrat nchini Marekani, wamekosoa matamshi ya Rais Donald Trump aliyewataja kuwa ni wahaini na kusema kuwa, rais huyo anafuata mienendo ya udikteta.
-
Juhudi za Marekani za kuvuruga usalama wa Syria
Feb 06, 2018 04:30Mwandishi na mtaalamu mmoja wa masuala ya kisasa wa nchini Marekani amesema kuwa nchi hiyo inafanya juhudi kubwa za kuuhadaa ulimwengu kuhusiana na suala la Syria.
-
China yapinga stratijia mpya ya Marekani ya silaha za nyuklia
Feb 05, 2018 23:15Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya China amesema nchi yake inapinga stratijia ya mpya ya Marekani ya silaha za nyuklia iliyotangazwa Ijumaa
-
Sudan Kusini yamuita nyumbani balozi wake kutoka Marekani
Feb 05, 2018 01:07Sudan Kusini imemuita nyumbani balozi wake wa Marekani, huku mzozo kati ya Washington na Juba kuhusu kuwekewa vikwazo vya silaha nchi hiyo changa zaidi barani Afrika ukipamba moto.
-
Nigeria inaendelea kumzuilia Sheikh Zakzaky kwa amri ya Marekani
Feb 04, 2018 13:06Mwanaharakati wa kisiasa nchini Nigeria amekosoa vikali hatua ya serikali ya Abuja ya kukataa kumuachia huru mwanachuoni mashuhuri wa Kiislamu, Sheikh Ibrahim Zakzaky licha ya agizo la mahakama, na kusisitiza kuwa msomi huyo anaendelea kuzuiliwa kwa amri ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Mienendo ya ukatili wa polisi wa uhamiaji wa Marekani katika jimbo la California
Feb 04, 2018 10:06Polisi ya uhajiri katika jimbo la California, nchini Marekani wameshadidisha mienendo ya ukatili dhidi ya wahajiri.