Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Matumaini ya kuishi yamepungua nchini Marekani

    Matumaini ya kuishi yamepungua nchini Marekani

    Feb 12, 2018 01:05

    Imeelezwa kuwa, matumaini ya kuishi nchini Marekani yameendelea kupungua kwa mwaka wa pili mtawalia na kwamba, utafiti unaonyesha kuwa, matumizi ya madawa ya kulevya, unywaji pombe na kuongezeka kiwango cha matukio ya kujiua ni sababu kuu zilizochangia kupungua matumaini ya kuishi miongoni mwa raia wa nchi hiyo ya Kimagharibi.

  • Khatibu: Marekani imekuwa ikipata vipigo kutoka Iran kwa miaka mingi

    Khatibu: Marekani imekuwa ikipata vipigo kutoka Iran kwa miaka mingi

    Feb 09, 2018 10:45

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya mjini Tehran ameashiria njama za Marekani kwa lengo la kuipa pigo Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusema, Marekani na waitifaki wake katika miaka ya nyuma wamepata vipigo vingi kutoka Iran.

  • Russia: Mashambulio ya Marekani Syria ni jinai za kivita

    Russia: Mashambulio ya Marekani Syria ni jinai za kivita

    Feb 09, 2018 03:31

    Mwakilishi wa kudumu wa Russia katika Umoja wa Mataifa ameyataja mashambulio ya anga ya Marekani katika mkoa wa Deir al Zor mashariki mwa Syria kuwa hayakubaliki na kwamba ni jinai za kivita.

  • Kuelekezewa kidole cha shutuma Marekani za kuwasha moto wa vita Afghanistan

    Kuelekezewa kidole cha shutuma Marekani za kuwasha moto wa vita Afghanistan

    Feb 08, 2018 07:34

    Hamid Karzai, rais wa zamani wa Afghanistan ameishutumu Marekani kuwa inakoleza moto wa vita ndani ya nchi hiyo kwa ajili ya manufaa na maslahi yake.

  • Wademocrat waliotuhumiwa na Trump kuwa ni wahaini wachukizwa na matamshi hayo

    Wademocrat waliotuhumiwa na Trump kuwa ni wahaini wachukizwa na matamshi hayo

    Feb 06, 2018 23:04

    Viongozi wa chama cha Democrat nchini Marekani, wamekosoa matamshi ya Rais Donald Trump aliyewataja kuwa ni wahaini na kusema kuwa, rais huyo anafuata mienendo ya udikteta.

  • Juhudi za Marekani za kuvuruga usalama wa Syria

    Juhudi za Marekani za kuvuruga usalama wa Syria

    Feb 06, 2018 04:30

    Mwandishi na mtaalamu mmoja wa masuala ya kisasa wa nchini Marekani amesema kuwa nchi hiyo inafanya juhudi kubwa za kuuhadaa ulimwengu kuhusiana na suala la Syria.

  • China yapinga stratijia mpya ya Marekani ya silaha za nyuklia

    China yapinga stratijia mpya ya Marekani ya silaha za nyuklia

    Feb 05, 2018 23:15

    Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya China amesema nchi yake inapinga stratijia ya mpya ya Marekani ya silaha za nyuklia iliyotangazwa Ijumaa

  • Sudan Kusini yamuita nyumbani balozi wake kutoka Marekani

    Sudan Kusini yamuita nyumbani balozi wake kutoka Marekani

    Feb 05, 2018 01:07

    Sudan Kusini imemuita nyumbani balozi wake wa Marekani, huku mzozo kati ya Washington na Juba kuhusu kuwekewa vikwazo vya silaha nchi hiyo changa zaidi barani Afrika ukipamba moto.

  • Nigeria inaendelea kumzuilia Sheikh Zakzaky kwa amri ya Marekani

    Nigeria inaendelea kumzuilia Sheikh Zakzaky kwa amri ya Marekani

    Feb 04, 2018 13:06

    Mwanaharakati wa kisiasa nchini Nigeria amekosoa vikali hatua ya serikali ya Abuja ya kukataa kumuachia huru mwanachuoni mashuhuri wa Kiislamu, Sheikh Ibrahim Zakzaky licha ya agizo la mahakama, na kusisitiza kuwa msomi huyo anaendelea kuzuiliwa kwa amri ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Mienendo ya ukatili wa polisi wa uhamiaji wa Marekani katika jimbo la California

    Mienendo ya ukatili wa polisi wa uhamiaji wa Marekani katika jimbo la California

    Feb 04, 2018 10:06

    Polisi ya uhajiri katika jimbo la California, nchini Marekani wameshadidisha mienendo ya ukatili dhidi ya wahajiri.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS