Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Watu 8 wapoteza maisha, 28 wajeruhiwa katika magendo ya binadamu Texas

    Watu 8 wapoteza maisha, 28 wajeruhiwa katika magendo ya binadamu Texas

    Jul 23, 2017 10:06

    Maafisa katika jimbo la Texas nchini Marekani wametangaza kuwa miili ya watu wanane imepatikana ndani ya lori kwenye eneo moja la kuegeshea magari huko Saint Antonio jimboni humo.

  • Kuongezeka mpasuko ndani ya serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani

    Kuongezeka mpasuko ndani ya serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani

    Jul 23, 2017 06:44

    Katika hatua mpya inayodhihirisha mpasuko uliopo ndani ya serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani, Sean Spicer Msemaji wa Ikulu ya Rais wa nchi hiyo (White House) ametangaza kujiuzulu wadhifa wake.

  • Mapinduzi ndani ya utawala wa kifalme Saudia yaendelea, mtoto mdogo wa Mfalme Salman ateuliwa kuwa balozi wa Riyadh huko Marekani

    Mapinduzi ndani ya utawala wa kifalme Saudia yaendelea, mtoto mdogo wa Mfalme Salman ateuliwa kuwa balozi wa Riyadh huko Marekani

    Jul 23, 2017 03:03

    Ndugu yake mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia na mtoto mdogo wa Mfalme wa sasa wa nchi hiyo usiku wa kuamkia leo amekabidhi hati zake za utambulisho kwa Rais Donald Trump wa Marekani kama balozi mpya wa Saudia nchini humo.

  • Syria yaitaka Marekani na washirika wake walipe fidia ya uharibifu

    Syria yaitaka Marekani na washirika wake walipe fidia ya uharibifu

    Jul 22, 2017 22:19

    Serikali ya Syria imeliandikia barua Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ikiitaka Marekani na muungano wake usio halali kuilipa fidia serikali ya Damascus kutokana na uharibifu unaotokana na mashambulizi ya muungano huo yanayolenga na kuharibu miundombinu ya nchi huyo.

  • Russia: Makubaliano ya JCPOA yamefichua jinsi Marekani inavyokiuka sheria za kimataifa

    Russia: Makubaliano ya JCPOA yamefichua jinsi Marekani inavyokiuka sheria za kimataifa

    Jul 22, 2017 12:20

    Mkuu wa Kituo cha Stratijia za Kisiasa nchini Russia, Sergei Mikheev amesema kuwa, kitendo cha Marekani kukiuka makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kwa kifupi kama JCPOA, kimeidhihirisha nchini hiyo kwamba ni mkiukaji mkubwa wa sheria na mikataba ya kimataifa duniani.

  • Mwanajeshi wa Marekani akiri kuwaua kinyama Wairaki

    Mwanajeshi wa Marekani akiri kuwaua kinyama Wairaki

    Jul 22, 2017 03:20

    Mwanajeshi mmoja wa Marekani amekiri kuua kinyama zaidi ya Wairaki 2000 katika kipindi cha miaka mitano aliyohudumu nchini humo.

  • Nouri al-Maliki: Iraq haitakuwa pamoja na nchi za Kiarabu dhidi ya Iran

    Nouri al-Maliki: Iraq haitakuwa pamoja na nchi za Kiarabu dhidi ya Iran

    Jul 21, 2017 21:59

    Nouri al-Maliki, Makamu wa Rais wa Iraq amesema kuwa, nchi yake haitakuwa pamoja na nchi za Kiarabu kwa ajili ya kukabiliana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kubainisha kwamba, jambo hilo halitawezekana.

  • Gazeti la The Guardian: Trump anaelekea kuisambaratisha Marekani

    Gazeti la The Guardian: Trump anaelekea kuisambaratisha Marekani

    Jul 21, 2017 03:39

    Gazeti la The Guardian linalochapishwa mjini London, Uingereza limeandika kuwa, hatua za Rais Donald Trump wa Marekani zinaisambaratisha nchi hiyo.

  • Marekani yajaribu kupotosha dunia kuhusu inavyounga mkono ugaidi

    Marekani yajaribu kupotosha dunia kuhusu inavyounga mkono ugaidi

    Jul 20, 2017 09:20

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Marekani imetoa ripoti kuhusu hali ya ugaidi duniani ili kwa njia hiyo ipotoshe fikra za waliowengi kuhusu nafasi yake katika kuibua, kueneza na kuunga mkono makundi ya kigaidi.

  • Trump kumaliza ushirikiano wa CIA na magaidi wa Syria

    Trump kumaliza ushirikiano wa CIA na magaidi wa Syria

    Jul 20, 2017 03:21

    Serikali ya rais wa Marekani, Donald Trump imeamua kumaliza miaka kadhaa ya ushirikiano wa Shirika la Kijasusi la Marekani CIA na magenge ya kigaidi nchini Syria ambayo Wamarekani wanadai ni wapinzani wenye misimamo ya wastani wanaopigana na serikali ya Rais Bashar al Assad. Shirika la Kijasusi la Marekani limekuwa likiyapa silaha na mafunzo ya kijeshi magenge hayo kwa miaka kadhaa sasa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS