-
Marekani inahofia kuongezeka hali ya mvutano kati ya waitifaki wake Mashariki ya Kati
Jul 07, 2017 10:35Serikali ya Marekani imesema ina wasiwasi wa uwezekano wa kuongezeka hali ya mvutano kati ya Qatar na Saudi Arabia.
-
Chomsky: Marekani inaelekea kwenye maangamizi
Jul 04, 2017 23:36Mwanafikra mashuhuri wa Marekani, Noam Chomsky amesema nchi hiyo inaelekea kwenye maangamizi kutokana na fikra za uliberali na mfumo mpya wa soko.
-
Kipindi cha baada ya Daesh nchini Iraq na njama mpya za Marekani
Jul 04, 2017 23:34Katika hali ambayo kundi la kigaidi la Daesh linavuta pumzi zake za mwisho nchini Iraq katika siku hizi za kukaribia mwisho operesheni za kijeshi katika mji wa Mosul na kusafishwa sehemu kubwa ya maeneo hayo na uwepo wa magaidi hao na hivyo kuyafanya macho na masikio ya walimwengu kuelekea katika hatua ya mwisho ya uwepo wa Daesh katika nchi hiyo, duru za kisiasa za nchi hiyo ya Kiarabu zimeripoti habari ya kuweko njama mpya za Marekani katika hatua hiyo.
-
Misri na Marekani zaendeleza tuhuma zao dhidi ya Qatar
Jul 04, 2017 03:25Kwa mara nyingine Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Marekani na Misri wameituhumu Qatar kwamba, inaunga mkono ugaidi, kuingilia masuala ya ndani ya nchi majirani na kufanya mahusiano na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Iran yalaani hatua ya Marekani kutungua ndege yake ya abiria mwaka 1988
Jul 03, 2017 02:43Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani kitendo kilicho dhidi ya ubinadamu cha meli ya kivita ya Marekani kuitungua ndege ya abiria ya Iran Air Julai 3 mwaka 1988 na kuongeza kuwa Marekani inapaswa kuwajibika kuhusu jinai yake hiyo.
-
China yalaani chokochoko za meli za kivita za Marekani
Jul 03, 2017 02:35China imelaani vikali hatua ya hivi karribuni ya meli ya kivita ya Marekani kukaribia mipaka yake ya majini katika kisiwa kimoja kinachozozaniwa katika Bahari ya China Kusini na kuitaja hatua hiyo kuwa ya kichochezi.
-
HRW: Sasa Marekani ikomeshe uungaji mkono wake kwa Saudi Arabia
Jul 03, 2017 00:12Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch (HRW) amesisitizia wajibu wa kusitishwa uungaji mkono wa Marekani kwa utawala wa Saudi Arabia.
-
Mkutano wa kimataifa wa "Marekani, Haki za Binadamu na Ubeberu" waanza Tehran
Jul 02, 2017 03:40Kongamano la Kimataifa la Marekani, Haki za Binadamu na Ubeberu limeanza mapema leo mjini Tehran likihudhuriwa na wataalamu wa hapa nchini na kutoka nje ya nchi nchi.
-
Umoja wa Afrika waitaka Marekani kuheshimu makubaliano ya hali ya hewa ya Paris
Jul 02, 2017 02:40Mwenyekiti wa Idara ya Tume ya Umoja wa Afrika ya Uchumi wa Vijijini na Kilimo amesema kuwa Marekani inapaswa kushikamana tena na makubaliano ya hali ya hewa ya Paris.
-
Iran kamwe haitalegeza msimamo mbele ya Marekani na maadui wengine
Jul 01, 2017 09:03Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kamwe haitalegeza msimamo mbele ya maadui na kwamba nchi hii itatoa jibu kali kwa vitisho vyovyote vile.