Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Kurejea Blackwater kwa jina jingine nchini Iraq;  uwekezaji hatari mno wa Marekani

    Kurejea Blackwater kwa jina jingine nchini Iraq; uwekezaji hatari mno wa Marekani

    Jun 16, 2017 23:05

    Hivi sasa kumeenea habari za uwezekano wa kurejea nchini Iraq shirika la kihalifu la Blackwater la Marekani kwa jina jingine, suala ambalo limewakasirisha wananchi wa matabaka mbalimbali ya Iraq.

  • Iran: Hakuna kinachoweza kutuzuia tusijiimarishe kiulinzi

    Iran: Hakuna kinachoweza kutuzuia tusijiimarishe kiulinzi

    Jun 16, 2017 12:52

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametetea msimamo wa nchi yake wa kutumia kikamilifu haki yake ya kujiimarisha kwa makombora na kusisitiza kuwa, hakuna kitu chochote kinachoweza kuizuia Tehran kutumia haki yake hiyo.

  • Mauzo ya silaha, faida ya Marekani kutokana na mgogoro wa Saudia na Qatar

    Mauzo ya silaha, faida ya Marekani kutokana na mgogoro wa Saudia na Qatar

    Jun 16, 2017 08:31

    Hatua ya Saudi Arabia na kundi lake ya kuanzisha mgogoro na nchi ndogo ya Qatar, imeipa Marekani kisingizio cha kuiuzia Doha ndege 36 za kivita aina ya F 15 zenye thamani ya dola bilioni 12.

  • Matamshi ya uingiliaji ya Tillerson; kilele cha kuchanganyikiwa Marekani mbele ya Iran

    Matamshi ya uingiliaji ya Tillerson; kilele cha kuchanganyikiwa Marekani mbele ya Iran

    Jun 16, 2017 02:51

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani ameonyesha msimamo ambao ni wa uhasama na uingiliaji wa moja kwa moja katika masuala ya ndani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambayo hivi sasa inaelekea kutimiza miaka arubaini ya uhai wake.

  • Putin: Marekani inatumia ugaidi kama wenzo

    Putin: Marekani inatumia ugaidi kama wenzo

    Jun 14, 2017 21:59

    Huku mivutano kati ya Moscow na Washington ikiwa imepamba moto, Rais Vladimir Putin wa Russia amesisitiza kuwa, Marekani inawaunga mkono magaidi wa Chechniya huko Kaukazia Kaskazini na kuwatumia magaidi hao kuvuruga usalama na utilivu wa Russia. Rais Putin amesema Idara za Intelijensia za Marekani zimewapa misaada ya kiintelijensia, kisiasa, kifedha na kadhalika magaidi Chechniya licha ya malalamiko na upinzani wa Moscow.

  • Mogherini: Marekani itafungamana na mapatano ya nyuklia ya Iran

    Mogherini: Marekani itafungamana na mapatano ya nyuklia ya Iran

    Jun 13, 2017 08:53

    Mkuu wa sera za kigeni katika Umoja wa Ulaya amesema pamoja na kuwepo malalamiko ya serikali ya Marekani kwa mapatano ya nyuklia baina ya Iran na kundi la 5+1, ana matumaini kuwa Washington itayatekeleza kwani ni ya kimataifa.

  • Global Research: Serikali ya Marekani ni muungaji mkono mkuu wa makundi ya kigaidi

    Global Research: Serikali ya Marekani ni muungaji mkono mkuu wa makundi ya kigaidi

    Jun 12, 2017 03:22

    Mtandao wa Global Research umeandika kuwa, serikali ya Marekani daima imekuwa muungaji mkono mkuu wa makundi ya kigaidi.

  • Qatar: Tuliwakaribisha Taliban mjini Doha kwa matakwa ya Marekani

    Qatar: Tuliwakaribisha Taliban mjini Doha kwa matakwa ya Marekani

    Jun 12, 2017 03:21

    Afisa wa ngazi za juu wa serikali ya Qatar amesema kuwa, nchi hiyo ililialika kundi la kigaidi la Taliban mjini Doha kutokana na takwa la Marekani ambayo leo, ikiwa pamoja na nchi kadhaa za Kiarabu, inaituhuma Qatar kuwa inaunga mkono makundi yenye misimamo mikali.

  • Marekani yadai kuua wanachama 8 wa al-Shabaab Somalia

    Marekani yadai kuua wanachama 8 wa al-Shabaab Somalia

    Jun 12, 2017 03:15

    Kamandi ya Jeshi la Marekani barani Afrika (AFRICOM) imedai kuwa shambulizi la anga la wanajeshi wake limefanikiwa kuangamiza wanachama wanane wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab kusini mwa Somalia.

  • Ufilipino: Hatujaomba msaada wa Marekani kukabiliana na magaidi

    Ufilipino: Hatujaomba msaada wa Marekani kukabiliana na magaidi

    Jun 11, 2017 22:57

    Rais Rodrigo Duterte wa Ufilipino amesema nchi yake haijaomba msaada wa Marekani kwa ajili ya kupambana na genge la kigaidi lililoua wanajeshi 13 wa nchi hiyo Ijumaa iliyopita, kusini mwa nchi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS