Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Korea Kaskazini yarusha kombora la balestiki katika Bahari ya Japan

    Korea Kaskazini yarusha kombora la balestiki katika Bahari ya Japan

    Apr 05, 2017 02:59

    Korea Kaskazini imevurumisha kombora la balestiki katika Bahari ya Japan, siku chache baada ya nchi hiyo kuapa kulipiza kisasi juu ya vikwazo vipya dhidi yake.

  • Meja Jenerali Baqeri: Iran haitetereshwi na vita vya kisaikolojia vya Marekani

    Meja Jenerali Baqeri: Iran haitetereshwi na vita vya kisaikolojia vya Marekani

    Apr 04, 2017 23:40

    Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema taifa hili halibabaishwi na vita vya kisaikolojia vya Marekani na waitifaki wake.

  • EU: Hatutohamishia balozi zetu Quds tukufu kutoka Tel Aviv

    EU: Hatutohamishia balozi zetu Quds tukufu kutoka Tel Aviv

    Apr 04, 2017 11:21

    Katika hali ambayo Marekani imezungumzia mpango wa kuhamishia ubalozi wake ulioko Israel kutoka Tel Aviv na kuupeleka katika mji wa Quds tukufu huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu, Umoja wa Ulaya umesema nchi wanachama wake hazitofuata sera hizo za Washington.

  • Kijana Mmarekani akiri kuhusika na njama za kumuua Papa Francis

    Kijana Mmarekani akiri kuhusika na njama za kumuua Papa Francis

    Apr 04, 2017 10:46

    Kijana mmoja Mmarekani kutoka jimbo la New Jersey amekiri mbele ya mahakama kuwa alihusika katika njama zilizofeli za kumuua Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis.

  • HRW: US kushadidisha hujuma zake za anga Somalia kunahatarisha usalama wa raia

    HRW: US kushadidisha hujuma zake za anga Somalia kunahatarisha usalama wa raia

    Apr 02, 2017 03:42

    Hatua ya Marekani ya kuidhinisha kushadidishwa mashambulizi yake ya anga dhidi ya ngome za kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab nchini Somalia imekosolewa vikali na asasi za kutetea za haki za binadamu.

  • Larijani: Pentagon, CIA ni wahusika wakuu wa harakati za kigaidi

    Larijani: Pentagon, CIA ni wahusika wakuu wa harakati za kigaidi

    Apr 01, 2017 23:16

    Spika wa Bunge la Iran Ali Larijani amelaani uharibifu wa wazi unaofanywa na Marekani Mashariki ya Kati na kusema Washington inahusika na harakati zote za kigaidi.

  • Watu 6 wauawa katika ufyatuaji risasi Marekani

    Watu 6 wauawa katika ufyatuaji risasi Marekani

    Apr 01, 2017 23:00

    Watu sita wameuawa katika kipindi cha masaa machache yaliyopita katika vitendo mbali mbali vya ufyatulianaji risasi kote Marekani.

  • Mufti wa Waislamu wa Kisuni Iraq: Marekani ikirudi Iraq tutapambana nayo kijeshi

    Mufti wa Waislamu wa Kisuni Iraq: Marekani ikirudi Iraq tutapambana nayo kijeshi

    Apr 01, 2017 12:18

    Mufti wa Waislamu wa Kisuni nchini Iraq amesema kuwa, ikiwa Wamarekani wamekusudia tena kurudi nchini humo, watakabiliwa na mapambano ya kijeshi dhidi yao.

  • US yakiri kuwa Korea Kaskazini ina uwezo wa kuua mamilioni ya Wamarekani

    US yakiri kuwa Korea Kaskazini ina uwezo wa kuua mamilioni ya Wamarekani

    Mar 30, 2017 11:15

    Maafisa wa ngazi za juu wa idara za usalama na itelinjensia za Washington wamekiri kuwa Korea Kaskazini ina uwezo wa kuwaangamiza mamilioni ya Wamarekani iwapo itafanya shambulizi moja la silaha za nyuklia dhidi ya Marekani.

  • Dahqan: Askari wa Marekani katika Ghuba ya Uajemi ni maharamia wajinga

    Dahqan: Askari wa Marekani katika Ghuba ya Uajemi ni maharamia wajinga

    Mar 30, 2017 10:53

    Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amejibu madai ya uongo yaliyotolewa na jeshi la Marekani akisema kuwa askari wa nchi hiyo walioko katika eneo la Ghuba ya Uajemi ni maharamia wajinga na majahili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS