Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Kubadilika msimamo wa Rais wa Marekani kutokana na mashinikizo ya fikra za walimwengu

    Kubadilika msimamo wa Rais wa Marekani kutokana na mashinikizo ya fikra za walimwengu

    Feb 11, 2017 03:58

    Kwa mara ya kwanza tangu aingie madarakani, Rais Donald Trump wa Marekani amekosoa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni unaofanywa na utawala haramu wa Israel katika ardhi za Palestina, japokuwa amejaribu kutumia lugha laini na ya upole katika ukosoaji wake huo.

  • Kusimama kidete wananchi wa Yemen, sababu ya uadui wa Saudia

    Kusimama kidete wananchi wa Yemen, sababu ya uadui wa Saudia

    Feb 10, 2017 21:51

    Katibu Mkuu wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesisitiza kuwa, utawala wa Saudi Arabia unamshambulia mtu yoyote ambaye anaipinga Israel na kukabiliana na siasa za Marekani.

  • Kamanda wa Sepah: Trump ni mwanagenzi, vitisho vya Marekani havina meno

    Kamanda wa Sepah: Trump ni mwanagenzi, vitisho vya Marekani havina meno

    Feb 08, 2017 13:12

    Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (Sepah) amesema kuwa wanasiasa wa Marekani wanaelewa vyema kwamba vitisho dhidi ya Iran havina faida yoyote bali vina madhara.

  • Jeshi la Syria lawazingira magaidi wa ISIS katika mji wa Al-Bab

    Jeshi la Syria lawazingira magaidi wa ISIS katika mji wa Al-Bab

    Feb 08, 2017 04:27

    Mkuu wa Ofisi ya Haki za Binaadamu nchini Syria, ameelezea kusonga mbele jeshi la Syria kwa kushirikiana na Harakati ya Hizbullah katika eneo la Al-Bab karibu na mpaka wa Uturuki, na kuzingirwa magaidi wa genge la Daesh kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Assad: Marekani kudai inapambana na Daesh huko Syria ni njozi

    Assad: Marekani kudai inapambana na Daesh huko Syria ni njozi

    Feb 07, 2017 11:25

    Rais Bashar al-Assad wa Syria ameutaja muungano wa kijeshi wa Marekani unaodai kupambana na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh/ISIS nchini Syria kuwa ni muungano wa kinjozi na wa kuihadaa dunia.

  •  Jibu la Iran kwa ukiukaji wa Marekani wa JCPOA, ni kurutubisha SWU laki moja

    Jibu la Iran kwa ukiukaji wa Marekani wa JCPOA, ni kurutubisha SWU laki moja

    Feb 07, 2017 03:47

    Mkuu wa Taasisi ya Nishati ya Nyuklia ya Iran amesema kuwa jibu la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa ukiukaji wa makubaliano ya JCPOA utakaofanywa na serikali ya Marekani litakuwa ni kurutubisha Separative Work Unit (SWU) laki moja.

  • Velayati: Marekani inafaa kuilipa fidia Iraq kwa kuivamia 2003

    Velayati: Marekani inafaa kuilipa fidia Iraq kwa kuivamia 2003

    Feb 06, 2017 04:34

    Mkuu wa Kituo cha Utafiti wa Kistratejia cha Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu wa Iran amesema serikali ya Iraq inapaswa kupigania haki ya kufidiwa na Marekani katika vyombo vya kimataifa, kutokana na uvamizi wa utawala wa Washington dhidi yake mwaka 2003.

  • Kuwait yakanusha madai ya kupiga marufuku raia wa nchi za Kiislamu

    Kuwait yakanusha madai ya kupiga marufuku raia wa nchi za Kiislamu

    Feb 05, 2017 23:12

    Serikali ya Kuwait imekadhibisha habari ya tetesi iliyoenea katika baadhi ya vyombo vya habari kwamba nchi hiyo imepiga marufuku raia wa nchi kadhaa za Kiislamu kuingia nchini humo.

  • Mahakama ya Rufaa ya Marekani yakataa ombi la White House dhidi ya Waislamu

    Mahakama ya Rufaa ya Marekani yakataa ombi la White House dhidi ya Waislamu

    Feb 05, 2017 10:58

    Mahakama ya Rufaa ya Marekani imekataa ombi la Ikulu ya Rais wa nchi hiyo la kudumishwa marufuku ya kuingia raia wa nchi za Kiislamu nchini Marekani.

  • Dakta Velayati: Siasa za vitisho haziwezi kuzuia kufilisika kisiasa kwa Marekani

    Dakta Velayati: Siasa za vitisho haziwezi kuzuia kufilisika kisiasa kwa Marekani

    Feb 04, 2017 12:49

    Mkuu wa Kituo cha Utafiti wa Kistratejia cha Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu wa Iran amesema kuwa, utumiaji wa siasa za vitisho unaofanywa na Marekani hauwezi kuiokoa nchi hiyo na kufilisika kisiasa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS