Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • 40% ya Waingereza, 33% ya Wamarekani wanaunga mkono kususiwa Israel

    40% ya Waingereza, 33% ya Wamarekani wanaunga mkono kususiwa Israel

    Jun 01, 2016 02:21

    Zaidi ya thuluthi moja ya Wamarekani na karibu nusu ya wananchi wa Uingereza wanaunga mkono kususiwa na kuwekewa vikwazo utawala wa kizayuni wa Israel.

  • Iran yaitaka Marekani kuchukua hatua zaidi juu ya makubaliano ya nyuklia

    Iran yaitaka Marekani kuchukua hatua zaidi juu ya makubaliano ya nyuklia

    May 31, 2016 23:37

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameitaka Marekani kuchukua hatua zaidi katika kutekeleza makubaliano ya nyuklia ya Vienna, kati ya Tehran na kundi la 5+1.

  • Mashinikizo yailazimisha US kusimamisha kuizuia Saudia mabomu ya vishada

    Mashinikizo yailazimisha US kusimamisha kuizuia Saudia mabomu ya vishada

    May 28, 2016 02:21

    Kufuatia mashinikizo ya jamii ya kimataifa na mashirika ya kutetea haki za binadamu, Marekani imesimamisha kwa muda muamala wa kibiashara wa kuiuzia Saudi Arabia mabomu ya vishada.

  • Wajapan waandamana kulaani ziara ya Rais wa Marekani Hiroshima

    Wajapan waandamana kulaani ziara ya Rais wa Marekani Hiroshima

    May 27, 2016 23:19

    Maelfu ya wananchi wa Japan wameandamana kulaani kitendo cha Rais Barack Obama wa Marekani cha kukataa kuomba radhi kwa jinai zilizofanywa na nchi yake za kuishambulia kwa mabomu ya nyuklia miji ya Hiroshima na Nagasaki ya nchi hiyo.

  • Frangieh: Marekani haina uwezo wa kuidhoofisha Hizbullah

    Frangieh: Marekani haina uwezo wa kuidhoofisha Hizbullah

    May 27, 2016 23:17

    Mkuu wa harakati ya el Marada ya Lebanon amesema kuwa, vikwazo vya kifedha vilivyowekwa na Marekani dhidi ya Hizbullah haviwezi kuidhoofisha harakati hiyo ya muqawama wa Kiislamu.

  • Ayatullah Khatami: Utawala wa Aal Saud haustahiki kusimamia Haram Mbili Tukufu

    Ayatullah Khatami: Utawala wa Aal Saud haustahiki kusimamia Haram Mbili Tukufu

    May 27, 2016 09:57

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo hapa Tehran amesisitiza kuwa utawala wa Aal Saud haustahiki kusimamia Haram Mbili Tukufu za Makka na Madina.

  • Jimmy Carter: Marekani ni ghala kubwa la ubaguzi wa rangi

    Jimmy Carter: Marekani ni ghala kubwa la ubaguzi wa rangi

    May 25, 2016 03:02

    Rais wa zamani wa Marekani Jimmy Carter amesema Donald Trump, mgombea urais kwa tiketi ya chama cha Republican katika uchaguzi wa rais wa nchi hiyo ni mbaguzi wa rangi.

  • Marekani yaendelea kukaidi kuomba radhi kwa kuua malaki ya watu Japan kwa mabomu ya atomiki

    Marekani yaendelea kukaidi kuomba radhi kwa kuua malaki ya watu Japan kwa mabomu ya atomiki

    May 23, 2016 23:20

    Rais wa Marekani ameapa kuwa hatoiomba radhi Japan kwa kuishambulia kijeshi nchi hiyo kwa mabomu ya atomiki.

  • Trump ajikosha, asaka kura za Waislamu wa Marekani kwa udi na uvumba

    Trump ajikosha, asaka kura za Waislamu wa Marekani kwa udi na uvumba

    May 23, 2016 02:57

    Donald Trump, anayewania kuteuliwa na chama chake cha Republican kugombea urais wa Marekani na ambaye ni maarufu kwa maneno ya chuki dhidi ya Waislamu, hivi sasa anaonekana kuhaha kutafuta kura za Waislamu.

  • Waislamu Uingereza waendesha kampeni maalumu za kuutambulisha Uislamu

    Waislamu Uingereza waendesha kampeni maalumu za kuutambulisha Uislamu

    May 21, 2016 23:52

    Jumuiya ya Waislamu wa Uingereza imeitisha kikao maalumu cha kujibu maswali ya wanafunzi wa Vyuo Vikuu kuhusiana na Uislamu na utamaduni wa Kiislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS