Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Mpango wa Marekani kununua maji mazito ya Iran unaiva

    Mpango wa Marekani kununua maji mazito ya Iran unaiva

    May 19, 2016 02:49

    Vyombo vya habari vya Marekani vimesema mpango wa serikali ya Washington kununua maji mazito ya nyuklia ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran umeingia katika hatua yake ya mwisho.

  • Wabunge Iran wataka Marekani ilipe fidia

    Wabunge Iran wataka Marekani ilipe fidia

    May 17, 2016 23:06

    Wabunge nchini Iran wamepitisha muswada wa sheria ya kuishurutisha serikali ya Iran kuitaka Marekani iilipe fidia Jamhuri ya Kiislamu kutokana na jinai za Washignton dhidi ya nchi hii na raia wake.

  • Sisitizo la Rouhani kuhusu kutekelezwa kikamilifu mapatano ya nyuklia na pande zote

    Sisitizo la Rouhani kuhusu kutekelezwa kikamilifu mapatano ya nyuklia na pande zote

    May 16, 2016 08:22

    Hassan Rouhani, Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran jana Jumapili alikutana na mabalozi na wawakilishi wa Iran katika nchi za kigeni katika kongamano la "Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) na Uchumi wa Muqawama; Fursa na Uwezo"

  • Trump: Wakimbizi wa Syria wanapanga shambulizi kama la Septemba 11

    Trump: Wakimbizi wa Syria wanapanga shambulizi kama la Septemba 11

    May 16, 2016 02:24

    Donald Trump, mgombea wa kiti cha urais wa chama cha Republican nchini Marekani kwa mara nyingine tena ametoa matamshi yanayodhihirisha misimamo yake ya chuki na ya kibaguzi dhidi ya Uislamu na wageni. Trump amedai kuwa wakimbizi wa Syria nchini Marekani wanapanga njama ya kufanya shambulizi la kigaidi kama la Septemba 11.

  • Iran haitasalimu amri mbele ya ubabe wa Marekani

    Iran haitasalimu amri mbele ya ubabe wa Marekani

    May 15, 2016 09:17

    Kamanda mwandamizi wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu kamwe haiwezi kulegeza misimamo au kusalimu amri mbele ya vitendo vya ubabe wa Marekani katika eneo.

  • Kongo Brazzaville kuimarisha uhusiano na marafiki zake

    Kongo Brazzaville kuimarisha uhusiano na marafiki zake

    May 15, 2016 02:19

    Jamhuri ya Kongo Brazzaville imesema kuwa, itaendelea kuwa na uhusiano mzuri na marafiki zake, na kwamba mashinikizo ya kigeni hayataifanya nchi hiyo iwasahau marafiki zake.

  • Muuaji wa kijana Mmarekani mweusi aipiga mnada silaha yake

    Muuaji wa kijana Mmarekani mweusi aipiga mnada silaha yake

    May 12, 2016 23:41

    George Zimmerman, muuaji wa Trayvon Martin, kijana wa Kimarekani mwenye asili ya Kiafrika ametangaza kuwa anaipiga mnada kwenye mtandao wa intaneti silaha aliyomuulia kijana huyo.

  • Makasisi 71 wa Marekani watuhumiwa kulawiti watoto

    Makasisi 71 wa Marekani watuhumiwa kulawiti watoto

    May 12, 2016 02:31

    Dayosisi Kuu ya Kanisa Katoliki katika mji wa Baltimore jimboni Maryland nchini Marekani imefichua majina ya makasisi 71 wanaotuhumiwa kuwalawiti watoto wadogo.

  • Iran itazamisha meli za kivita za Marekani ikitishiwa

    Iran itazamisha meli za kivita za Marekani ikitishiwa

    May 10, 2016 23:47

    Kamanda katika Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran IRGC ameonya kuwa jeshi hilo linaweza kuzamisha meli za kivita za Marekani iwapo zitakuwa tishio kwa nchi hii.

  • Iran kuishtaki Marekani Mahakama ya Kimataifa ya ICJ kwa uporaji mali

    Iran kuishtaki Marekani Mahakama ya Kimataifa ya ICJ kwa uporaji mali

    May 10, 2016 10:34

    Rais Hassan Rouhani amesema Iran hivi karibuni itawasilisha lalamiko dhidi ya Marekani katika Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu ICJ, huko The Hague, kufuatia uamuzi wa mahakama moja ya Markeani kuchukua kwa nguvu dola bilioni mbili za Iran zilizoko nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS