Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Mashia

  • Ombi la jamii ya Shia wa Afghanistan kwa kundi la Taliban

    Ombi la jamii ya Shia wa Afghanistan kwa kundi la Taliban

    Mar 16, 2024 02:22

    Wawakilishi wa jamii ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Afghanistan wamewasilisha mapendekezo yao ya maandishi kwa Mohammed Abdul Kabir, naibu wa masuala ya kisiasa wa Waziri Mkuu wa utawala wa Taliban.

  • Watu zaidi ya 32 wauawa katika hujuma msikitini Qandahar, Afghanistan

    Watu zaidi ya 32 wauawa katika hujuma msikitini Qandahar, Afghanistan

    Oct 15, 2021 14:18

    Hujuma ya kigaidi imelenga msikiti wa Waislamu wa madhehebu ya Shia katika mji wa Kandahar, Afghanistan na kuepelekea waumini wasiopungua 32 kuuawa shahidi na wengine zaidi ya 53 kujeruhiwa.

  • Wanaharakati: UN itambue mauaji ya Mashia Afghanistan kuwa ni mauaji ya kimbari

    Wanaharakati: UN itambue mauaji ya Mashia Afghanistan kuwa ni mauaji ya kimbari

    May 20, 2021 02:35

    Wanaharakati wa haki za binadamu na utamaduni nchini Afghanistan wameutaka Umoja wa Mataifa utambue rasmi mauaji ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Afghanistan katika miaka ya hivi karibuni kuwa ni mauaji ya kimbari.

  • Mkuu wa Baraza Kuu la Mashia Lebanon: Israel inachezea moto

    Mkuu wa Baraza Kuu la Mashia Lebanon: Israel inachezea moto

    Aug 25, 2019 12:31

    Mkuu wa Baraza Kuu la Mashia nchini Lebanon amesema, kuendeleza utawala wa Kizayuni wa Israel uchokozi dhidi ya Lebanon na Syria ni kuchezea moto, ambao utapelekea kuteketezwa utawala huo.

  • Amnesty International yakiri kuuawa kinyama Mashia wa Nigeria

    Amnesty International yakiri kuuawa kinyama Mashia wa Nigeria

    Nov 01, 2018 04:39

    Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch limevinyooshea kidole cha lawama vikosi vya usalama vya Nigeria likivituhumu kwamba, vimehusika na mauaji ya kinyama ya makumi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini humo.

  • Utawala wa Aal-Saud washadidisha siasa za ubaguzi wa kimadhehebu katika mwezi Muharram

    Utawala wa Aal-Saud washadidisha siasa za ubaguzi wa kimadhehebu katika mwezi Muharram

    Sep 13, 2018 02:42

    Sambamba na kuanza mwezi wa Muharram ambao ndani yake Waislamu hufanya maombolezo ya kukumbuka tukio chungu la Ashura la kuuawa shahidi Imam Hussein (as) mjukuu wa Mtume (saw), askari wa utawala wa Aal-Saud wameanzisha ukandamizaji wa kimadhehebu katika eneo la mashariki mwa nchi hiyo dhidi ya Waislamu wa Shia.

  • Askari wa Nigeria wawaua shahidi Waislamu wawili katika maombolezo ya Imam Hussein AS

    Askari wa Nigeria wawaua shahidi Waislamu wawili katika maombolezo ya Imam Hussein AS

    Nov 06, 2017 09:24

    Askari wa Nigeria wameuhujumu msafara wa waumini waliokuwa wakishiriki katika maombolezo ya Arubaini ya Imam Hussein AS katika jimbo la Kano na kuwaua shahidi Waislamu wawili wa madehehbu ya Shia.

  • Waislamu Nigeria waandamana wakitaka Sheikh Zakzaky aachiliwe huru

    Waislamu Nigeria waandamana wakitaka Sheikh Zakzaky aachiliwe huru

    Oct 23, 2017 14:01

    Waislamu nchini Nigeria wameendeleza maandamano wakitaka Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria Sheikh Ibrahim Zakzaky aachiliwe huru.

  • Azerbaijan yapiga marufuku watoto kushiriki hafla za Kiislamu

    Azerbaijan yapiga marufuku watoto kushiriki hafla za Kiislamu

    Oct 09, 2017 02:31

    Katika kile kinachoonekana ni mwendelezo wa ukandamizaji dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia, serikali ya Azerbaijan inatazamiwa kupasisha sheria inayopiga marufuku watoto kushiriki katika hafla na sherehe za kidini.

  • Waislamu wa Shia kote duniani waadhimisha Siku ya Tasu'a

    Waislamu wa Shia kote duniani waadhimisha Siku ya Tasu'a

    Sep 30, 2017 08:18

    Wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wameungana na Waislamu wa Kishia kote duniani katika maadhimisho ya Siku ya Tasu'a, wakifanya maombelezo ya kukumbuka mapambano ya Karbala yaliyopelekea kuuawa shahidi Imam Hussein AS.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS