Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mauaji

  • Ethiopia yakataa wito wa UN na EU wa kufanyika uchunguzi dhidi yake

    Ethiopia yakataa wito wa UN na EU wa kufanyika uchunguzi dhidi yake

    Apr 18, 2017 21:59

    Waziri Mkuu wa Ethiopia amekataa wito wa Umoja wa Mataifa na Umoja wa Ulaya wa kufanyika uchunguzi huru juu ya mauaji ya mamia ya watu wakati wa maandamano ya miezi kadhaa dhidi ya serikali ya Addis Ababa nchini humo.

  • Wimbi la mauaji laendelea Sudan Kusini, 14 wauawa

    Wimbi la mauaji laendelea Sudan Kusini, 14 wauawa

    Apr 16, 2017 02:44

    Kwa akali watu 14 wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika mapigano mapya baina ya wanajeshi wa serikali na waasi katika mji wa Raga nchini Sudan Kusini.

  • Malaysia yawatia mbaroni watuhumiwa wa njama ya kumuua Mfalme Salman wa Saudia

    Malaysia yawatia mbaroni watuhumiwa wa njama ya kumuua Mfalme Salman wa Saudia

    Mar 07, 2017 12:07

    Serikali ya Malyasia imedai kuwa, ilizima njama ya jaribio la kutaka kumuua Mfalme Salman bin Abdul Aziz wa Saudi Arabia aliyeko katika safari ya kuzitembelea nchi kadhaa za mashariki mwa Asia.

  • Aliyetekeleza mauaji msikitini Canada ni mfuasi sugu wa Trump

    Aliyetekeleza mauaji msikitini Canada ni mfuasi sugu wa Trump

    Feb 01, 2017 00:50

    Mwanafunzi wa chuo kikuu aliyetekeleza mauaji dhidi ya waumini wa Kiislamu waliokuwa wakisali katika msikiti mmoja mjini Quebec nchini Canada siku chache zilizopita ni mtu mwenye misimamo ya mrengo wa kulia na mfuasi sugu wa Donald Trump, Rais wa Marekani.

  • Wabunge wa Uganda watuma faili la mauaji ya Kasese ICC

    Wabunge wa Uganda watuma faili la mauaji ya Kasese ICC

    Jan 05, 2017 12:40

    Kundi la wabunge wa Uganda limetuma ombi katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC, likiitaka ianzishe uchunguzi juu ya mauaji yanayodaiwa kufanywa na maafisa usalama katika mji wa Kasese, jimbo la Rwenzori mwishoni mwa mwaka uliopita 2016.

  • HRW: Serikali inaficha jinai na mauaji dhidi ya Waislamu wa Myanmar

    HRW: Serikali inaficha jinai na mauaji dhidi ya Waislamu wa Myanmar

    Jan 05, 2017 12:39

    Mashirika ya kutetea haki za binadamu ikiwemo Human Rights Watch yamesema serikali ya Myanmar inajaribu kuficha jinai na mauaji yanayofanywa na vikosi vya usalama vya nchi hiyo dhidi ya Waislamu wa Rohingya.

  • Polisi: Waziri auawa kwa kufyatuliwa risasi Bujumbura, Burundi

    Polisi: Waziri auawa kwa kufyatuliwa risasi Bujumbura, Burundi

    Jan 01, 2017 03:49

    Waziri wa Mazingira wa Burundi ameuawa kwa kufyatuliwa risasi na mtu asiyejulikana usiku wa kuamkia leo katika mji mkuu Bujumbura.

  • Hali yazidi kuwa tete DRC, 52 wauawa katika maandamano, mapigano ya kikabila

    Hali yazidi kuwa tete DRC, 52 wauawa katika maandamano, mapigano ya kikabila

    Dec 22, 2016 13:30

    Hali ya mambo katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imezidi kuwa tete huku makumi ya watu wakiuawa katika maandamano na mapigano ya kikabila.

  • Bunge la Tunisia kuchunguza mauaji ya msomi Al Zawari wa nchi hiyo

    Bunge la Tunisia kuchunguza mauaji ya msomi Al Zawari wa nchi hiyo

    Dec 22, 2016 11:15

    Bunge la Tunisia linakutana kesho Ijumaa katika kikao cha dharura kuchunguza faili la mauaji ya kigaidi yaliyofanywa dhidi ya msomi wa masuala ya anga wa nchi hiyo, Muhammad al Zawari.

  • Iran, UN zalaani mauaji ya balozi wa Russia nchini Uturuki

    Iran, UN zalaani mauaji ya balozi wa Russia nchini Uturuki

    Dec 20, 2016 04:23

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali mauaji ya balozi wa Russia nchini Uturuki na kuutaja ukatili huo kama kitendo cha kikatili na kishenzi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS